picha

Zijue hatua za kufata ili kuepuka maradhi ya tumbo

Posti hii inaelezea kuhusiana na hatua za kufata ili kujikinga au kuepuka maradhi ya tumbo.kuna vitu vikikosekana husababisha maumivu ya tumbo.

 Zifuatazo Ni dalili za tumbo kuuma.

1.maumivu.

2.kuharisha.

3.kichefuchefu na kutapika.

4.kukosa choo.

 

     Zifuatazo Ni hatua za kufata ili kuepuka maradhi ya tumbo.

1.chemsha maji ya kunywa ili kuua vijidudu ambavyo vinaweza kukusababishia kichefuchefu, kutapika, Kuharisha vilevile tumbo kuuma.

 

2.Epuka uvutaji wa sigara, ugoro, mirungi au tumbaku kwasababu hupelekea kupata madonda ya tumbo na maradhi mengine mbalimbali.

 

3.Epuka matumizi ya pombe ikiwezekana acha kabisa

 

4.osha mikono yako na sabuni kila baada na kabla ya kula na baada ya kutoka msalani.

 

5.Epuka matumizi ya chumvi nyingi Sana kwenye chakula Tena hasa chumvi ya kuongezea kwenye chakula ambacho Ni tayari kimeiva kimeshatengwa mezani hiyo Ni mbaya Sana.

 

6.Epuka matumizi ya sukari nyingi mwilini.

 

7.Jitahidi kupata au kula mboga za majani na matunda maana husaidia kulainisha mmeng'enyo wa chakula na kumsaidia kuboresha afya ya mwili..

 

8.Epuka kula vyakula vilivyokobolewa Mara kwa Mara.

 

9.pata muda wa kufanya mazoezi ili kujenga mwili.

 

10.Jitahidi kupata maji kwa wingi maana husaidia kuyeyusha mmeng'enyo wa chakula.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: magonjwa Main: Post File: Download PDF Views 1464

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Dua za Mitume na Manabii     👉2 Bongolite - Game zone - Play free game     👉3 web hosting     👉4 Madrasa kiganjani     👉5 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     👉6 Simulizi za Hadithi Audio    

Post zinazofanana:

Madhara ya kushindwa kupitisha mkojo.

Posti hii inahusu zaidi madhara ya kushindwa kupitisha mkojo, ni madhara makubwa yanayotokea kwa mtu iwapo akishindwa kupitisha mkojo.

Soma Zaidi...
Kichwa kinaniuma mbele sielewi nini

Zijuwe sababu za kuumwa nankichwa upande mmoja wa kichwa.

Soma Zaidi...
Tatizo la Kikohozi Cha muda mrefu

Posti hii inazungumzia kuhusiana na dalili za Kikohozi cha muda mrefu ni zaidi ya kero. Kikohozi cha muda mrefu kinaweza kuharibu usingizi wako na kukuacha unahisi uchovu. Matukio makali ya kikohozi cha muda mrefu yanaweza kusababisha kutapika, kizunguz

Soma Zaidi...
Je unaweza sex na mwanamke mwenye HIV na ukaenda kupima wiki moja na ukagundurika kwa vipimo vya maabara

Utakapofanya ngono na aliyeathirika haimaanishi na wewe kuwa lazima utakuwa umeathirika. Kuathirika kuna mambo mengi lazima yafanyike.

Soma Zaidi...
Matibabu ya vidonda sugu

Some Hili linakwenda kukueleza kuhusu matibabu ya vidonda vya tumbo sugu

Soma Zaidi...
Dalili za Ugonjwa wa ini

Posti hii inahusu zaidi dalili za ugonjwa wa inni, hizi ni dalili ambazo ujitokeza kwa mtu Mwenye ugonjwa wa inni, Dalili zenyewe ni kama ifuatavyo.

Soma Zaidi...