Dalili za hatari kwa mtoto aliyezaliwa

Dalili za hatari kwa mtoto aliyezaliwa

Posti hii inahusu zaidi dalili za hatari kwa mtoto aliyezaliwa, ni dalili ambazo ujitokeza tu mtoto anapozaliwa kwa hiyo dalili hizi zinapaswa kuzuiwa ili zisilete madhara makubwa.

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

Dalili za hatari kwa mtoto aliyezaliwa.

1. Kupumua haraka haraka.

Ni dalili mojawapo ya hatari kwa mtoto, hali hii utokea endapo mtoto upumua pumzi zaidi ya sitini kwa dakika akiwa amelala au amepumzika, hali hii ikitokea kwa mtoto anapaswa kupewa huduma ya kwanza na kuhakikisha kwamba upumuaji wa mtoto unarudi kwenye hali ya kawaida.

 

2. Kupata hewa kwa shida.

Hii ni mojawapo ya Dalili ya hatari kwa mtoto aliyezaliwa kwa sababu mtoto uanza kukosa hewa na ile ndogo anayoipata anaipata kwa shida  ambapo kifua uvuta kwa ndani, mtoto ukoloma , pua  kulazimika kutanuka na kufunguka wakati wa kulala na kupumzika , hali hii ikitokea kwa mtoto anapaswa kuwahi kupelekwa hospitalini na kupata huduma mara moja.

 

3. Joto la mwili kushuka au kupanda.

Na hii ni dalili mojawapo ya hatarini ambapo joto la mwili upanda zaidi ya 37.5,sentigrade na wakati mwingine joto la mwili ushuka chini ya 35.5, sentigrade, hali ya joto kupanda sio nzuri kinaweza kuleta magonjwa mengine kama vile degedege na kupungua kwa damu mwilini kwa hiyo inabidi kuweka mwili kwenye usawa 

 

4. Kuwepo na upele mkali ikiandamana na vipele vikubwa vingine au wakati mwingine vinakuwa na .malengelenge, lakini kama ni upele mdogo  huo ni wa kawaida na upona mwenyewe na mtoto uendelee kama kawaida, basi Mama na mkunga baada ya  kuona hali kama hii wanapaswa kutafuta daktari na kuhakikisha mtoto an napoñ.

Download Post hii hapa

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: magonjwa Main: Afya File: Download PDF Views 1543

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉2 kitabu cha Simulizi    👉3 Bongolite - Game zone - Play free game    👉4 Kitau cha Fiqh    👉5 Madrasa kiganjani    👉6 Simulizi za Hadithi Audio   

Post zinazofanana:

 NJIA ZA KUKABILIANA NA MINYOO: kuosha mikono, kuwa msafi, kuvaa viatu, maji safi, kuivisha nyama vyema
NJIA ZA KUKABILIANA NA MINYOO: kuosha mikono, kuwa msafi, kuvaa viatu, maji safi, kuivisha nyama vyema

NJIA ZA KUKABILIANA NA MINYOO Kwa kuwa tumekwisha kuona namna ambavyo minyoo huenezwa, hivyo basi ni rahisi sasa kutaja namna ya kubambana na minyoo.

Soma Zaidi...
Kifuwa kinaniuma katikati kinaambatana nakichwa
Kifuwa kinaniuma katikati kinaambatana nakichwa

Maumivu ya kifuwa yanaweza kutokea baada ya kubeba kitu kizito, ama kupata mashambulizi ya vijidudu vya maradhi. maumivu ya viungo na hata vidonda vya tumbo. Lakini sasa umesha wahi fikiria maumivu ya kifuwa kwa katikati?

Soma Zaidi...
Dalilili za homa ya manjano
Dalilili za homa ya manjano

posti hii inahusu dalili za Homa ya Manjano ni maambukizi ya virusi yanayoenezwa na aina fulani ya mbu. Maambukizi hayo ni ya kawaida zaidi na kuathiri wasafiri na wakazi wa maeneo hayo.

Soma Zaidi...
Maambukizi ya tezi za mate
Maambukizi ya tezi za mate

Psti hii inazungumzia kuhusiana na Ugonjwa wa Maambukizi ya tezi za mate ambao hujulikana Kama MABUSHA (mumps) ni maambukizi ya virusi ambayo kimsingi huathiri tezi mojawapo ya jozi tatu za tezi za mate zinazotoa mate, zilizo chini na mbele ya masikio

Soma Zaidi...
 Fahamu Ugonjwa wa kaswende
Fahamu Ugonjwa wa kaswende

Kaswende ni maambukizo ya bakteria ambayo kawaida huenezwa kwa kujamiiana. Ugonjwa huu huanza kama kidonda kisicho na maumivu kawaida kwenye sehemu zako za siri, puru au mdomo. Kaswende huenea kutoka kwa mtu hadi mtu kupitia ngozi. Kaswende ya Mapema

Soma Zaidi...
Njia za maambukizi ya Homa ya inni
Njia za maambukizi ya Homa ya inni

Posti hii inahusu zaidi njia za maambukizi ya Homa ya inni, Homa ya inni usababishwa na virusi viitwavyo Hepatitis B, huwapata watu wote hasa wale wenye umri chini ya miaka mitano.

Soma Zaidi...
Ugonjwa wa Uharibifu wa seli nyekundu za damu
Ugonjwa wa Uharibifu wa seli nyekundu za damu

Posti hii inazungumzia kuhusiana na was Uharibifu wa seli nyekundu za damu ambapo hujulikana Kama Ugonjwa wa Hemolytic uremic (HUS) ni hali inayotokana na uharibifu usio wa kawaida wa seli nyekundu za damu mapema. Mara tu mchakato huu unapoanza, seli nye

Soma Zaidi...
Madhara ya utapia mlo (marasmus)
Madhara ya utapia mlo (marasmus)

Utapiamlo Mkali sana (Marasmus) hufafanuliwa kama aina kali ya utapiamlo ambayo ina sifa ya kupoteza. Utapiamlo uliokithiri umeainishwa katika Utapiamlo Mkali sana (SAM) na Utapiamlo Uliokithiri wa Wastani (MAM), kulingana na kiwango cha kupoteza na kuw

Soma Zaidi...
 Dalili za kuvunjika kwa nyonga
Dalili za kuvunjika kwa nyonga

Kuvunjika kwa nyonga ni jeraha kubwa, na matatizo ambayo yanaweza kuhatarisha maisha. Hatari ya kupasuka kwa nyonga huongezeka na umri.

Soma Zaidi...