Dalili za hatari kwa mtoto aliyezaliwa

Posti hii inahusu zaidi dalili za hatari kwa mtoto aliyezaliwa, ni dalili ambazo ujitokeza tu mtoto anapozaliwa kwa hiyo dalili hizi zinapaswa kuzuiwa ili zisilete madhara makubwa.

Dalili za hatari kwa mtoto aliyezaliwa.

1. Kupumua haraka haraka.

Ni dalili mojawapo ya hatari kwa mtoto, hali hii utokea endapo mtoto upumua pumzi zaidi ya sitini kwa dakika akiwa amelala au amepumzika, hali hii ikitokea kwa mtoto anapaswa kupewa huduma ya kwanza na kuhakikisha kwamba upumuaji wa mtoto unarudi kwenye hali ya kawaida.

 

2. Kupata hewa kwa shida.

Hii ni mojawapo ya Dalili ya hatari kwa mtoto aliyezaliwa kwa sababu mtoto uanza kukosa hewa na ile ndogo anayoipata anaipata kwa shida  ambapo kifua uvuta kwa ndani, mtoto ukoloma , pua  kulazimika kutanuka na kufunguka wakati wa kulala na kupumzika , hali hii ikitokea kwa mtoto anapaswa kuwahi kupelekwa hospitalini na kupata huduma mara moja.

 

3. Joto la mwili kushuka au kupanda.

Na hii ni dalili mojawapo ya hatarini ambapo joto la mwili upanda zaidi ya 37.5,sentigrade na wakati mwingine joto la mwili ushuka chini ya 35.5, sentigrade, hali ya joto kupanda sio nzuri kinaweza kuleta magonjwa mengine kama vile degedege na kupungua kwa damu mwilini kwa hiyo inabidi kuweka mwili kwenye usawa 

 

4. Kuwepo na upele mkali ikiandamana na vipele vikubwa vingine au wakati mwingine vinakuwa na .malengelenge, lakini kama ni upele mdogo  huo ni wa kawaida na upona mwenyewe na mtoto uendelee kama kawaida, basi Mama na mkunga baada ya  kuona hali kama hii wanapaswa kutafuta daktari na kuhakikisha mtoto an napoñ.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: magonjwa Main: Afya File: Download PDF Views 1678

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game    👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉3 Simulizi za Hadithi Audio    👉4 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉5 Kitabu cha Afya    👉6 Kitau cha Fiqh   

Post zinazofanana:

Maumivu makali ya tumbo la chango wakati wa hedhi na sababu zake

Kwa nini unapata maumivu makali wakati wa kuingia hedhi, je unajuwa sababu za maumivu makali ya tumbo la chago.

Soma Zaidi...
Namna ya kufanya usafi wa sikio

Post hii inahusu zaidi namna ya kufanya usafi wa sikio, sikio ni mojawapo ya ogani ambayo usaidia kusikia,kwa hiyo sikio linapaswa kusafishwa kwa uangalifu kama tutakavyoona hapo chini.

Soma Zaidi...
Sababu za Ugonjwa wa Shinikizo la juu la Damu.

Shinikizo la juu la damu ni hali ya kawaida ambapo nguvu ya muda mrefu ya damu dhidi ya kuta za ateri yako ni kubwa vya kutosha hivi kwamba inaweza kusababisha matatizo ya kiafya, kama vile Ugonjwa wa Moyo.

Soma Zaidi...
Ninashida Kuna mtu anaumwa pressure Kila anap pima Iko juu il mwil aumuumi at kidg n dawa anatumia unawez kunisaidiaj

Kama unasumbuliwa na presha post hii ni kwa ajili yako. Hapa tutakuoatia ushauri kutokana na swali alilouliza mdau wetu.

Soma Zaidi...
Dalili za ukosefu wa misuli.

Posti hii inahusu dalili za ukosefu wa misuli. ukosefu wa udhibiti wa misuli wakati wa harakati za hiari, kama vile kutembea au kuokota vitu. Ishara ya hali ya msingi, Ataxia inaweza kuathiri harakati, hotuba, harakati za jicho na kumeza.

Soma Zaidi...
Dalili za maambukizi ya sikio kwa watu wazima

Posti hii inazungumzia kuhusiana na Maambukizi ya sikio mara nyingi ni maambukizi ya bakteria au virusi ambayo huathiri sikio la kati, nafasi iliyojaa hewa nyuma ya ngoma ya sikio ambayo ina mifupa midogo ya sikio inayotetemeka. Maambukizi ya si

Soma Zaidi...
Fahamu Ugonjwa wa kipindupindu.

Kipindupindu ni ugonjwa wa bakteria ambao kawaida huenezwa kupitia maji machafu. Kipindupindu husababisha Kuhara na Upungufu wa maji mwilini.

Soma Zaidi...
Huduma kwa walio na matatizo ya asili nyingi mwilini

Posti hii inahusu zaidi huduma kwa wale ambao tayari wameshakuwa na tatizo la asidi mwilini, ni njia ambazo unaweza kuzitumia ili kuweza kupunguza tatizo hili au Mgonjwa anapoendelea kupata matibabu.

Soma Zaidi...
Tufanyeje ili kuepuka kuaribika kwa figo?

Posti hii inahusu zaidi njia za kuzuia kuaribika kwa figo, hizi ni njia zinazotumika ili kuweza kupunguza tatizo la kuaribika kwa figo na hasa wale ambao hawajapata tatizo hili wazitumie ili tuone kama tutaweza kupunguza tatizo hili.

Soma Zaidi...