picha

Maandalizi kwa ajili ya kifo

Mwanadamu anatakiwa aishi huku akikumbuka kuwa ipo siki atakufa. Hivyo basi inatupata lujiandaa mapema kwa ajili ya kifo.

MAANDALIZI BINAFSI KABLA YA KUFA

 


Kwakuwa kila mtu anatambua kuwa ipo siku atakufa hivyo ni vyema kuanza kujiandaa mapema. Maandalizi haya yanaweza kuwa kabla ya kuumwa ama wakati wa kuumwa. Pia maandalizi haya yanaweza kuwa ni ya muda mrefu kabla ya kufa ama sekunde chache kabla ya kuumwa. Kwa ufupi makala hii itakueleza maandalizi haya kwa kuyaorodhesha tu.

 

Maandalizi binafsi kabla ya kufa:
1.Kufanya mambo mema na kwacha mambo maovu.
2.Kutoa usia katika mali zako, na utaratibu wa usi ni kuwa hutahusia katika mali yako kiasi kitakachoziki theluthi, pia hutamuhusia katika mali yako mtu anayekurithi. Pia hakikisha kuwa unafanya uadilifu katika kuhusia. Na katu usihusie mambo maovu.

 

3.Kulipa madeni inapowezekana.
4.Kutubua madhambi, toba itakubalika muda wowote kabla ya kutoka kwa roho. Inakupasa kuzijuwa sharti za toba na namna ya kutubia. Toba inakubaliwa kwa madhambi yote uliyoyafanya kwa siri ama kwa dhahiri, makubwa na madogo.


5.Kuleta adhkari muda mwingi na kumkumbuka Allah. Kufanya istighfas wakati mwingi. Hii itakukurubisha kwa Allah zaii na kufanya matendo yako mema yakubaliwe.


6.Kuwa na subira, kuridhika na kumdhania mema Allah.
7.Katu usitamani kufa, kutamani kufa kumekatazwa katika uislamu.
8.Tembelea wagonjwa ukiweza, na tumia muda kuyafikiria mauti.

 

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 2022/08/15/Monday - 11:48:22 am Topic: Fiqh Main: Dini File: Download PDF Views 2726

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
๐Ÿ‘‰1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    ๐Ÿ‘‰2 ai web app    ๐Ÿ‘‰3 Bongolite - Game zone - Play free game    ๐Ÿ‘‰4 Simulizi za Hadithi Audio    ๐Ÿ‘‰5 web hosting    ๐Ÿ‘‰6 Dua za Mitume na Manabii   

Post zinazofanana:

Mtazamo wa uislamu juu ya ndoa ya mke zaidi ya mmoja

Je jamii inachukuliaje swala la kuoa mke zaidi ya mmoja.

Soma Zaidi...
kuletewa ujumbe

(c)Kuletewa Ujumbe na Malaika kutoka kwa Allah (s.

Soma Zaidi...
Jukumu la serikali katika kuzuia dhuluma

Serikali ina nafasi kubwa katika kuzuia dhulma na kufanya uchumibuwe huru kuyokana na dhulma.

Soma Zaidi...
Kwa nini imefaradhishwa kufunga mwezi wa Ramadhani

Unaweza kijiuliza ni kwa nini hasa kimepelekea kufaradhishwa kufunga mwezi wa Ramadhani.

Soma Zaidi...
Tofauti kati ya fiqh na sheria

Kipengele hichi tutajifunza tofauti kati ua fiqh na sheria.

Soma Zaidi...
Maana ya swala

Maana ya Swala Maana ya Swala kilugha(a) Kilugha Katika lugha ya Kiarabu neno ยSwalaatย lina maana ya ยombi au ยdua.

Soma Zaidi...