Mambo ya kuzingatia kwa Mama mwenye mimba
Posti hii inahusu zaidi mambo ya kuzingatia kwa Mama mwenye mimba, ni kipindi ambacho Mama uhitahi uangalizi wa karibu zaidi.
Mambo ya kuzingatia kwa Mama mwenye mimba
1. Kuhudhulia kliniki kwa mda maalumu na unaofaa maana kwa kufanya hivyo tunaweza kujua maendeleo ya mtoto akiwa tumboni.
2. Kutumia madawa ya kuzuia malaria kwa mtoto Ili asije kupata maambukizi.
3. Kutumia vyakula vya kuongeza damu na madini ya chuma Ili kuepuka madhara ya kuishiwa damu wakati wa kujifungua
4. Kuepuka kutumia vileo vikali vinaweza kujaribu ubongo wa mtoto
5. Kuepuka uvutaji wa sigara wakati wa ujauzito.
6. Kuepuka ugomvi Kati ya mwanamke na mwanaume, kwa hiyo mtoto aonyeshwa upendo akiwa tumboni
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Madrasa kiganjani 👉2 Simulizi za Hadithi Audio 👉3 Dua za Mitume na Manabii 👉4 kitabu cha Simulizi 👉5 ai web app 👉6 Bongolite - Game zone - Play free game
Post zinazofanana:
Dalili za Ujauzito mchanga Siku Saba Baada ya Ovulation
Unaweza kujiuliza ikiwa inawezekana kupata dalili za ujauzito mchanga kama siku 7 baada ya kudondoshwa kwa yai (DPO yaani Days Past Ovulation).
Soma Zaidi...Dalili za mimba kuanzia siku 7 Hadi 14
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za mimba kuanzia siku 7 Hadi 14
Soma Zaidi...Faida za kula yai lililopikwa kwa mama mjamzito
Yai lililopikwa ni chanzo kizuri cha protini, vitamini, na madini muhimu kwa mama mjamzito. Husaidia katika ukuaji wa mtoto tumboni, afya ya mama, na kuimarisha kinga ya mwili.
Soma Zaidi...TATIZO LA KUVIMBA KWA USO NA MIGUU KWA WAJAWAZITO
KUVIMBA VYA MIGUU KWA WAJAWAZITO Kuvimba kwa miguu ni hali inayowapara wengi katika wajawazito.
Soma Zaidi...