Posti hii inahusu zaidi dalili za hatari kwa mtoto aliyezaliwa, ni dalili ambazo ujitokeza tu mtoto anapozaliwa kwa hiyo dalili hizi zinapaswa kuzuiwa ili zisilete madhara makubwa.
Dalili za hatari kwa mtoto aliyezaliwa.
1. Kupumua haraka haraka.
Ni dalili mojawapo ya hatari kwa mtoto, hali hii utokea endapo mtoto upumua pumzi zaidi ya sitini kwa dakika akiwa amelala au amepumzika, hali hii ikitokea kwa mtoto anapaswa kupewa huduma ya kwanza na kuhakikisha kwamba upumuaji wa mtoto unarudi kwenye hali ya kawaida.
2. Kupata hewa kwa shida.
Hii ni mojawapo ya Dalili ya hatari kwa mtoto aliyezaliwa kwa sababu mtoto uanza kukosa hewa na ile ndogo anayoipata anaipata kwa shida ambapo kifua uvuta kwa ndani, mtoto ukoloma , pua kulazimika kutanuka na kufunguka wakati wa kulala na kupumzika , hali hii ikitokea kwa mtoto anapaswa kuwahi kupelekwa hospitalini na kupata huduma mara moja.
3. Joto la mwili kushuka au kupanda.
Na hii ni dalili mojawapo ya hatarini ambapo joto la mwili upanda zaidi ya 37.5,sentigrade na wakati mwingine joto la mwili ushuka chini ya 35.5, sentigrade, hali ya joto kupanda sio nzuri kinaweza kuleta magonjwa mengine kama vile degedege na kupungua kwa damu mwilini kwa hiyo inabidi kuweka mwili kwenye usawa
4. Kuwepo na upele mkali ikiandamana na vipele vikubwa vingine au wakati mwingine vinakuwa na .malengelenge, lakini kama ni upele mdogo huo ni wa kawaida na upona mwenyewe na mtoto uendelee kama kawaida, basi Mama na mkunga baada ya kuona hali kama hii wanapaswa kutafuta daktari na kuhakikisha mtoto an napoñ.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Posti hii inahusu zaidi magonjwa ya kurithi ambayo hubebwa na vinasaba vya urithi kutoka kizazi kimoja kwenda kingine.magonjwa haya hata hivyo ,si kila kasoro huwa ni ugonjwa kwa mtu mfano ,ualbino na kitoweza kutofautisha rangi kama vile nyekundu na kija
Soma Zaidi...Makala hii itakwenda kukupa elimu juu ya vidonda vya tumbo, nini hasa chanzo chake, vipi vinatokea ni zipi dalili zake, ni zipi njia za kujilinda dhidi ya vidonda vya tumbo. Pia tutaangalia matibabu ya kutibi vidonda vya tumbo.
Soma Zaidi...Kama unasumbuliwa na presha post hii ni kwa ajili yako. Hapa tutakuoatia ushauri kutokana na swali alilouliza mdau wetu.
Soma Zaidi...Ingawa mbu hunyonya damu kwa binadamu, hawana uwezo wa kueneza virusi vya UKIMWI (VVU). Sababu ni kwamba virusi vya VVU haviwezi kuishi wala kuzaliana ndani ya mwili wa mbu, na pia mbu hawaingizi damu ya mtu mmoja kwa mwingine wanapongโata.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunz akuhusu ugonjwa wa Bawasiri na dalili zake. Pia utajifunza njia za kujilinda nao.
Soma Zaidi...posti inaonyesha dalili mbalimbali za Saratani ya ini. Saratani ya ini ni Saratani inayoanzia kwenye seli za ini lako. Ini lako ni kiungo cha ukubwa wa mpira wa miguu ambacho kinakaa sehemu ya juu ya kulia ya tumbo lako, chini ya diaphr
Soma Zaidi...Huu ni ugonjwa wa fangasi wanaosababishwa na mashambulizi ya fangani aia ya yeast waitwao candida.
Soma Zaidi...Kabla ya kubanwa zaidi na pumu, kuna dalili za awali zinzznza kujitokeza, na hapo ndipo utakapoanza kuchukuwa tahadhari. Makala hii itakwenda kukujulisha zaidi kuhusu dalili hizo.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi Aina za kansa, Kansa ni Aina ya ugonjwa unaosababishwa na kuzaliana kwa seli ambazo sio za kawaida.
Soma Zaidi...