Katika project hii utakwenda kufunza jinsi utakavyoweza kutengeneza keyboard ya online kwa kutumia javascript
PROJECT YA KUTENGENEZA ONLINE KEYBOARD:
Kama umeshawahi kuona katika huduma za kibenk unaweza kukuta kuwa kuna online keyboard kwa ajili ya kulinda usalama endapo kuna program ambayo inachukuwa taarifa za keyboard kwenye kompyuta ama simu ya mtu.
Program hii tutaitengenza kutokana na program ya calculator ambayo tulishaiona kwenye masomo yaliotangulia.
<html>
<head>
<title>Mafunzo ya javascript</title>
<style>
.button {
font-size: 24px;
padding: 10px;
margin: 5px;
border-radius: 5px;
background-color: #f1f1f1;
color: #333;
border: none;
cursor: pointer;
}
.button2 {
font-size: 24px;
padding: 10px;
margin: 5px;
border-radius: 5px;
background-color: #0bcaec;
color: rgb(0, 0, 0);
border: none;
cursor: pointer;
}
button:hover {
background-color: #ddd;
}
#input {
font-size: 24px;
padding: 10px;
margin: 5px;
border-radius: 5px;
border: 1px solid #ddd;
}
</style>
</head>
</html>
<body>
<textarea id="input"></textarea>
<br />
<button class="button" onclick="addChar('q')">q</button>
<button class="button" onclick="addChar('w')">w</button>
<button class="button" onclick="addChar('e')">e</button>
<button class="button" onclick="addChar('r')">r</button>
<button class="button" onclick="addChar('t')">t</button>
<button class="button" onclick="addChar('y')">y</button>
<button class="button" onclick="addChar('u')">u</button>
<button class="button" onclick="addChar('i')">i</button>
<button class="button" onclick="addChar('o')">o</button>
<button class="button" onclick="addChar('p')">p</button>
<br />
<button class="button" onclick="addChar('a')">a</button>
<button class="button" onclick="addChar('s')">s</button>
<button class="button" onclick="addChar('d')">d</button>
<button class="button" onclick="addChar('f')">f</button>
<button class="button" onclick="addChar('g')">g</button>
<button class="button" onclick="addChar('h')">h</button>
<button class="button" onclick="addChar('j')">j</button>
<button class="button" onclick="addChar('k')">k</button>
<button class="button" onclick="addChar('l')">l</button>
<button class="button2" onclick="addChar('+')">+</button>
<br />
<button class="button" onclick="addChar('z')">z</button>
<button class="button" onclick="addChar('x')">x</button>
<button class="button" onclick="addChar('c')">c</button>
<button class="button" onclick="addChar('v')">v</button>
<button class="button" onclick="addChar('b')">b</button>
<button class="button" onclick="addChar('n')">n</button>
<button class="button" onclick="addChar('m')">m</button>
<button class="button2" onclick="addChar('-')">-</button>
<button class="button2" onclick="addChar('=')">=</button>
<button class="button2" onclick="addChar('/')">/</button>
<br />
<button class="button" onclick="backspace()">Delete</button>
<button class="button" onclick="addChar(' ')">Space</button>
<button class="button" onclick="clearInput()">Clear</button>
<button class="button2" onclick="addChar('?')">?</button>
<button class="button2" onclick="addChar(',')">,</button>
<button class="button2" onclick="addChar('.')">.</button>
<br>
<script>
function addChar(char) {
document.getElementById("input").value += char;
}
function backspace() {
var input = document.getElementById("input");
input.value = input.value.slice(0, -1);
}
function clearInput() {
document.getElementById("input").value = "";
}
</script>
</body>
</html>
...
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Ksomo hili litakwenda kukufundisha kuhusu object kwenye javascript, kazi zake na sheria zake katika kuiandika.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ambavyo utaweza kutumia javascript kutengeneza kikokotoo cha hesabu yaani calculator
Soma Zaidi...Hii ni game ambayo utafikiria namba, ambayo inatakiwa iwe sawa na namba ambayo game imeiweka.
Soma Zaidi...Katika post hii utakwenda kujifunza kutengeneza game ya tic toc ya mchezaji mmoja na kompyuta yaani single player
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu array pamoja na method zinazohusiana na array. Pia nitakujuza tena kuhusu array ni nini. Utajifunza pia jinsi ya kutengeneza array.
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza jinsi ya kupangilia muonekano wa maandishi (text) wakati wa ku out put matokeo ya code
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ambavyo utaweza ku display matokeo ya code za javascript.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza baadhi ya function maaumu zinazotumika kwenye string yaani string method.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwenda kujifunza khusu while loop na do while loop.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu user input. Somo hili litaangalia html form na attribute zake na jinsi zinavyohusiana na user input. Mwisho wa somo hili utaweza kutengeneza simple Calculator kwa kutumia javascript.
Soma Zaidi...