Posti hii inahusu zaidi njia za uzazi wa mpango kwa watu waliopata maambukizi ya Virusi vya Ukimwi.
Njia za uzazi wa mpango kwa watu waliopata maambukizi ya Virusi vya Ukimwi.
1. Watu hawa nawenye ni wanawake kama watu wengine, nao wanapaswa kuendelea kuzaa na kuishi, pia utumia Nina za uzazi wa mpango kwa maagizo ya daktari.
2. Wanaweza kutumia vidonge vya kupanga uzazi wa mpango.
3. Wanaweza kutumia sindano kama wanawake wengine
4, wanaweza kukata mirija kwa wote mke na mme
5. Wanaweza pia kutumia kondomu
6.wanaweza kupima Ute Ili kujua siku ya kubeba mimba
7, wanaweza kutumia kalenda method
Angalisho, kwa wagonjwa wa Ukimwi wanapaswa kutumia kondomu sana Ili wasiwaambukize wengine,
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Posti hii inahusu zaidi dalili ambazo zinaweza kutokea kwa sababu ya kuziba kwa mishipa ya uzazi, ni baadhi ya dalili ambazo ujitokeza kwa sababu ya kuwepo kwa tatizo la kuziba kwa mishipa ya uzazi.
Soma Zaidi...Katika post hii utakwenda kujifunza jinsi ambavyo utaweza kujiepusha na maradhi ya ini
Soma Zaidi...Posti hii zaidi kazi ya Dawa ya metronidazole katika kutibu Minyoo, ni aina ya Dawa ambayo imetumiwa na watu wengi wakaweza kupona na kuepukana na minyoo. Zifuatazo ni baadhi ya kazi za metronidazole.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi njia za uzazi wa mpango kwa mama aliyejifungua kuanzia miezi sita mpaka mwaka mmoja.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu maumivu wakati wa tendo la ndoa na baada
Soma Zaidi...