picha
FLUTTER SOMO LA 10: JINSI YA KUTUMIA WIDGET YA CONTAINER

Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu widget ya container pia tutajifunza jinsi widget hii inavyoweza kutumika na widget nyingine.
picha
FLUTTER SOMO LA 9: JINSI YA KUTUMIA WIDGET YA ROW

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu row widget. Hii ni widget ambayo ina utofauti na column widget kwa kuwa hii yenyewe inapangilia maudhui kwa safu za mlalo, tofauti na iliyopita inapangilia kwa safu za wima.
picha
FLUTTER SOMO LA 8: JINSI YA KUTUMIA WIDGET YA COLUMN

Katika somo hili utakweda kujifunza kuhsu widget ya column. Widget hii ni moja katika widget zilizo muhimu sana kuzifaham.
picha
FLUTTER SOMO LA 7: JINSI YA KUTUMIA WIDGET YA APPBAR

Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu widget ya AppBar. Hata tutaona inavyofanya kazi na baadhi ya property zake.
picha
FLUTTER SOMO LA 6: SCAFFOLD WIDGET, KAZI ZAKE NA PROPERTY ZAKE

Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu scaffold widget. Hapa tutakwend kuona properties zake na baadhi ya mifano.
picha
FLUTTER SOMO LA 5: WIDGET NI NINI NA ZINAFANYA NINI KWENYE FLUTTER

Katika somo hili uatwkeda kujifunza zaidi kuhusu widget, maana yake, aia zake na kazi zake kwneye flutter.
picha
FLUTTER: SOMO LA 4: JINSI YA KUANDIKA CODE ZA APP YA FLUTTER, HATUWA KWA HATUWA

Katika somo hili utakwenda kujifunza sasa jinsi ya kuandika code za app yetu kwenye flutter framework.
picha
FLUTTER: SOMO LA 3: MAMBO MUHIMU KUHUSU APP YA FLUTTER

Katika somo hili tutakwend akuyaona baadhi ya maeneo muhimu ya kuanzia kuyajuwa kwa ajili ya course ya flutter kwneye android studio.
picha
FLUTTER SOMO LA 2: JINSI YA KUTENGENEZA APP YA FLUTTER

Katika somo hili utajifunza jinsi ya kutengeneza App yako ya kwanza ya Flutter hatuwa kwa hatuwa.
picha
FLUTTER SOMO LA 1: NINI FLUTTER NA NINI HASA INAFANYA

Katika somo hili utajifunza historia fupi ya flutter, kazi zake, nini hasa inafanya. pia utajifunza jinsi ya ku install flutter
picha
NISOME LANGUAGE GANI ILI NIWEZE KUTENGENEZA APP

Kama Bado unajiuliza u some language IPO ya kompyuta ili uweze kutengeneza App basi post hii itakusaidia.
picha
KOTLIN SOMO LA 21: JINSI TA KUTENGENEZA LIBRARY

Katika somo hili utajifunza kuhusu Kotlin library. Pia tutakwenda kutengeneza library yetu wenyewe kwa ajili ya kufanya mazoezi zaidi.
picha
KOTLIN SOMO LA 20: METHOD NA PROPERTIES ZA MAP

Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu method ambazo hutumika kwenye map data type
picha
KOTLIN SOMO LA 19: METHOD NA PROPERTIES ZINAZOTUMIKA KWENYE SET

Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu set data type pamoja na method ambazo hufanya kazi kwenye set.
picha
KOTLIN SOMO LA 18: STRING NA METHOD ZINAZOTUMIKA KWENYE LIST DATA TYPE.

Katika somo hili tutajifunza method zinazofanya kazi kwenye list data type kwenye Kotlin.
picha
KOTLIN SOMO LA 17: METHOD NA PROPERTIES ZA NAMBA

Katika somo hili tutajifunza kuhusu method na properties za Kotlin zinazofanya kazi kwenye namba.
picha
KOTLIN SOMO LA 16:BAADHI YA METHOD NA PROPERIES ZINAZOFANYA KAZI KWENYE STRING

Katika somo hili tutajifunza kuhusu method za String zinazotumika kwenye Kotlin.
picha
KOTLIN SOMO LA 15: AINZA ZA PARAMETER KWENYE FUNCTION

Katika somo hili tutakwenda kuzungumzia kuhusu parameter kwenye Kotlin function. Pia tutakwenda kuona mambo mengine yanayohusu function
picha
KOTLIN SOMO LA 14: AINA ZA FUNCTION KWENYE KOTLIN

Katika somo hili tutakwenda kuingia ndani zaidi kwenye somo la function. Hapa tutakwenda kuona aina za function.
picha
KOTLIN SOMO LA 13: JINSI YA KUANDIKA FUNCTION NA KUWEKA PARAMETER

Katika somo hili utakwend akujifunza maana ya function, jinsi ya kuandika function na kuweka parameter kwenye function
picha
KOTLIN SOMO LA 12: JINSI YA KUPATA USER INPUT

Jinsi ya kuchukuwa user input kwenye Kotlin kwa ajili ya kuongeza user interaction kwenye program.
picha
KOTLIN SOMO LA 11:JINSI YA KUTUMIA BREAK NA CONTINUE KWENYE LOOP

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu break na continue kwenye Kotlin loop za for loop na while loop.
picha
KOTLIN SOMO LA 10: JINSI YA KUTUMIA WHILE LOOP NA DO WHILE LOOP

Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu while loop na do while loop zinavyofanya kazi katika Kotlin.
picha
HOTLIN SOMO LA 9: JINSI YA KUTUMIA FOR LOOP

Katika somo hli utakwend akujifunza kuhusu loop kwenye kOTLIN. Loop zimegawanyika katika makundi mnne ambayo ni for loop, while loop, for in loop na do while loop.



Page 2 of 197

Kuhusu Bongoclass


image

Bongoclass ni jukwaa la Kitanzania lenye lengo la kushirikisha maarifa na akili ili kukuza uwezo wa watu binafsi na jamii kwa ujumla. Kupitia tovuti yetu, programu ya simu, na mitandao ya kijamii, Bongoclass hutoa maudhui ya elimu bure kwa Kiswahili katika maeneo mbalimbali kama afya, burudani, na masomo ya shule. Jukwaa hili linajikita katika kutoa fursa za kujifunza, kushirikiana, na kukuza uchumi kwa kuzingatia muktadha wa kitamaduni na lugha ya Kiswahili.