picha

Maandalizi kwa ajili ya kifo

Mwanadamu anatakiwa aishi huku akikumbuka kuwa ipo siki atakufa. Hivyo basi inatupata lujiandaa mapema kwa ajili ya kifo.

MAANDALIZI BINAFSI KABLA YA KUFA

 


Kwakuwa kila mtu anatambua kuwa ipo siku atakufa hivyo ni vyema kuanza kujiandaa mapema. Maandalizi haya yanaweza kuwa kabla ya kuumwa ama wakati wa kuumwa. Pia maandalizi haya yanaweza kuwa ni ya muda mrefu kabla ya kufa ama sekunde chache kabla ya kuumwa. Kwa ufupi makala hii itakueleza maandalizi haya kwa kuyaorodhesha tu.

 

Maandalizi binafsi kabla ya kufa:
1.Kufanya mambo mema na kwacha mambo maovu.
2.Kutoa usia katika mali zako, na utaratibu wa usi ni kuwa hutahusia katika mali yako kiasi kitakachoziki theluthi, pia hutamuhusia katika mali yako mtu anayekurithi. Pia hakikisha kuwa unafanya uadilifu katika kuhusia. Na katu usihusie mambo maovu.

 

3.Kulipa madeni inapowezekana.
4.Kutubua madhambi, toba itakubalika muda wowote kabla ya kutoka kwa roho. Inakupasa kuzijuwa sharti za toba na namna ya kutubia. Toba inakubaliwa kwa madhambi yote uliyoyafanya kwa siri ama kwa dhahiri, makubwa na madogo.


5.Kuleta adhkari muda mwingi na kumkumbuka Allah. Kufanya istighfas wakati mwingi. Hii itakukurubisha kwa Allah zaii na kufanya matendo yako mema yakubaliwe.


6.Kuwa na subira, kuridhika na kumdhania mema Allah.
7.Katu usitamani kufa, kutamani kufa kumekatazwa katika uislamu.
8.Tembelea wagonjwa ukiweza, na tumia muda kuyafikiria mauti.

 

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Fiqh Main: Post File: Download PDF Views 2989

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
๐Ÿ‘‰1 web hosting     ๐Ÿ‘‰2 kitabu cha Simulizi     ๐Ÿ‘‰3 Kitabu cha Afya     ๐Ÿ‘‰4 Bongolite - Game zone - Play free game     ๐Ÿ‘‰5 Kitau cha Fiqh     ๐Ÿ‘‰6 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    

Post zinazofanana:

Faida za funga

Nguzo za uislamu (EDK form 3: dhana ya elimu ya uislamu)

Soma Zaidi...
Maana ya swala

Maana ya Swala Maana ya Swala kilugha(a) Kilugha Katika lugha ya Kiarabu neno ยSwalaatย lina maana ya ยombi au ยdua.

Soma Zaidi...