image

Zijue hatua za kufata ili kuepuka maradhi ya tumbo

Posti hii inaelezea kuhusiana na hatua za kufata ili kujikinga au kuepuka maradhi ya tumbo.kuna vitu vikikosekana husababisha maumivu ya tumbo.

 Zifuatazo Ni dalili za tumbo kuuma.

1.maumivu.

2.kuharisha.

3.kichefuchefu na kutapika.

4.kukosa choo.

 

     Zifuatazo Ni hatua za kufata ili kuepuka maradhi ya tumbo.

1.chemsha maji ya kunywa ili kuua vijidudu ambavyo vinaweza kukusababishia kichefuchefu, kutapika, Kuharisha vilevile tumbo kuuma.

 

2.Epuka uvutaji wa sigara, ugoro, mirungi au tumbaku kwasababu hupelekea kupata madonda ya tumbo na maradhi mengine mbalimbali.

 

3.Epuka matumizi ya pombe ikiwezekana acha kabisa

 

4.osha mikono yako na sabuni kila baada na kabla ya kula na baada ya kutoka msalani.

 

5.Epuka matumizi ya chumvi nyingi Sana kwenye chakula Tena hasa chumvi ya kuongezea kwenye chakula ambacho Ni tayari kimeiva kimeshatengwa mezani hiyo Ni mbaya Sana.

 

6.Epuka matumizi ya sukari nyingi mwilini.

 

7.Jitahidi kupata au kula mboga za majani na matunda maana husaidia kulainisha mmeng'enyo wa chakula na kumsaidia kuboresha afya ya mwili..

 

8.Epuka kula vyakula vilivyokobolewa Mara kwa Mara.

 

9.pata muda wa kufanya mazoezi ili kujenga mwili.

 

10.Jitahidi kupata maji kwa wingi maana husaidia kuyeyusha mmeng'enyo wa chakula.





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 654


Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh     👉2 Madrasa kiganjani     👉3 kitabu cha Simulizi     👉4 Kitabu cha Afya    

Post zifazofanana:-

Chanzo cha kiungulia
Post hii inahusu zaidi vyanzo vya kuwepo kwa kiungulia, kiungulia ni kitendo cha kupanda kwa gesi kutoka kwenye tumbo mpaka kwenye mdomo,hali uwasumbua wengi na kusababisha hali isiyo rafiki. Soma Zaidi...

Fahamu aina mbalimbali za Magonjwa nyemelezi ya moyo
Posti hii inahusu zaidi aina mbalimbali za Magonjwa ya moyo,kwa kawaida tunajua wazi kuwa kuna moyo mmoja lakini moyo huo unaweza kushambuliwa na magonjwa kwa kila aina kwa mfano kuna Maambukizi kwenye mishipa ya moyo,au kubadilika kwa mapigo ya moyo na m Soma Zaidi...

Dalili za kipindupindu na njia za kujilinda na kipindupindu.
Post hii inazungumzia zaidi kuhusiana na ugonjwa wa kipindupindu.kipindupindu ni ugonjwa unaosababishwa na mdudu ambaye kwa kitaalamu anaitwa vibrio cholera.mdudu huyu hushambulia utumbo mdogo na kusababisha madhara mengi. Soma Zaidi...

kuhusu ugonjwa wa Fangasi ya mdomo na ulimi hilo tatizo linanisumbua kwa mda napata muwasho juu ya ulimi naomba ushauli wako ili niweze kutatua hilo tatizo?”
Hivi badovunasumbuliwa na fangasi kwenye mdomo ama ulimi. Ni dawa gani umeshatumia bila mafanikio?. Soma Zaidi...

Fahamu Mambo yanayosababisha Ugonjwa wa kipindupindu
Kipindupindu ni ugonjwa wa bakteria ambao kawaida huenezwa kupitia maji machafu. Kipindupindu husababisha Kuhara na Upungufu wa maji mwilini. Ikiachwa bila kutibiwa, Kipindupindu kinaweza kusababisha kifo kwa muda wa saa chache, hata kwa watu walioku Soma Zaidi...

Dalilili za maumivu ya kifua
Maumivu ya kifua huja kwa aina nyingi, kuanzia kuchomwa na kisu hadi kuuma kidogo. Baadhi ya Maumivu ya kifua yanafafanuliwa kama kuponda kuungua. Katika baadhi ya matukio, maumivu husafiri juu ya shingo, hadi kwenye taya. Soma Zaidi...

JITIBU KWA MUAROBAINI: faida za kiafya za muarobaini
1. Soma Zaidi...

Dalili za Ugonjwa wa pombe wakati Mtoto akiwa tumboni
Ugonjwa wa ulevi wakati Mtoto akiwa tumboni (fetasi) ni hali ya mtoto inayotokana na unywaji pombe wakati wa ujauzito wa mama. Ugonjwa wa pombe wa fetasi husababisha uharibifu wa ubongo na matatizo ya ukuaji. Soma Zaidi...

Habari za leo ndugu zangu mimi Ni dalili zipi hasa za awali zinazoashiria umeambukizwa ukimwi
Anataka kujuwa dalili za awali za kujuwa kuwa umeathirika na UKIMWI Soma Zaidi...

Ugonjwa wa Saratani ya ini.
Saratani ya ini ni Saratani inayoanzia kwenye seli za ini lako. Soma Zaidi...

Madhara ya Tiba kemikali kwa wagonjwa wa saratani
Posti hii inahusu zaidi madhara ya Tiba kemikali, ni madhara yanayotokea kwa wagonjwa wa saratani, madhara haya yanayoweza kuwa ni kwa Sababu mbalimbali kama vile kuaribika kwa seli zinazoendelea kufanya kazi kwenye mwili. Soma Zaidi...

Madhara ya maambukizi kwenye tumbo
Posti hii inahusu zaidi madhara ya maambukizi kwenye tumbo,hasa pale ambapo mgonjwa hakutibiwa Soma Zaidi...