Maandalizi kwa ajili ya kifo

Maandalizi kwa ajili ya kifo

Mwanadamu anatakiwa aishi huku akikumbuka kuwa ipo siki atakufa. Hivyo basi inatupata lujiandaa mapema kwa ajili ya kifo.

Download Post hii hapa

MAANDALIZI BINAFSI KABLA YA KUFA

 


Kwakuwa kila mtu anatambua kuwa ipo siku atakufa hivyo ni vyema kuanza kujiandaa mapema. Maandalizi haya yanaweza kuwa kabla ya kuumwa ama wakati wa kuumwa. Pia maandalizi haya yanaweza kuwa ni ya muda mrefu kabla ya kufa ama sekunde chache kabla ya kuumwa. Kwa ufupi makala hii itakueleza maandalizi haya kwa kuyaorodhesha tu.

 

Maandalizi binafsi kabla ya kufa:
1.Kufanya mambo mema na kwacha mambo maovu.
2.Kutoa usia katika mali zako, na utaratibu wa usi ni kuwa hutahusia katika mali yako kiasi kitakachoziki theluthi, pia hutamuhusia katika mali yako mtu anayekurithi. Pia hakikisha kuwa unafanya uadilifu katika kuhusia. Na katu usihusie mambo maovu.

 

3.Kulipa madeni inapowezekana.
4.Kutubua madhambi, toba itakubalika muda wowote kabla ya kutoka kwa roho. Inakupasa kuzijuwa sharti za toba na namna ya kutubia. Toba inakubaliwa kwa madhambi yote uliyoyafanya kwa siri ama kwa dhahiri, makubwa na madogo.


5.Kuleta adhkari muda mwingi na kumkumbuka Allah. Kufanya istighfas wakati mwingi. Hii itakukurubisha kwa Allah zaii na kufanya matendo yako mema yakubaliwe.


6.Kuwa na subira, kuridhika na kumdhania mema Allah.
7.Katu usitamani kufa, kutamani kufa kumekatazwa katika uislamu.
8.Tembelea wagonjwa ukiweza, na tumia muda kuyafikiria mauti.

 

Download Post hii hapa

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Fiqh Main: Dini File: Download PDF Views 2132

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Simulizi za Hadithi Audio    👉2 Kitau cha Fiqh    👉3 Kitabu cha Afya    👉4 Bongolite - Game zone - Play free game    👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉6 kitabu cha Simulizi   

Post zinazofanana:

Sifa za imamu wa swala ya jamaa
Sifa za imamu wa swala ya jamaa

Post hii inakwenda kukupa sifa za imamu wa msikitini anayepasa kuswalisha swala ya jamii.

Soma Zaidi...
Tofauti kati ya zakat na sadaqat
Tofauti kati ya zakat na sadaqat

Nguzo za Imani, tofauti kati ya sadaqat na zakat (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)

Soma Zaidi...
Ufafanuzi kuhudu mgogoro wa mwezi ni muda gani mtu aanze kufunga.
Ufafanuzi kuhudu mgogoro wa mwezi ni muda gani mtu aanze kufunga.

Je inapoonekana sehemu moja tufunge duania nzima ama tufunge kwa kuangalia mwandamo katika maenro tunayoishi.

Soma Zaidi...
Sera ya uchumi katika uislamu
Sera ya uchumi katika uislamu

Hapa utajifunza sera za kiuchumi katika uchumi wa kiislamu. Hapa utajifunza sera kuu tatu za uchumi wa kiislamu.

Soma Zaidi...
Haki za maadui katika vita (mateka wa kivita)
Haki za maadui katika vita (mateka wa kivita)

Haki na uadilifu katika uislamu (EDK form 3: Dhana ya elimu ya uislamu)

Soma Zaidi...
Mifumo ya benki na kazi zake
Mifumo ya benki na kazi zake

Hapa utajifunza kazi za benki.

Soma Zaidi...
Hutuba ya Ndoa - Khutbat nikah
Hutuba ya Ndoa - Khutbat nikah

Hii ni hutuba ya ndoa kwa ufupi, Imekusanya mambo ya msingi yanayohitajika katika hutuba ya ndoa

Soma Zaidi...
Funga ya ramadhan na nyinginezo
Funga ya ramadhan na nyinginezo

Nguzo za uislamu (EDK form 2; dhana ya elimu ya uislamu)

Soma Zaidi...