Posti hii inahusu zaidi namna ya magonjwa ya koo yanavyosambaa, magonjwa haya usambaa kutoka sehemu Moja kwenda nyingine kwa njia tofauti kama ifuayavyo
Namna magonjwa ya koo yanavyosambaa.
1.usambaa kutoka kwa mtu mwingine kwenda kwa mwingine, kwa njia ya kikohoa au kupiga chafya pale maji yanapotoka kwa mtu mwenye madonda kwenda kwa mwingine asiyekuwa nayo
2. Kushika a mikono na mtu mwenye ugonjwa huo, ukila kitu bila kunawa unaweza kupata ugonjwa huo
3. Kutumia vifaa kulia chakula au kunywa maji kwenye chombo kimoja na mwenye ugonjwa wa madonda ya koo
4. Kupigana busy au kuchukua udenda wa mtu ambaye ana ugonjwa wa Koo unaweza kupata
Kwa hiyo tuwe makini na ugonjwa huu kwa sababu upo na unaweza kutibiwa ukiuwahi mapema
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowSomo hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za UTI upande wa wanawake
Soma Zaidi...Jibu ni hapana, matehayawezi kuambukiza HIV. Lakini swali unalotakiwa kulijibu je ni kwa nini mate hayaambukizi. Makala hii itakwend akukupa majibu haya
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi maambukizi kwenye nephroni, uweza kutokea kwenye figo Moja au zote mbili.
Soma Zaidi...Posti hii inshusiana na dalili za anemia ya minyoo
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za vidonda vya tumbo
Soma Zaidi...Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote
Soma Zaidi...Posti hii inaonyesha kiufupi kabisa kuhusiana na dalili za ngozi kuwashwa.
Soma Zaidi...Minyoo ni katika viume wanyonyaji, wanaoishi katika miili ya viumbe hai na kujipatia chakula humo. Minyoo wanaweza kuishi kwenye maeneo yenye majimaji kama kwenye maji, ndani ya viumembe hai kama mtu, ngombe, ngure na paka. Minyoo pia wanaweza kuishi kwen
Soma Zaidi...