Njia za uzazi wa mpango kwa watu wenye Ukimwi
Posti hii inahusu zaidi njia za uzazi wa mpango kwa watu waliopata maambukizi ya Virusi vya Ukimwi.
Njia za uzazi wa mpango kwa watu waliopata maambukizi ya Virusi vya Ukimwi.
1. Watu hawa nawenye ni wanawake kama watu wengine, nao wanapaswa kuendelea kuzaa na kuishi, pia utumia Nina za uzazi wa mpango kwa maagizo ya daktari.
2. Wanaweza kutumia vidonge vya kupanga uzazi wa mpango.
3. Wanaweza kutumia sindano kama wanawake wengine
4, wanaweza kukata mirija kwa wote mke na mme
5. Wanaweza pia kutumia kondomu
6.wanaweza kupima Ute Ili kujua siku ya kubeba mimba
7, wanaweza kutumia kalenda method
Angalisho, kwa wagonjwa wa Ukimwi wanapaswa kutumia kondomu sana Ili wasiwaambukize wengine,
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game 👉2 Simulizi za Hadithi Audio 👉3 Kitau cha Fiqh 👉4 Madrasa kiganjani 👉5 kitabu cha Simulizi 👉6 ai web app
Post zinazofanana:
Dalili za uchungu
Uchungu wa uzazi hutokana na kubana nakuachia kwa misuli hii husababishwa kufunhuka kwa mlango wa tumbo la uzazi pamoja na shingo ya kizazi na kumuongezea mama uchungu wakati wa kujifungua(during labour) Pia kubana na kuachia huanza polepole wakati wa
Soma Zaidi...Njia za kuzuia upungufu wa damu kwa wajawazito
Posti hii inahusu zaidi njia za kuzuia upungufu wa damu kwa wajawazito, ni mojawapo ya njia ambazo utumiwa na wahudumu wa afya ili kuweza kuzuia upungufu wa damu kwa wajawazito.
Soma Zaidi...Kazi na mdalasini katika kutibu matatizo ya homoni.
Posti hii inahusu zaidi kazi ya mdalasini katika matibabu ya homoni kwa wanawake.
Soma Zaidi...Namna ya kufunga kitovu cha mtoto.
Posti hii inahusu zaidi njia au namna ya kufunga kitovu cha mtoto mara tu anapozaliwa, kwa kawaida tunafahamu kwamba ili mtoto aweze kuishi akiwa tumboni anategemea sana kula na kufanya shughuli zake kwa kupitia kwenye plasenta kwa hiyo mtoto akizaliwa tu
Soma Zaidi...Samahani naomba kuhuliza je unaweza kutokwa na maji maji ambayoa ayana rangi Wala harufu Ni dalili gani kwa mimba ya mwezi mmoja
ukiwa na ujauzito unaweza kuona mabadiliko mengi katika mwili wako yakiwemo kutokwa na majimaji. je majimaji haya yana dalili gani kwenye ujauzito?
Soma Zaidi...