Yaliyo haramu kwa mtu asiyekuwa na udhu

Yaliyo haramu kwa mtu asiyekuwa na udhu

Post hii inakwenda kukufundisha kuhusu mambo ambauo ni haramu kwa mtu asiye na udhu.

Yaliyoharamishwa kwa as iye na udhu

Mtu asiye na udhu haruhusiwi kufanya yafuatayo:
1. Kuswali.
2. Kutufu.

 


Mtu asiye na udhu anaruhusiwa kuchukua msahafu (Qur-an) na kusoma. Kama tunavyojifunza katika hadith ifuatayo:

 

Ally (r.a) amesimulia: Mtume (s.a.w) alikuwa akitoka chooni kisha akatusomea Qur-an na hakuna chochote kilichomzuia kusoma Qur-an ila alipokuwa na janaba ”. (Abuu Daud, Nisai, Ibn Majah)

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Zoezi la Maswali
Nyuma Endelea

Umeionaje Makala hii?

Author: Rajabu | Tarehe: 2022/08/13/Saturday - 11:25:17 am | Topic: Fiqh | Views: 2337
Download PDF

Share On:

Post zinazofanana: