picha
DALILI ZA MAAMBUKIZI KWENYE NEPHRONI

Post hii inahusu zaidi maambukizi kwenye nephroni, uweza kutokea kwenye figo Moja au zote mbili.

picha
DALILI ZA UJAUZITO: NINI KINATOKEA KWANZA

Je, unafahamu dalili za mwanzo za ujauzito? Kutoka kwa kichefuchefu hadi uchovu, ujue nini cha kutarajia.

picha
MAAMBUKIZI KWENYE MRIJA WA MKOJO(URETHRITIS )

Posti hii inahusu zaidi maambukizi kwenye mrija wa mkojo, maambukizi haya usababishwa na virusi na bakteria.

picha
MAMBO YA KUZINGATIA KWA MAMA MWENYE MIMBA

Posti hii inahusu zaidi mambo ya kuzingatia kwa Mama mwenye mimba, ni kipindi ambacho Mama uhitahi uangalizi wa karibu zaidi.

picha
FAIDA ZA UZAZI WA MPANGO KWA WATU WENYE UGONJWA WA UKIMWI

Posti hii inahusu zaidi faida za uzazi wa mpango kwa watu waliopata maambukizi ya ugonjwa wa Ukimwi, ni faida wanazozipata...

picha
NJIA ZA UZAZI WA MPANGO KWA WATU WENYE UKIMWI

Posti hii inahusu zaidi njia za uzazi wa mpango kwa watu waliopata maambukizi ya Virusi vya Ukimwi.

picha
YAJUE MAAMBUKIZI KWENYE EPIDIDIMISI KWA KITAALAMU HUITWA (EPIDIDYMITIS)

Post hii inahusu zaidi maambukizi kwenye epididimisi, ni maambukizi ambayo hutokea kwenye epididimisi na kusababisha matatizo mengi.

picha
DALILI ZA MAAMBUKIZI KWENYE UUME

Post hii inahusu zaidi dalili za maambukizi kwenye uume, ni dalili ambazo ujitokeza pale maambukizi yanapotokea kwenye uume.

picha
MADHARA YA KUTOTIBU UGONJWA WA MAKENDE KUSHINDWA KUSHUKA

Posti hii inahusu zaidi madhara ya kutotibu magonjwa ya makende kushindwa t, hiki ni tatizo na huleta madhara

picha
ZIJUE SABABU ZA KUSHINDWA KUSHUKA KWA MAKENDE (TESTICLE))

Posti hii inahusu zaidi tatizo la kushindwa kushuka kwa makende kutoka kwenye tumbo kwenda kwenye skolatumu(scrotum).

picha
MAAMBUKIZI KWENYE UUME

Post hii inahusu zaidi maambukizi kwenye uume, maambukizi hata utokea kwenye kichwa Cha uume kwa kitaalamu huitwa Balanitis, zifuatazo ni...

picha
MADHARA YA KUTOTIBU MAGONJWA YA VIDONDA VYA TUMBO

Post hii inahusu zaidi madhara ya kutotibu magonjwa ya vidonda vya tumbo, ni hatari inayotokea kwa mtu ambaye haujatibiwa vidonda...

picha
NAMNA YA KUWASAIDIA WAGONJWA WA VIDONDA VYA TUMBO

Post hii inahusu zaidi namna ya kuwasaidia wagonjwa wa vidonda vya tumbo, ni njia ya kuwasaidia wagonjwa waliopata madonda ya...

picha
MADHARA YA MAAMBUKIZI KWENYE TUMBO

Posti hii inahusu zaidi madhara ya maambukizi kwenye tumbo,hasa pale ambapo mgonjwa hakutibiwa

picha
DALILI ZA MAAMBUKIZI KWENYE TUMBO NA UTUMBO MDOGO

Posti hii inahusu zaidi maambukizi kwenye tumbo na utumbo mdogo,ni dalili ambazo ujionesha kwa mtu akiwa na shida kwenye utumbo...

picha
NAMNA YA KUJIKINGA NA UGONJWA WA MADONDA YA KOO

Post hii inahusu zaidi namna ya kuzuia ugonjwa wa madonda ya koo,ni njia ambazo usaidia katika kujikinga na ugonjwa wa...

picha
MADHARA YA UGONJWA WA MADONDA YA KOO USIPOTIBIWA

Posti hii inahusu zaidi madhara ya ugonjwa wa madonda ya koo usipotibiwa, ugonjwa huu usipotibiwa unaweza sababisha madhara mbalimbali kama...

picha
NAMNA MAGONJWA YA KOO YANAVYOSAMBAA

Posti hii inahusu zaidi namna ya magonjwa ya koo yanavyosambaa, magonjwa haya usambaa kutoka sehemu Moja kwenda nyingine kwa njia...

picha
DALILI ZA MADONDA YA KOO

Posti hii inahusu zaidi magonjwa ya koo, ni ugonjwa unaoshambulia sana sehemu ya koo la hewa, na na huwa na...

picha
MATOKEO YA MAAMBUKIZI KWENYE MILIJA NA OVARI

Posti hii inahusu zaidi matokeo ya maambukizi kwenye milija na ovari, ni matokeo apatayo mtu mwenye maambukizi kwenye milija na...

picha
NAMNA YA KUMSAIDIA MGONJWA ALIYE NA MAAMBUKIZI KWENYE MILIJA NA OVARI

Posti hii inahusu zaidi namna ya kuwasaidia wagonjwa waliopata maambukizi kwenye milija na ovari, ni wagonjwa waliopata maambukizi kwenye milija...

picha
NAMNA YA KUZUIA MAAMBUKIZI KWENYE MILIJA NA OVARI

Posti hii inahusu zaidi namna ya kuzuia maambukizi kwenye milija na ovari, ni njia ambazo usaidia kuzuia maambukizi kwenye milija...

picha
VISABABISHI VYA MAAMBUKIZI KWENYE MILIJA NA OVARI

Posti hii inahusu zaidi visababishi vya maambukizi kwenye milija na, ni mambo yanayosababisha maambukizi kwenye milija na ovari.

picha
NAMNA MAAMBUKIZI KWENYE MILIJA NA OVARI YANAVYOTOKEA

Post hii inahusu zaidi namna Maambukizi kwenye milija na ovari ambayo yanatokea,Mara nyingi usababisha na bakteria wanaoweza kuingia kupitia sehemu...

Page 191 of 230

Kuhusu Bongoclass

image

Bongoclass ni jukwaa la Kitanzania lenye lengo la kushirikisha maarifa na akili ili kukuza uwezo wa watu binafsi na jamii kwa ujumla. Kupitia tovuti yetu, programu ya simu, na mitandao ya kijamii, Bongoclass hutoa maudhui ya elimu bure kwa Kiswahili katika maeneo mbalimbali kama afya, burudani, na masomo ya shule. Jukwaa hili linajikita katika kutoa fursa za kujifunza, kushirikiana, na kukuza uchumi kwa kuzingatia muktadha wa kitamaduni na lugha ya Kiswahili.