Mwanadamu anatakiwa aishi huku akikumbuka kuwa ipo siki atakufa. Hivyo basi inatupata lujiandaa mapema kwa ajili ya kifo.
Kwakuwa kila mtu anatambua kuwa ipo siku atakufa hivyo ni vyema kuanza kujiandaa mapema. Maandalizi haya yanaweza kuwa kabla ya kuumwa ama wakati wa kuumwa. Pia maandalizi haya yanaweza kuwa ni ya muda mrefu kabla ya kufa ama sekunde chache kabla ya kuumwa. Kwa ufupi makala hii itakueleza maandalizi haya kwa kuyaorodhesha tu.
Maandalizi binafsi kabla ya kufa:
1.Kufanya mambo mema na kwacha mambo maovu.
2.Kutoa usia katika mali zako, na utaratibu wa usi ni kuwa hutahusia katika mali yako kiasi kitakachoziki theluthi, pia hutamuhusia katika mali yako mtu anayekurithi. Pia hakikisha kuwa unafanya uadilifu katika kuhusia. Na katu usihusie mambo maovu.
3.Kulipa madeni inapowezekana.
4.Kutubua madhambi, toba itakubalika muda wowote kabla ya kutoka kwa roho. Inakupasa kuzijuwa sharti za toba na namna ya kutubia. Toba inakubaliwa kwa madhambi yote uliyoyafanya kwa siri ama kwa dhahiri, makubwa na madogo.
5.Kuleta adhkari muda mwingi na kumkumbuka Allah. Kufanya istighfas wakati mwingi. Hii itakukurubisha kwa Allah zaii na kufanya matendo yako mema yakubaliwe.
6.Kuwa na subira, kuridhika na kumdhania mema Allah.
7.Katu usitamani kufa, kutamani kufa kumekatazwa katika uislamu.
8.Tembelea wagonjwa ukiweza, na tumia muda kuyafikiria mauti.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Je jamii inachukuliaje swala la kuoa mke zaidi ya mmoja.
Soma Zaidi...Kipengele hichi tutajifunza namna ya kusimamisha swala ukiwa safarini na vitani na nguzo zake.
Soma Zaidi...Zaka, kilugha ni kukua; kubariki na kuzidi kheri.
Soma Zaidi...Hapa utajifunza sera za kiuchumi katika uchumi wa kiislamu. Hapa utajifunza sera kuu tatu za uchumi wa kiislamu.
Soma Zaidi...Masharti ya Utoaji wa Zakat na Swadaqat Utoaji katika njia ya Allah (s.
Soma Zaidi...Ugumba ni รขโฌลugonjwa wa mfumo wa uzazi unaofafanuliwa kwa kushindwa kupata ujauzito baada ya miezi 12 au zaidi ya kujamiiana bila kinga mara kwa mara. Utasaรย kutoweza kwa kiumbe hai kufanya uzazi wa ngono au kutoweza kupata mimba au kuchangia mimba.
Soma Zaidi...