image

Mlo kwa wagonjwa wa figo wanaochujwa damu

Posti hii inahusu zaidi mlo kwa wagonjwa wa figo wanaochujwa damu, ni wagonjwa ambao figo zao zimeharibika na zimeshindwa kufanya kazi au pengine kuna uchafu mwingi mwilini ambao uchujwa kwa hiyo kuna vyakula muhimu ambavyo wagonjwa wa figo wanapaswa kutu

Chakula muhimu kwa wagonjwa wa figo wanaochujwa figo.

1. Kwanza kabisa tunaanza na chai ya asubuhi.

Mgonjwa anapaswa kula sehemu ya yai nyeupe, angalau mawili, yai moja liwe na kiini. Pia kwa wakati huo wa asubuhi  mgonjwa anapaswa kula mkate wowote wa slesi 2_3 na pia uji wa nafaka yoyote kwa mfano ulezi, mtama, mahindi na maharage. Pia mgonjwa anapaswa kutumia tunda, mhogo wa kuchemsha na chapati maji pia mgonjwa atumie chai ya maziwa, chai ya rangi,supu kwa upande wa supu anapaswa kutumia kikombe kidogo pamoja na vyakula hivi mgonjwa hapaswi kula mara kwa mara nyama ya dafu.

 

2. Pia mda wa saa nne au saa tano asubuhi.

Maziwa ya mtindo na tunda, mkate wowote, sles moja au mhogo wa wa kuchemsha, chapati maji, chai ya maziwa, chai ya rangi, supu lazima kiwe kikombe kimoja kidogo, pia mgonjwa hasira viazi mviringo, viazi vitamu, mihogo, machimbo, viazi vikuu na maboga kwa hiyo wahudumu wanapaswa kuwa makini katika kufuata mlo kamili.

 

3. Kwa upande wa chakula cha mchana na jioni.

Mgonjwa anapaswa kula wali, chapati bila chumvi, ugali,na au nafaka yoyote, kuku kipa kiasi, dagaa, maharage au kunde mbichi nusu kikombe au njegere na Namna ya kupika maharage, kunde, choroko, dengu, njugu mawe, mbaazi kavu . Pia mgonjwa anapaswa kuepuka nyama ya ng'ombe kuila mara kwa mara angalau mara mbili kwa wiki.

 

4. Pia mgonjwa anapaswa kula mboga mboga za majani kama vile karoti zilizopikwa, matembele, majani ya kunde, majani ya maboga,chinisi kabeji, kabeji iliyopikwa, tango, saladi, vitunguu vibichi figili mbichi, mnavu mahindi, sukuma wiki koliflower  iliyopikwa , bilinganya iliyopikwa maharage Mahanga yaliyopimwa, nyanya chungu  pia mgonjwa anapaswa kuepuka kula mara kwa mara mchicha, bamia, maboga, Spinachi,juisi na supu na mbegu kama ya maboga alizeti,ufuta zitumike kiasi kidogo 





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 1551


Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya     👉2 Kitau cha Fiqh     👉3 kitabu cha Simulizi     👉4 Madrasa kiganjani    

Post zifazofanana:-

Dalili za kifua kikuu kwa watoto.
Posti hii inahusu zaidi dalili za kifua kikuu kwa watoto,ni Dalili ambazo ujitokeza kwa watoto pindi wanapopata Maambukizi ya kifua kikuu. Soma Zaidi...

Madhara ya mwili kujaa sumu
Posti hii inahusu zaidi madhara ambayo yanaweza kupatikana ikiwa mwili unaweza kujaa sumu, kwa sababu mwili unapaswa kuwa huru Ili kuweza kufanya vizuri kazi yake ila ikiwa utajaa Sumu Kuna hatari mbalimbali zinaweza kutokea kama vile. Soma Zaidi...

Ugonjwa wa macho
Posti hii inahusu zaidi ugonjwa wa macho, ni ugonjwa ambao ushambulia zaidi sehemu za nje za macho ambazo kwa kawaida uitwa conjunctiva na cornea hizi sehemu zikipata maambukizi zisipotibiwa mapema uweza kusababisha upofu kwa mgonjwa. Soma Zaidi...

Matibabu ya vidonda sugu
Some Hili linakwenda kukueleza kuhusu matibabu ya vidonda vya tumbo sugu Soma Zaidi...

je maambukizi ya virus vya ukimwi yataonekana kwenye kupimo baada ya siku ngap??
Ni muda gani nitaanza kuona dalili za HIV na kilimo kitaonyesha kuwa nimeathirika? Soma Zaidi...

Matibabu ya vidonda vya tumbo nyumbani
Post hii inahusu zaidi matibabu ya vidonda vya tumbo nyumbani, ni njia ya kawaida ya kujitibu vidonda vya tumbo kama tulivyoona. Soma Zaidi...

NINI MAANA YA MINYOO: vimelea wa minyoo (parasites)
MINYOO NI NINI? Soma Zaidi...

Dalili za uvumilivu wa pombe
Uvumilivu wa pombe unaweza kusababisha athari za haraka, zisizofurahi baada ya kunywa pombe. Ishara na dalili za kawaida za kutovumilia kwa pombe ni pua iliyojaa na Kuvuta ngozi. Uvumilivu wa pombe husababishwa na hali ya maumbile ambayo mwili hauwezi k Soma Zaidi...

UGONJWA WA MALARIA NA TAKWIMU ZA ATHARI YAKE KIDUNIA
Malaria ni katika maradhi ambayo husambazwa na na mbu jike aina ya anopheles. Soma Zaidi...

Ugonjwa wa mfumo wa kinga ya mwili inavyoshambulia ini.
Ugonjwa huu hupelekea kuvimba kwenye ini yako ambayo hutokea wakati mfumo wa kinga ya mwili wako unaposhambulia ini lako. Soma Zaidi...

Sababu za wanawake kuwa na maumivu kwenye kiuno
Posti hii inahusu zaidi sababu za wanawake kuwa na maumivu kwenye viungo, ni ugonjwa unaowapata na wanaume ila kwa wanaweza unaowapata sana ukilinganisha na wanaume. Soma Zaidi...

Dalili za moyo kushindwa kufanya kazi (heart failure)
post inaonyesha dalili mbalimbali za Kushindwa kwa moyo, wakati mwingine hujulikana kama kutofaulu kwa moyo, hutokea wakati misuli ya moyo wako haisukuma damu kama inavyopaswa. Hali fulani, kama vile ateri nyembamba katika moyo wako (Ugonjwa wa ateri y Soma Zaidi...