Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za mimba changa
DALILI ZA MIMBA CHANGA
Hapo zamani watu walikuwa wakisubiri kuona tumbo linakuwa ama kuona mwanamke hedhi imekata ndipo waseme kuwa huyu sasa ama mimba. Lakini leo tunaweza kugunduwa mimba mapema sana. Makala hii inakwenda kukujuza dalili za mimba. Dalili hizi zimegawanyika katika makundi kakuu mawili. Kama utakuwa na maoni usiwache kuwasiliana nasi hapo chini.
Dalili za mimba za mwanza toka siku ya 1 mpaka wiki
Hizi ni dalilio ambazo zinaweza kuonekana mapema sana kuliko dalili zingine. Unaweza kuziona dalili hizi siku chache toka kubeba mimba. Wengine huchelewa mapaka wiki inapita na wengine mpaka wiki kadhaa. Dalili hizi ni pamoja na:-
1.Maumivu ya kichwa
2.Kizunguzungu
3.Kichwa kuwa chepesi
4.Maumivu ya tumbo
5.Kutokwa na matone ya damu
6.Moyo kwenda mbio
7.Uchovu.
Si lazima mwanamke azione dalili zote hizo anaweza kuona kadhaa, ama akaona moja tu. Hata hivyo tofauti na kuona matone ya damu kwenye nguo yake ya ndani, dalili zilizobaki sio rahisi kuionz kwa mwanamke ambaye mwili wake umezoea mikikimikiki.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya hapa chini kuipakua sasa!
Umeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu zaidi changamoto za kwenye ndoa kwa wale waliotoa mimba mara Kwa mara,hizi ni changamoto za wakati wa kufanya tendo na mme wake au mtu mwingine kwa ajili ya kupata mtoto.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi siku za kubeba mimba na zisizo za kubeba mimba , tunapaswa kujua hivi Ili kuweza kupanga uzazi na kuepuka njia ambazo ni hatarishi kwa afya zetu.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi sababu za mtoto kuzaliwa akiwa na miezi Saba na nane kwa kawaida mtoto wa hivi anakuwa hajafikisha mda wake kwa hiyo uzaliwa akiwa na miezi saba na nane, kwa hiyo kuna sababu mbalimbali kama tutakavyoona
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi dalili ambazo zilijitokeza zinaweza kusababisha ugumba hasa kwa wanawake, kwa hiyo ni vizuri kabisa kuwa makini kwa Dalili hizi hasa kwa wadada, kama kuna uwezekano wa matibabu tibu mapema ili kuepuka tatizo la kuwa mgumba.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi mambo ya kuzingatia kwa mtoto pindi anapozaliwa,tunajua wazi kuwa mtoto anapoanza kutokeza kichwa tu ndio mwanzo wa kuanza kumtunza mtoto na kuhakikisha anafanyiwa huduma zote za muhimu na zinazohitajika.
Soma Zaidi...Nitajuwaje kama mjamzito amekaribia kujifunguwa, ni dalili gani anaonyesha, dalili za uchungu wa kujifunguwa
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi dalili ambazo mwanamke hapaswi kufumbia macho.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi madhara ya kutumia madawa ya shida ya upumuaji, ni madhara madogo madogo ambayo utokea kwa watumiaji wa matatizo ya kupumua.
Soma Zaidi...Posti hii zaidi kazi ya Dawa ya metronidazole katika kutibu Minyoo, ni aina ya Dawa ambayo imetumiwa na watu wengi wakaweza kupona na kuepukana na minyoo. Zifuatazo ni baadhi ya kazi za metronidazole.
Soma Zaidi...Tezidume ni moja ya magonjwa hayari yanayotokea katika mwili wa mwanaume.Hapa nimekuandalia sababu za kutokea kwa tezi dume.
Soma Zaidi...