picha
FAIDA ZA EMBE

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula embe
picha
FAIDA ZA KULA APPLE (TUFAHA)

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula apple/tufaha
picha
FAIDA ZA KIAFYA ZA PARACHICHI

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula parachichi
picha
FAIDA ZA KULA NANASI

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula nanasi
picha
FAIDA ZA KULA PARACHICHI

Somo Hili linakwenda kukuletea faida za kula parachichi
picha
HUKUMU ZA KUJIFUNZA TAJWID

Kujifunza tajwid ni katika mambo muhimu wakati wa kusoma Quran
picha
KAMA UNASUMBULIWA NA FANGASI

Post hii fupi inakwenda kukujuza juu ya tatizo la fangasi na nini ufanye.
picha
MTU ANAYE UMWAAA UTI ANAWEZA KUONA SIKU ZAKE?

Kutokuona siku zake mwanamke ni ishara kuwa kuna shida kwenye umfumo wa uzazi. Wakati mwingine kutokuona siku ni ishara ya baraka ya kupata mtoto. Ijapokuwa kuna wengine wanadiriki kutoa mimba kwa sababu zisizo za msingi. Je unadhani UTI inaweza kusababi
picha
JE NA KWA UPANDE WA MWANAUME KUUMWA UPANDE WA KUSHOTO WA TUMBO KUNA SHIDA GANI?

Maumivu ya tumbo upande wa kushoti, kwa mwanamke huwenda ikawa ni ujauzito ama shida nyingine za kiafya kama tumbo kujaa gesi, kukosa choo na kadhalika. Sasa vipi kwa wanaume ni ipi hasa sababu❔
picha
SHIDA YA KIFUA KUBANA INAWEZA KUWA DALILI YA MAAMBUKIZI YA UKIMWI

Kubana kwa kifuwa ni katika hali ambazo si naweza kuhatarisha maisha. Huwenda kuwa ni miongoni mwa dalili za magonjwa mengi. Je unadhani na HIv na UKIMWI ni moja ya magonjwa hayo?
picha
MM TUMBO LINANIUMA MARA KWA MARA NA LINAKUA KAMA LINAGES ALAF KICHWA KINAUMA MARA KWA MARA NA NAKOSA CHOO WAKATI MWINGINE NA KIUNO KINAUMA JE?INAWEZAKUA N UJAUZITO? MAANA NILSHIRKI TENDO LA NDOA SIKU YA TANO BAADA YA KUTOKA HEDHI

Dalili za mwanzo za ujauzito zinaweza kuwa ni changamoto kwamwanamke hasa ikiwa ndio mimba yake ya kwanza. Maumivu ya tumbo, kujaa kwa tumbo gesi, kukosa choo ama hamu ya kula na kadhalika huweza pia kuambatana na ujauzito.
picha
UNAKUTA SIKU IMEFKA YA HEDHI KABLA HAIJAANZA KUTOKA HEDHI YANATOKA MAJI MEUPE CLEAN KABISA HII INA NAAMISHA NINI?

Kutoka na majimaji ka uchache kwa mwanamke sio jambo lakishangaa sana. Damu hii inawezapiabkikbatana damu na maumivu makali.
picha
IV SHEKH HAIFAI KUFUNGA KWA NIA UTIMIZE JAMBO LABDA KUNA KITU UNAKITAKA KWHY UNAAMUA KUGUNGA ILI KAMA KUZIDISHA MAOMBI KWA MUNGU JAMBO LIFANIKIWE

Ibada yavfubga ni katika ibadavanbazo hufanya nakaribia dini zote kubwa. Ibada hii imekuwaikikabiliw na naswlo mengi.
picha
LAZIMA MATITI KUUMA KA MIMBA CHANGA?

Kuuma mwa matiti ni moka ya Ichiro kuwa huwenda ni ujauzito. Hii haimaanishi etindio mjamzito, zipo dalili nyingi za ujauzito. Hata hivyo kuona dalili za ujauzito haimaanishi umepata tayari ujauzito. Kwanza fanya vipimondipo Upate uhakika
picha
MEM MTOTO ANG ALMEZA SUMU YAPANYA ILA TULIMPA MAZIWA KWAN INAWEZA LETA MADHARA KWABAADAE MANA ATUKUMPELEKA HOSPTAL

Maziwa ni mojakati ya vinywaji ambavyo ni dawa na hutumikakutoa huduma ya kwanza pale mtu anapomeza ama kula sumu. Huduma ya kwanza hii inaweza kuokoa maisha na wakati mwingine inaweza kuwa ndio dawa kabisa wala hakuna haja ya kufika Kituo cha afya.
picha
JE TUMBO HUANZA KUKUA BAADA YA MDA GAN?

Ni Swali kila mjamzito anataka kujiuliza hasa akiwa katika mimba ya kwanza. Wengine wanataka kujuwa ni muda gani anujuwe mavazi makubwa. Kama na wewe unataka kujuwa muda ambao tumbo huwa kubwa, endelea kusoma.
picha
MIMI NAUMWA NA TUMBO CHINI YA KITOVU UPANDE WA KULIA, NINAPOTOK KUSHIRIKI TENDO LA NDOA NDONAPATA MAUMIVU ZAID PIA NAWASHWA SEHEMU ZA SIRI ITAKUWA SHIDA NI NIN?

Maumivu ya tumbo baada ya tendo la ndoa yanaweza kuwa ni dalili ya maradhi fulani, ama shida kwenye mfumo w uzazi. PID na UTI hutuhumiwa kuwa ni katika sababu hizo. Ila zipo nyingine nyingi tu. Kama ina hali hii vyema ukafika kituo cha afya
picha
HABAR DOCTOR MM NAHC KUWA NI MJAMZITO TUMBO LA CHIN YA KITOVU LINANIUMA MUDA MWINGINE LINAACHA CHUCHU ZINAWASHA NA CKU NILIYOKUTANA NA MUME WANGU NI CKU 11

Kuna uwezekano una ujauzito ila hujajijuwa, huwenda hujapata dalili zozote. Unataka kujuwa kama una ujauzito baada ya tendo la ndoa.
picha
FAIDA ZA KULA VIAZI MBATATA

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula viazi mbatata
picha
FAIDA ZA KIAFYA ZA VIAZI VITAMU

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula viazi vitamin
picha
FAIDA ZA KIAFYA ZA KULA MIHOGO

Some Hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula mihogo
picha
FAIDA ZA KIAFYA ZA SPINACHI

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula spinach
picha
FAIDA ZA KIAFYA ZA KUNYWA CHAI

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kunywa chai



Page 194 of 202

Kuhusu Bongoclass


image

Bongoclass ni jukwaa la Kitanzania lenye lengo la kushirikisha maarifa na akili ili kukuza uwezo wa watu binafsi na jamii kwa ujumla. Kupitia tovuti yetu, programu ya simu, na mitandao ya kijamii, Bongoclass hutoa maudhui ya elimu bure kwa Kiswahili katika maeneo mbalimbali kama afya, burudani, na masomo ya shule. Jukwaa hili linajikita katika kutoa fursa za kujifunza, kushirikiana, na kukuza uchumi kwa kuzingatia muktadha wa kitamaduni na lugha ya Kiswahili.