Menu



KOTLIN somo la 2: sheria na kanuni za uandishi wa code za Kotlin

Katika somo hili unakwenda kujifunza kuhusu sheria na kanuni za undishi wa code za Kotlin yaani syntax za kotlin.

Somo leu moja kwa moja linakwenda kuanzia kwenye code za hello world. Copi code hizo hapo chini  kisha pest kwenye text editor unayotumia.

fun main() {

   println("Hello World")

}

 

1. Kotlin file extension

Format ya faili ya Kotlin ni kt. Mfano faili linaloitwa mafunzo litaandikwa hivi mafunzo.kt .kwa wale ambao mnatumia jetbrain  faili lako utaliona kwenye folda linaloitwa kotlin. Angalia upande wa kushoto kuna palipoandikwa scr bofya hapo kisha bofya main kisha bofya kotlin hapo utalikuta faili lako. Kuanzi hapo ndipo tunapoendelea kufanyia mazoezi.

 

2. Mwanzo wa program

Kama ukiangalia ode hizo hapo juu utaona program yetu imeanza na keyword fun, hii keyword ama hili neno hutumika katika kuandika function. Funnction ni kikundi cha code ambazo huweza kutumika kufanya kazi fulani. Tunajifunza zaidi huko mbele.

 

Kisha utaona kuna keyword nyingine main() hii ndio function yenyewe. Hii huonyesha mwanzo wa program ya kotlin. Function hii code zake zipo ndani ya {}. Kwa mfano utaona hapo kuna println(“hello world”). Hapo kuna function nyingine ya println() hii hutumika ku print matokeo ya code kwenye screen. 


 

Sasa ili kuona matokeo bofya batani ya kijani iliyofanana na batani ya kuplay mziki, inapatikana kwa juu katikati hii ni kwa wanaotumia kompyuta na software ya jetbrain. Kwa wale wanaotumia simu bofya batani ya ku play ama fuata maelekezo ya App unayotuia. Na kama unatumia online compiler weka code kusha bofya run.

 

Kisha angalia kwa chini itakuwa inaonyesha kama ina run. Ikimaliza unaona neno hello world kwenye ubao mweusi kwa chini. Huo unao ndio unaitwa console angalia picha hapo chini namba 3. Namba 1 inaonyesha neno java hapa nataka utambuwe kuwa kotlin yenyewe inafanyakazi kwenye java environment na hapo kwenye namba 2 utaona kuna 0. Hiyo inaonyesha kuwa code zime run bila hata ya matatizo.

Kama unatumia software nyingine maelekezo hayo hapo juu unaweza kuwa tofauti.

 

Katika matoleo ya zamani ya Kotlin ulihitajika kuweka parameter kwenye main function ambapo mfano wa hapo juu utaandikwa hivi

fun main(args : Array<String>) {

   println("Hello World")

}

 

3. String na nmba

String ni mkusanyiko wa herufi, namba, na alama nyinginezo. Mfano mafunzo_55@bongoclass.com . Sasa unapoandika string utatakiwa kutumia alama ya () yaani quotation mark ama alama za kunukuu. Hivyo itaandikwa mafunzo_55@bongoclass.com kama hutoweka hizo alama haitaweka ku run. Ama kuhusu namba huna haja ya kuweka hizo alama. N">...

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass

Nyuma Endelea

Ndio     Hapana     Save post
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Kotlin Main: Masomo File: Download PDF Views 694

Share On:

Facebook WhatsApp

Post zinazofanana:

KOTLIN somo la 19: method na properties zinazotumika kwenye set

Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu set data type pamoja na method ambazo hufanya kazi kwenye set.

Soma Zaidi...
KOTLIN somo la 3: Jinsi ya kuandika variable

Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kuandika variable kweye Kotlin. pia utakwenda kujifunza kuhusu concatnation na interpolation

Soma Zaidi...
KOTLIN somo la 18: string na method zinazotumika kwenye list data type.

Katika somo hili tutajifunza method zinazofanya kazi kwenye list data type kwenye Kotlin.

Soma Zaidi...
KOTLIN somo la 11:Jinsi ya kutumia break na continue kwenye loop

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu break na continue kwenye Kotlin loop za for loop na while loop.

Soma Zaidi...
KOTLIN somo la 7: Jinsi ya kutumia If na ifelse kwenye Kotlin

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu namna ambavyo program inaweza kufanya maamuzi kulingana na mashart fulani.ama namna ambavyo program inaweza ku run code zaii ya mara moja kulingana na mashart. Hapa tutazingumzia flow of control statement

Soma Zaidi...
KOTLIN somo la 13: Jinsi ya kuandika function na kuweka parameter

Katika somo hili utakwend akujifunza maana ya function, jinsi ya kuandika function na kuweka parameter kwenye function

Soma Zaidi...
KOTLIN somo la 21: Jinsi ta kutengeneza library

Katika somo hili utajifunza kuhusu Kotlin library. Pia tutakwenda kutengeneza library yetu wenyewe kwa ajili ya kufanya mazoezi zaidi.

Soma Zaidi...
HOTLIN somo la 9: Jinsi ya kutumia for loop

Katika somo hli utakwend akujifunza kuhusu loop kwenye kOTLIN. Loop zimegawanyika katika makundi mnne ambayo ni for loop, while loop, for in loop na do while loop.

Soma Zaidi...
KOTLIN somo la 10: Jinsi ya kutumia while loop na do while loop

Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu while loop na do while loop zinavyofanya kazi katika Kotlin.

Soma Zaidi...
KOTLIN somo la 4: Aina za Data kwenye Kotlin

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu aina za data zinazotumika kwenye Kotlin.

Soma Zaidi...