Posti hii inaelezea kuhusiana na hatua za kufata ili kujikinga au kuepuka maradhi ya tumbo.kuna vitu vikikosekana husababisha maumivu ya tumbo.
Zifuatazo Ni dalili za tumbo kuuma.
1.maumivu.
2.kuharisha.
3.kichefuchefu na kutapika.
4.kukosa choo.
Zifuatazo Ni hatua za kufata ili kuepuka maradhi ya tumbo.
1.chemsha maji ya kunywa ili kuua vijidudu ambavyo vinaweza kukusababishia kichefuchefu, kutapika, Kuharisha vilevile tumbo kuuma.
2.Epuka uvutaji wa sigara, ugoro, mirungi au tumbaku kwasababu hupelekea kupata madonda ya tumbo na maradhi mengine mbalimbali.
3.Epuka matumizi ya pombe ikiwezekana acha kabisa
4.osha mikono yako na sabuni kila baada na kabla ya kula na baada ya kutoka msalani.
5.Epuka matumizi ya chumvi nyingi Sana kwenye chakula Tena hasa chumvi ya kuongezea kwenye chakula ambacho Ni tayari kimeiva kimeshatengwa mezani hiyo Ni mbaya Sana.
6.Epuka matumizi ya sukari nyingi mwilini.
7.Jitahidi kupata au kula mboga za majani na matunda maana husaidia kulainisha mmeng'enyo wa chakula na kumsaidia kuboresha afya ya mwili..
8.Epuka kula vyakula vilivyokobolewa Mara kwa Mara.
9.pata muda wa kufanya mazoezi ili kujenga mwili.
10.Jitahidi kupata maji kwa wingi maana husaidia kuyeyusha mmeng'enyo wa chakula.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Hakuna dawa ya UKIMWI ya kutibu kuondoa virusi mwilini, lakini zipo dawa za kuweza kupunguza makali ya virusi hawa. Hivi unesha jiuliza kuwa je zile dawa zinaongeza damu?
Soma Zaidi...Swali hili limeulizwa na mdau mmoja. Kuwa endapo mtu atafanya ngono zembe na akapata virusi je ataweza kuambukiza.
Soma Zaidi...Dalili za mimba zinaweza kuanzia kuonekana mapema ndani ya wiki ya kwanza, japo sio rahisi nabhakuna uthibitishobwa uhakika juu ya kauli hii. Makala hii itakwebda kujibubswali la msingi la muuulizaji kama maumivu ya tumbo ni dalili ya ujauzito.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu madhara ya gonorrhea endapo haitotibiwa
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi magonjwa ya koo, ni ugonjwa unaoshambulia sana sehemu ya koo la hewa, na na huwa na dalili zake kama ifuayavyo.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi namna ya kuzuia ugonjwa wa Homa ya inni, ni njia ambazo utumiwa Ili kuepuka kusambaa kwa ugonjwa wa Homa ya inni kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine,
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza baadhi ya dawa za kutibu kiungulia
Soma Zaidi...Posti hii inazungumzia kuhusiana na Ugonjwa wa Bawasiri. Bawasiri ni mishipa iliyovimba kwenye njia yako ya haja kubwa na sehemu ya chini ya puru. Bawasiri inaweza kutokana na kukaza mwendo wakati wa kwenda haja ndogo au kutokana na shinikizo la kuongeze
Soma Zaidi...Post ya leo inaenda kufundisha dalili na hatari za presha ya kupanda. Presha ni ugonjwa unaosababishwa na baadhi ya vitu mbalimbali.pressure hujulikana kwa jina lingine ambolo ni hypertension (pressure ya kupanda). presha hugundulika pale ambapo presha ya
Soma Zaidi...maambukizi ya kawaida ya zinaa (STI), Hujulikana Kama Chlamydia. Huenda usijue una Ugonjwa huu kwa sababu watu wengi hawapati dalili au ishara, kama vile maumivu ya sehemu za siri na kutokwa na uchafu kutoka kwa uke au uume. Maambukizi haya huathiri
Soma Zaidi...