picha

Zijue sababu za kushindwa kushuka kwa makende (testicle))

Posti hii inahusu zaidi tatizo la kushindwa kushuka kwa makende kutoka kwenye tumbo kwenda kwenye skolatumu(scrotum).

1.Kushindwa kushuka kwa makende au kwa kitaamu huitwa testis kutoka kwenye sehemu ya tumbo kwenda kwenye skolatumu (scrotum) 

 

2. Kitendo hiki utokea pale ambapo makende ukaa ndani ya skolatumu (scrotum) lakini hushindwa kushuka kwa sababu mbalimbali kama vile

 

3. Magonjwa ya kuridhi kutoka kwenye familia, Kuna familia nyingine ambazo Wana ugonjwa huo kwa hiyo utakuta wavulana wote wa familia Moja wako hivyo.

 

4. Kutokamili kwa baadhi ya viungo vya uzazi kwa mtoto akiwa tumboni, kwa ajili ya mazingira mbalimbali wakati mwingine mtoto hushindwa kukamilika akiwa tumboni

 

5. Mazingira kama vile homoni ,Neva na kubadilika kwa mazingira ufanya makende kushindwa kushuka.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 2021/11/22/Monday - 10:47:22 pm Topic: magonjwa Main: Afya File: Download PDF Views 1850

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 ai web app    👉2 Kitabu cha Afya    👉3 kitabu cha Simulizi    👉4 web hosting    👉5 Madrasa kiganjani    👉6 Tafasiri ya Riyadh Swalihina   

Post zinazofanana:

Matibabu ya maumivu chini ya kitovu

Post hii inahusu zaidi matibabu ya kutibu ugonjwa wa maumivu chini ya kitovu.

Soma Zaidi...
Dalili za ugonjwa wa ngiri

Posti hii inahusu zaidi Dalili ambazo mgonjwa wa ngiri anaweza kuzipata, kwa hiyo baada ya kusoma na kuelewa dalili hizi mgonjwa anapaswa kuwahi hospitali mapema kwa ajili ya kupata matibabu.

Soma Zaidi...
Sababu za maumivu ya tumbo

hapa utajifunza maradhi mbalimbali yanatopelekea kuwepo kwa maumivu ya tumbo

Soma Zaidi...
Je utaweza kuambukiza HIV ukiwa unatumia PrEP?

Swali hili limeulizwa na mdau mmoja. Kuwa endapo mtu atafanya ngono zembe na akapata virusi je ataweza kuambukiza.

Soma Zaidi...
Hatua tatu anazozipitia mgonjwa wa tauni

Posti hii inahusu zaidi njia au hatua tatu muhimu anazopitia Mgonjwa wa gauni, kuanzia kwa Maambukizi mpaka kwenye hatua ya mwisho hasa kama Ugonjwa huu haujatibiwa mapema.

Soma Zaidi...
Dalili za fangasi kwenye mapafu

Posti hii inaonyesha dalili za fangasi kwenye mapafu.

Soma Zaidi...
Sasa UKIMWI unatokeaje?

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu njia ambazo UKIMWI hutokea

Soma Zaidi...
Ni nini husababisha kuziba kwa Njia ya machozi

Posti hii inaelezea kuhusiana na dalili na sababu zinazopelekea Ugonjwa wa kuziba kwa Njia ya machozi yaani kukosa machozi ambayo husababishwa na maambukizi.

Soma Zaidi...
VIRUSI VYA KORONA AU CORONA (CORONAVIRUS)

Virusi vya korona ni katika aina za virusi ambavyo asili yake ni kutoka kwa wanyama na kuja kwa binadamu.

Soma Zaidi...
Dalili za ugonjwa wa fungusi uken

Post hii inahusu zaidi ugonjwa wa fungusi uken, ni ugonjwa unaoshambulia sana sehemu za Siri ambao huwa na dalili kama zifuatazo.

Soma Zaidi...