picha
MADHARA YA MAAMBUKIZI KWENYE TUMBO

Posti hii inahusu zaidi madhara ya maambukizi kwenye tumbo,hasa pale ambapo mgonjwa hakutibiwa

picha
DALILI ZA MAAMBUKIZI KWENYE TUMBO NA UTUMBO MDOGO

Posti hii inahusu zaidi maambukizi kwenye tumbo na utumbo mdogo,ni dalili ambazo ujionesha kwa mtu akiwa na shida kwenye utumbo...

picha
NAMNA YA KUJIKINGA NA UGONJWA WA MADONDA YA KOO

Post hii inahusu zaidi namna ya kuzuia ugonjwa wa madonda ya koo,ni njia ambazo usaidia katika kujikinga na ugonjwa wa...

picha
MADHARA YA UGONJWA WA MADONDA YA KOO USIPOTIBIWA

Posti hii inahusu zaidi madhara ya ugonjwa wa madonda ya koo usipotibiwa, ugonjwa huu usipotibiwa unaweza sababisha madhara mbalimbali kama...

picha
NAMNA MAGONJWA YA KOO YANAVYOSAMBAA

Posti hii inahusu zaidi namna ya magonjwa ya koo yanavyosambaa, magonjwa haya usambaa kutoka sehemu Moja kwenda nyingine kwa njia...

picha
DALILI ZA MADONDA YA KOO

Posti hii inahusu zaidi magonjwa ya koo, ni ugonjwa unaoshambulia sana sehemu ya koo la hewa, na na huwa na...

picha
MATOKEO YA MAAMBUKIZI KWENYE MILIJA NA OVARI

Posti hii inahusu zaidi matokeo ya maambukizi kwenye milija na ovari, ni matokeo apatayo mtu mwenye maambukizi kwenye milija na...

picha
NAMNA YA KUMSAIDIA MGONJWA ALIYE NA MAAMBUKIZI KWENYE MILIJA NA OVARI

Posti hii inahusu zaidi namna ya kuwasaidia wagonjwa waliopata maambukizi kwenye milija na ovari, ni wagonjwa waliopata maambukizi kwenye milija...

picha
NAMNA YA KUZUIA MAAMBUKIZI KWENYE MILIJA NA OVARI

Posti hii inahusu zaidi namna ya kuzuia maambukizi kwenye milija na ovari, ni njia ambazo usaidia kuzuia maambukizi kwenye milija...

picha
VISABABISHI VYA MAAMBUKIZI KWENYE MILIJA NA OVARI

Posti hii inahusu zaidi visababishi vya maambukizi kwenye milija na, ni mambo yanayosababisha maambukizi kwenye milija na ovari.

picha
NAMNA MAAMBUKIZI KWENYE MILIJA NA OVARI YANAVYOTOKEA

Post hii inahusu zaidi namna Maambukizi kwenye milija na ovari ambayo yanatokea,Mara nyingi usababisha na bakteria wanaoweza kuingia kupitia sehemu...

picha
DALILI ZA MAAMBUKIZI KWENYE MILIJA(FALLOPIAN TUBE)

Post hii inahusu zaidi maambukizi kwenye milija (follapian tube) kwa kitaalamu huitwa salpingitis, ni maambukizi kwenye milija ambayo husababishwa na...

picha
DALILI ZA MAAMBUKIZI KWENYE OVARI

Posti hii inahusu zaidi dalili za maambukizi kwenye ovari, ni maambukizi ambayo hutokea kwenye ovari na kusababisha matatizo makubwa kama...

picha
MBINU ZA KUPUNGUZA MAGONJWA YANAYOHUSIANA NA FIGO

Posti hii inahusu zaidi ugonjwa wa figo. Ni ugonjwa unaotokana pale figo linaposhindwa kufanya kazi, tuone mbinu za kufanya Ili...

picha
ZIJUE KAZI ZA FIGO MWILINI

Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa Figo mwilini, Figo ni ogani ambayo kazi yake ni kuchuja sumu mwilini.

picha
MZUNGUKO WA MWEZI KWA MWANAMKE

Posti hii inahusu zaidi mzunguko wa mwezi kwa mwanamke, ni mzunguko ambao huchukua siku ishilini na nane kwa kawaida Ila...

picha
UMUHIMU WA UTERUSI

Post hii inahusu zaidi umuhimu wa uterusi, ni mfuko unayosaidia kumtunza mtoto akiwa tumboni mwa mama yake.

picha
ZIJUE KAZI ZA UKE (VAGINA)

Uke ni sehemu ambayo imo ndani ya mwili wa mwanamke, sehemu hii ufanya kazi mbalimbali hasa wakati wa kujamiiana, kubarehe...

picha
JINSI MOYO UNAVYOSUKUMA DAMU

Post hii inahusu zaidi jinsi moyo unavyosukuma damu, moyo ni ogani ambayo usukuma damu kwenye sehemu mbalimbali za mwili.

picha
MAFUNZO YA DATABASE - MYSQL DATABASE SOMO LA 8

Huuu ni muendeleo wa mafunzo ya database kwa lugha ya kiswahili, na hili ni somo la nane. Katika somo hli...

picha
DALILI ZA SARATANI YA KOO

Saratani ya Koo inarejelea Vivimbe vya Saratani vinavyotokea kwenye koo lako (koromeo), sanduku la sauti (larynx) au tonsils.

picha
DALILI ZA UVIMBE KWWNYE JICHO (STY)

Sty ni uvimbe mwekundu, chungu karibu na ukingo wa kope ambalo linaweza kuonekana kama jipu au chunusi. Sties mara...

picha
DALILI ZA UNYANYASAJI WA KIMWILI

Unyanyasaji wa kimwili. Unyanyasaji wa watoto kimwili hutokea wakati mtoto amejeruhiwa kimwili kimakusudi. Unyanyasaji wa kijinsia. Unyanyasaji wa...

picha
MATATIZO YANAYOSABABISHA SARATANI YA MAPAFU

Posti hii inaonyesha matatizo yanayosababisha saratani ya mapafu .

Page 190 of 228

Kuhusu Bongoclass

image

Bongoclass ni jukwaa la Kitanzania lenye lengo la kushirikisha maarifa na akili ili kukuza uwezo wa watu binafsi na jamii kwa ujumla. Kupitia tovuti yetu, programu ya simu, na mitandao ya kijamii, Bongoclass hutoa maudhui ya elimu bure kwa Kiswahili katika maeneo mbalimbali kama afya, burudani, na masomo ya shule. Jukwaa hili linajikita katika kutoa fursa za kujifunza, kushirikiana, na kukuza uchumi kwa kuzingatia muktadha wa kitamaduni na lugha ya Kiswahili.