Navigation Menu



image

JSON somo la 1: Maana ya json

Katika somo hili utakwend akujifunz amaana ya json, umuhimu wake na kazi zake.

Utangulizi wa JSON

Maana ya JSON

JSON (JavaScript Object Notation) ni format inayotumika kuhifadhi na kubadilishana data. Ni rahisi kusomwa na kuandikwa na binadamu, na pia rahisi kwa mashine kuchakata. Data katika JSON huandikwa kwa kutumia jozi za key na value.

 

Muundo wa JSON:

  1. Key ni jina linaloelezea data.
  2. Value ni thamani inayowakilisha data.

 

Mfano wa JSON Rahisi:

{
  "jina": "John Doe",
  "umri": 30,
  "ndoa": true,
  "watoto": ["Anna", "Ella"],
  "anwani": {
    "mtaa": "Kigonzi",
    "mji": "Mpanda",
    "post": "30"
  }
}

 

Maelezo ya Mfano Huu:

<">...



Nicheki WhatsApp kwa maswali





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu image Tarehe 2024-12-07 10:16:02 Topic: JSON Main: Masomo File: Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 107


Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani     👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉3 kitabu cha Simulizi     👉4 Simulizi za Hadithi Audio     👉5 Kitabu cha Afya     👉6 Kitau cha Fiqh    

Post zifazofanana:-

Json somo la 6: Jinsi json inavyohifadhiwa kwenye database
Katika somo hili utakwend akujifunza namna ambavyo json inaweza kuhifadiwa kwenye database Soma Zaidi...

JSON somo la 1: Maana ya json
Katika somo hili utakwend akujifunz amaana ya json, umuhimu wake na kazi zake. Soma Zaidi...

Json somo la 2: Sheria za uandishi wa Json
Katika somo hili utakwenda kujifunza sheria za uandishi wa json Soma Zaidi...

Json somo la 4: Jinsi ya ku encode na ku decode data za json
Katika somo hili utakwend akujifunz aku encode na ku decode data za json katika baadhi ya language Soma Zaidi...

Json somo la 7: Aina za database ambazo zinafuata mtindo wa json
Kuelewa aina mbalimbali za database zinazotumia au kufuata mtindo wa JSON kwa uhifadhi wa data, faida zake, na mifano ya matumizi. Soma Zaidi...

Json somo la 5: Aina za data zinazotumika kwenye json
atika somo hili utakwenda kujifunza ainza za data zinazotumika kwenye Json Soma Zaidi...

Json somo la 3: Matumizi ya Json
Katika somo hili utakwend akujifunza baadhi ya matumizi ya Json Soma Zaidi...