Posti hii inahusu zaidi madhara ya ugonjwa wa madonda ya koo usipotibiwa, ugonjwa huu usipotibiwa unaweza sababisha madhara mbalimbali kama ifuayavyo.
Madhara ya madonda ya koo kama yasipotibiwa
1. Maambukizi kwenye figo, hii ni kwa sababu ya kuwepo kwa bakteria ndani ya figo ambao utoka kwenye Koo na kusambaza
2. Maambukizi kwenye mishipa ya damu, kwa sababu ya kuwepo kwa bakteria ndani ya damu wanaotoka kwenye Koo usababisha maambukizi kwenye mishipa ya damu
3.Matatizo wakati wa kupumua, utokea pale mtu anapotaka kupumua hewa utoka kwa shida kwa sababu ya maambukizi kwenye mfumo wa hewa
4. Maambukizi kwenye milango mbalimbali ya fahamu, kwa mfano maambukizi kwenye sikio,
Kwa hiyo tunakuja kuwa Kuna shida mbalimbali madonda yasipotibiwa kwa hiyo tunapaswa kuyatibu mapema na iwezekanavyo.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Ugonjwa wa bakteria unaoambukizwa na kupe ambao husababisha dalili kama za mafua. Dalili na ishara za Ugonjwa huu ni kati ya kuumwa na mwili kidogo hadi homa kali na kwa kawaida huonekana ndani ya wiki moja au mbili baada ya kuumwa na kupe. Njia bora ya
Soma Zaidi...Fangasi wanaojulikana kama Blastomyces, hawa ni fangasi wanaosababisha maradhi yajulikanayo kama blastomycosis.
Soma Zaidi...Utakapofanya ngono na aliyeathirika haimaanishi na wewe kuwa lazima utakuwa umeathirika. Kuathirika kuna mambo mengi lazima yafanyike.
Soma Zaidi...Post hii inahusu Zaidi njia mbali mbali ambazo uweza kitumiwa na wataalamu ili kuweza kugundua tatizo la kuwepo Kwa usaha kwenye mapafu.
Soma Zaidi...Posti hii inaonyesha namna ya kujizuia,Mambo ya Hatari,na na Mambo yanayopelekea Ugonjwa wa ukosefu wa mkojo
Soma Zaidi...Naomba kuuliza swaliJe mtu anaweza kushiriki mapenzi na mtu mwenye maambukizi ya ukimwi pasipo kuambukizwa?
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi namna Maambukizi kwenye milija na ovari ambayo yanatokea,Mara nyingi usababisha na bakteria wanaoweza kuingia kupitia sehemu mbalimbali.
Soma Zaidi...Je unasumbuliwa na tatizo la kukosa nguvu, kuchoka ama kuhisi viungi vinelegea. Endelea na post hii.
Soma Zaidi...