Zijue hatua za kufata ili kuepuka maradhi ya tumbo
Posti hii inaelezea kuhusiana na hatua za kufata ili kujikinga au kuepuka maradhi ya tumbo.kuna vitu vikikosekana husababisha maumivu ya tumbo.
Zifuatazo Ni dalili za tumbo kuuma.
1.maumivu.
2.kuharisha.
3.kichefuchefu na kutapika.
4.kukosa choo.
Zifuatazo Ni hatua za kufata ili kuepuka maradhi ya tumbo.
1.chemsha maji ya kunywa ili kuua vijidudu ambavyo vinaweza kukusababishia kichefuchefu, kutapika, Kuharisha vilevile tumbo kuuma.
2.Epuka uvutaji wa sigara, ugoro, mirungi au tumbaku kwasababu hupelekea kupata madonda ya tumbo na maradhi mengine mbalimbali.
3.Epuka matumizi ya pombe ikiwezekana acha kabisa
4.osha mikono yako na sabuni kila baada na kabla ya kula na baada ya kutoka msalani.
5.Epuka matumizi ya chumvi nyingi Sana kwenye chakula Tena hasa chumvi ya kuongezea kwenye chakula ambacho Ni tayari kimeiva kimeshatengwa mezani hiyo Ni mbaya Sana.
6.Epuka matumizi ya sukari nyingi mwilini.
7.Jitahidi kupata au kula mboga za majani na matunda maana husaidia kulainisha mmeng'enyo wa chakula na kumsaidia kuboresha afya ya mwili..
8.Epuka kula vyakula vilivyokobolewa Mara kwa Mara.
9.pata muda wa kufanya mazoezi ili kujenga mwili.
10.Jitahidi kupata maji kwa wingi maana husaidia kuyeyusha mmeng'enyo wa chakula.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 web hosting 👉2 Kitabu cha Afya 👉3 Simulizi za Hadithi Audio 👉4 Madrasa kiganjani 👉5 Dua za Mitume na Manabii 👉6 Bongolite - Game zone - Play free game
Post zinazofanana:
Dalili za kuvunjika kwa nyonga
Kuvunjika kwa nyonga ni jeraha kubwa, na matatizo ambayo yanaweza kuhatarisha maisha. Hatari ya kupasuka kwa nyonga huongezeka na umri.
Soma Zaidi...Namna ya kufanya usafi wa sikio
Post hii inahusu zaidi namna ya kufanya usafi wa sikio, sikio ni mojawapo ya ogani ambayo usaidia kusikia,kwa hiyo sikio linapaswa kusafishwa kwa uangalifu kama tutakavyoona hapo chini.
Soma Zaidi...Vijuwe vidonda vya tumbo na madhara yake.
Madonda ya tumbo ni ugonjwa unaotokana na kuwepo kwa vidonda kwenye Koo, tumboni na kwenye utumbo mdogo
Soma Zaidi...dalili za Uvimbe kwwnye jicho (sty)
Sty ni uvimbe mwekundu, chungu karibu na ukingo wa kope ambalo linaweza kuonekana kama jipu au chunusi. Sties mara nyingi hujazwa na usaha. Mtindo kawaida huunda nje ya kope lako. Lakini wakati mwingine inaweza kuunda kwenye sehemu ya ndani ya kope lak
Soma Zaidi...Kivimba kwa utando wa pua
post hii inazungumzia kuhusiana na kuvimba kwa utando wa pua unaoonyeshwa na mchanganyiko wa dalili zifuatazo: Kupiga chafya Msongamano wa pua Muwasho wa kiwambo cha sikio Kuwasha kwa pua na koromeo Uvimbe huu hutokea ikiwa mashambulizi ya kupiga chafya,
Soma Zaidi...