JAVASCRIPT - somo la 24: Jinsi ya kutengeneza online keyboard

Katika project hii utakwenda kufunza jinsi utakavyoweza kutengeneza keyboard ya online kwa kutumia javascript

PROJECT YA KUTENGENEZA ONLINE KEYBOARD:

Kama umeshawahi kuona katika huduma za kibenk unaweza kukuta kuwa kuna online keyboard kwa ajili ya kulinda usalama endapo kuna program ambayo inachukuwa taarifa za keyboard kwenye kompyuta ama simu ya mtu. 

 

Program hii tutaitengenza kutokana na program ya calculator ambayo tulishaiona kwenye masomo yaliotangulia.


 

<html>

<head>

 <title>Mafunzo ya javascript</title>

 <style>

   .button {

     font-size: 24px;

     padding: 10px;

     margin: 5px;

     border-radius: 5px;

     background-color: #f1f1f1;

     color: #333;

     border: none;

     cursor: pointer;

   }

   .button2 {

     font-size: 24px;

     padding: 10px;

     margin: 5px;

     border-radius: 5px;

     background-color: #0bcaec;

     color: rgb(0, 0, 0);

     border: none;

     cursor: pointer;

   }

 

   button:hover {

     background-color: #ddd;

   }

 

   #input {

     font-size: 24px;

     padding: 10px;

     margin: 5px;

     border-radius: 5px;

     border: 1px solid #ddd;

   }

 </style>

</head>

</html>

<body>

<textarea id="input"></textarea>

<br />

<button class="button"  onclick="addChar('q')">q</button>

<button class="button"  onclick="addChar('w')">w</button>

<button class="button"  onclick="addChar('e')">e</button>

<button class="button"  onclick="addChar('r')">r</button>

<button class="button"  onclick="addChar('t')">t</button>

<button class="button"  onclick="addChar('y')">y</button>

<button class="button"  onclick="addChar('u')">u</button>

<button class="button"  onclick="addChar('i')">i</button>

<button class="button"  onclick="addChar('o')">o</button>

<button class="button"  onclick="addChar('p')">p</button>

<br />

<button class="button"  onclick="addChar('a')">a</button>

<button class="button"  onclick="addChar('s')">s</button>

<button class="button"  onclick="addChar('d')">d</button>

<button class="button"  onclick="addChar('f')">f</button>

<button class="button"  onclick="addChar('g')">g</button>

<button class="button"  onclick="addChar('h')">h</button>

<button class="button"  onclick="addChar('j')">j</button>

<button class="button"  onclick="addChar('k')">k</button>

<button class="button"  onclick="addChar('l')">l</button>

<button class="button2"  onclick="addChar('+')">+</button>

<br />

<button class="button"  onclick="addChar('z')">z</button>

<button class="button"  onclick="addChar('x')">x</button>

<button class="button"  onclick="addChar('c')">c</button>

<button class="button"  onclick="addChar('v')">v</button>

<button class="button"  onclick="addChar('b')">b</button>

<button class="button"  onclick="addChar('n')">n</button>

<button class="button"  onclick="addChar('m')">m</button>

<button class="button2"  onclick="addChar('-')">-</button>

<button class="button2"  onclick="addChar('=')">=</button>

<button class="button2"  onclick="addChar('/')">/</button>

<br />

<button class="button"  onclick="backspace()">Delete</button>

<button class="button"  onclick="addChar(' ')">Space</button>

<button class="button"  onclick="clearInput()">Clear</button>

<button class="button2"  onclick="addChar('?')">?</button>

<button class="button2"  onclick="addChar(',')">,</button>

<button class="button2"  onclick="addChar('.')">.</button>

<br>

<script>

 function addChar(char) {

   document.getElementById("input").value += char;

 }

 

 function backspace() {

   var input = document.getElementById("input");

   input.value = input.value.slice(0, -1);

 }

 

 function clearInput() {

   document.getElementById("input").value = "";

 }

</script>

</body>

</html>

 

 


 

...

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: JavaScript Main: ICT File: Download PDF Views 1088

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Dua za Mitume na Manabii    👉2 Madrasa kiganjani    👉3 Kitabu cha Afya    👉4 web hosting    👉5 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)   

Post zinazofanana:

JAVASCRIPT - somo la 18: Jinsi ya kutumia switch case kwenye javascript

Kwa kutumia mfano huu na iliyotangulia unaweza kuweka masharti kadiri uwezavyo. Tukutane somo linalofuata tutajifunza kuhusu switch statement.

Soma Zaidi...
JAVASCRIPT - somo la 6: Jinsi ya kufanya mahesabu kwenye javascript

Katika somo hili utajifunza kuhusu matendo ya hesabu ambayo ni kugawanya, kujumlisha, kuzidisha na kutoa

Soma Zaidi...
Game 1: Jinsi ya kutengeneza game ya tic toc ya wachezaji wawili kwa kutumia html, css na javascript

Katika post hii utakwenda kujifundisha jinsi ya kutengeneza game ya tic toc ya wachezaji wawii kwa utumia html, css na javascript

Soma Zaidi...
JAVASCRIPT - somo la 21: Jinsi ya kutumia while loop na do while loop

Katika somo hili tutakwenda kujifunza khusu while loop na do while loop.

Soma Zaidi...
JAVASCRIPT - somo la 17: condition statement za if else, else if kwenye javascript

Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu condition statemant. Darasa hili ni moja katika madarasa muhimu programming. Katika somo hili tutajifunza kwa vitendo zaidi. Tutatumia mifano ya somo lililo tangulia.

Soma Zaidi...
Game 2: Jinsi ya kutengeneza tic toc game ya single player kwa kutumia javascript, html na css

Katika post hii utakwenda kujifunza kutengeneza game ya tic toc ya mchezaji mmoja na kompyuta yaani single player

Soma Zaidi...
JAVASCRIPT - somo la 16: Jinsi ya kutumia html form kwenye javascript

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ku dili na html form kwenye javascript. Javascript inaweza kufanya mengi kwenye html form.

Soma Zaidi...
JAVASCRIPT - somo la 22: Jinsi ya ku set time na tarehe

Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu ku set time. Yaani tutaweka muda ambao code zinatakiwa ndio zilete matokeo.

Soma Zaidi...
JAVASCRIPT - somo la 12: Function zinazotumika kwenye namba

Katika somo hili utajifunz kuhusu baadhi ya function ambazo hutumika kwenye namba

Soma Zaidi...
JAVASCRIPT - somo la 10: Jinsi ya kuandika object na matumizi yake kwenye javascript

Ksomo hili litakwenda kukufundisha kuhusu object kwenye javascript, kazi zake na sheria zake katika kuiandika.

Soma Zaidi...