image

JAVASCRIPT - somo la 24: Jinsi ya kutengeneza online keyboard

Katika project hii utakwenda kufunza jinsi utakavyoweza kutengeneza keyboard ya online kwa kutumia javascript

PROJECT YA KUTENGENEZA ONLINE KEYBOARD:

Kama umeshawahi kuona katika huduma za kibenk unaweza kukuta kuwa kuna online keyboard kwa ajili ya kulinda usalama endapo kuna program ambayo inachukuwa taarifa za keyboard kwenye kompyuta ama simu ya mtu. 

 

Program hii tutaitengenza kutokana na program ya calculator ambayo tulishaiona kwenye masomo yaliotangulia.


 

<html>

<head>

 <title>Mafunzo ya javascript</title>

 <style>

   .button {

     font-size: 24px;

     padding: 10px;

     margin: 5px;

     border-radius: 5px;

     background-color: #f1f1f1;

     color: #333;

     border: none;

     cursor: pointer;

   }

   .button2 {

     font-size: 24px;

     padding: 10px;

     margin: 5px;

     border-radius: 5px;

     background-color: #0bcaec;

     color: rgb(0, 0, 0);

     border: none;

     cursor: pointer;

   }

 

   button:hover {

     background-color: #ddd;

   }

 

   #input {

     font-size: 24px;

     padding: 10px;

     margin: 5px;

     border-radius: 5px;

     border: 1px solid #ddd;

   }

 </style>

</head>

</html>

<body>

<textarea id="input"></textarea>

<br />

<button class="button"  onclick="addChar('q')">q</button>

<button class="button"  onclick="addChar('w')">w</button>

<button class="button"  onclick="addChar('e')">e</button>

<button class="button"  onclick="addChar('r')">r</button>

<button class="button"  onclick="addChar('t')">t</button>

<button class="button"  onclick="addChar('y')">y</button>

<button class="button"  onclick="addChar('u')">u</button>

<button class="button"  onclick="addChar('i')">i</button>

<button class="button"  onclick="addChar('o')">o</button>

<button class="button"  onclick="addChar('p')">p</button>

<br />

<button class="button"  onclick="addChar('a')">a</button>

<button class="button"  onclick="addChar('s')">s</button>

<button class="button"  onclick="addChar('d')">d</button>

<button class="button"  onclick="addChar('f')">f</button>

<button class="button"  onclick="addChar('g')">g</button>

<button class="button"  onclick="addChar('h')">h</button>

<button class="button"  onclick="addChar('j')">j</button>

<button class="button"  onclick="addChar('k')">k</button>

<button class="button"  onclick="addChar('l')">l</button>

<button class="button2"  onclick="addChar('+')">+</button>

<br />

<button class="button"  onclick="addChar('z')">z</button>

<button class="button"  onclick="addChar('x')">x</button>

<button class="button"  onclick="addChar('c')">c</button>

<button class="button"  onclick="addChar('v')">v</button>

<button class="button"  onclick="addChar('b')">b</button>

<button class="button"  onclick="addChar('n')">n</button>

<button class="button"  onclick="addChar('m')">m</button>

<button class="button2"  onclick="addChar('-')">-</button>

<button class="button2"  onclick="addChar('=')">=</button>

<button class="button2"  onclick="addChar('/')">/</button>

<br />

<button class="button"  onclick="backspace()">Delete</button>

<button class="button"  onclick="addChar(' ')">Space</button>

<button class="button"  onclick="clearInput()">Clear</button>

<button class="button2"  onclick="addChar('?')">?</button>

<button class="button2"  onclick="addChar(',')">,</button>

<button class="button2"  onclick="addChar('.')">.</button>

<br>

<script>

 function addChar(char) {

   document.getElementById("input").value += char;

 }

 

 function backspace() {

   var input = document.getElementById("input");

   input.value = input.value.slice(0, -1);

 }

 

 function clearInput() {

   document.getElementById("input").value = "";

 }

</script>

</body>

</html>

 

 


 

...



Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 287


Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh     👉2 kitabu cha Simulizi     👉3 Madrasa kiganjani     👉4 Kitabu cha Afya    

Post zifazofanana:-

Game 3: Mchezo wa kufikiria namba kwa kutumia javascript
Hii ni game ambayo utafikiria namba, ambayo inatakiwa iwe sawa na namba ambayo game imeiweka. Soma Zaidi...

JAVASCRIPT - somo la 18: Jinsi ya kutumia switch case kwenye javascript
Kwa kutumia mfano huu na iliyotangulia unaweza kuweka masharti kadiri uwezavyo. Tukutane somo linalofuata tutajifunza kuhusu switch statement. Soma Zaidi...

JAVASCRIPT - somo la 8: Aina za data zinazotumika kwenye javascript
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu aina za data ambazo hutumika kwenye javascript Soma Zaidi...

JAVASCRIPT - somo la 23: Jinsi ya kutengeneza calculator yaani kikokotoo cha hesabu kwa kutumia javascript
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ambavyo utaweza kutumia javascript kutengeneza kikokotoo cha hesabu yaani calculator Soma Zaidi...

JAVASCRIPT - somo la 22: Jinsi ya ku set time na tarehe
Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu ku set time. Yaani tutaweka muda ambao code zinatakiwa ndio zilete matokeo. Soma Zaidi...

JAVASCRIPT - somo la 12: Function zinazotumika kwenye namba
Katika somo hili utajifunz kuhusu baadhi ya function ambazo hutumika kwenye namba Soma Zaidi...

JAVASCRIPT - somo la 3: sheria za uandishi wa code za javascript yaani syntax za javascript
Katika somo hili utakwenda kujifunza sheria ama syntax za kuandika javascript. Hii itakuwezesha kuelwa zaidi code za javascript. Soma Zaidi...

JAVASCRIPT - somo la 21: Jinsi ya kutumia while loop na do while loop
Katika somo hili tutakwenda kujifunza khusu while loop na do while loop. Soma Zaidi...

JAVASCRIPT - somo la 24: Jinsi ya kutengeneza online keyboard
Katika project hii utakwenda kufunza jinsi utakavyoweza kutengeneza keyboard ya online kwa kutumia javascript Soma Zaidi...

JAVASCRIPT - somo la 20 Jinsi ya kutumia foOfloop kwenye javascript
Katika somo hili utajifunza jinsi ya kutumia forOfLoop. Hii ni aina ya loop ambayo yenyewe inahusisha item zote kwenye array. Soma Zaidi...

JAVASCRIPT - somo la 17: condition statement za if else, else if kwenye javascript
Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu condition statemant. Darasa hili ni moja katika madarasa muhimu programming. Katika somo hili tutajifunza kwa vitendo zaidi. Tutatumia mifano ya somo lililo tangulia. Soma Zaidi...

JAVASCRIPT - somo la 7: Jinsi ya kutumia logical operator kwenye javascript
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia logical operator kwenye javascript. Katika somo hili tutakwenda kutumia mahesabu. Soma Zaidi...