Njia za kupambana na kuzuia gonorrhea
Somo hili linakwenda kukueleza baadhi ya njia za kupambana na kuzuia gonorrhea
NJIA ZA KUPAMBANA NA KUKABILIANA NA GONORIA (GONORRHEA)
1.Kuwa mwaminifu katika mahusiano wacha kuchepuka
2.Hakikisha mwenza wako yupo salama
3.Usishiriki ngono na mtu aliyeathiriwa na magonjwa ya ngono bila kinga
4.Tumia kondomu
5.Pima mara kwa mara gonoria
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
π1 Kitabu cha Afya π2 web hosting π3 Bongolite - Game zone - Play free game π4 Dua za Mitume na Manabii π5 Tafasiri ya Riyadh Swalihina π6 Kitau cha Fiqh
Post zinazofanana:
Mazoea ya utoto na athari zake kwenye afya ya akili ya mtu mzima.
βUtoto ni kipindi muhimu cha maendeleo ambapo msingi wa tabia, hisia, na utambuzi huwekwa. Makala haya yanachunguza uhusiano wa kina kati ya uzoefu wa utotoni na ustawi wa kisaikolojia katika utu uzima. Kwa kutumia mtazamo wa kitaalamu, tunachambua jinsi mifumo ya malezi inavyoathiri jinsi mtu anavyojenga mahusiano, anavyokabiliana na msongo wa mawazo, na anavyojiheshimu.
Soma Zaidi...Jinsi ya kutofautisha maumivu ya kichwa cha kawaida na ya malaria.
Maumivu ya kichwa ni tatizo la kawaida linaloweza kusababishwa na mambo mengi, kuanzia uchovu, njaa, hadi magonjwa kama malaria. Kwa kuwa malaria ni ugonjwa unaoweza kuwa hatari ndani ya muda mfupi, ni muhimu kujua jinsi ya kutofautisha maumivu ya kichwa ya kawaida na yale yanayoashiria maambukizi ya vimelea vya malaria. Makala haya yanakupa mwongozo wa dalili za msingi ili uweze kuchukua hatua sahihi za kiafya.
Soma Zaidi...Madhara ya minyoo
Posti hii inaonyesha kiufupi kabisa madhara ya minyoo kwenye mwili wa binadamu. Yafuatayo Ni madhara ya minyoo;
Soma Zaidi...Ugonjwa wa kisonono
Posti hii inahusu zaidi ugonjwa wa kisonono, ni ugonjwa unaosababishwa na mdudu ambaye kwa kitaalamu huitwa Neisseria gonococcal.
Soma Zaidi...Tofauti ya dalili za mafua ya kawaida na COVID-19.
βKatika ulimwengu wa sasa, kuelewa tofauti kati ya mafua ya kawaida (common cold) na COVID-19 ni muhimu kwa ajili ya usalama wako na wa jamii inayokuzunguka. Ingawa magonjwa yote mawili husababishwa na virusi na kushambulia mfumo wa upumuaji, yana tofauti muhimu katika jinsi yanavyoanza, muda wake, na dalili zake mahususi. Makala haya yanakupa mwongozo wa kulinganisha dalili ili uweze kuchukua hatua sahihi za kiafya.
Soma Zaidi...