Katika project hii utakwenda kufunza jinsi utakavyoweza kutengeneza keyboard ya online kwa kutumia javascript
PROJECT YA KUTENGENEZA ONLINE KEYBOARD:
Kama umeshawahi kuona katika huduma za kibenk unaweza kukuta kuwa kuna online keyboard kwa ajili ya kulinda usalama endapo kuna program ambayo inachukuwa taarifa za keyboard kwenye kompyuta ama simu ya mtu.
Program hii tutaitengenza kutokana na program ya calculator ambayo tulishaiona kwenye masomo yaliotangulia.
<html>
<head>
<title>Mafunzo ya javascript</title>
<style>
.button {
font-size: 24px;
padding: 10px;
margin: 5px;
border-radius: 5px;
background-color: #f1f1f1;
color: #333;
border: none;
cursor: pointer;
}
.button2 {
font-size: 24px;
padding: 10px;
margin: 5px;
border-radius: 5px;
background-color: #0bcaec;
color: rgb(0, 0, 0);
border: none;
cursor: pointer;
}
button:hover {
background-color: #ddd;
}
#input {
font-size: 24px;
padding: 10px;
margin: 5px;
border-radius: 5px;
border: 1px solid #ddd;
}
</style>
</head>
</html>
<body>
<textarea id="input"></textarea>
<br />
<button class="button" onclick="addChar('q')">q</button>
<button class="button" onclick="addChar('w')">w</button>
<button class="button" onclick="addChar('e')">e</button>
<button class="button" onclick="addChar('r')">r</button>
<button class="button" onclick="addChar('t')">t</button>
<button class="button" onclick="addChar('y')">y</button>
<button class="button" onclick="addChar('u')">u</button>
<button class="button" onclick="addChar('i')">i</button>
<button class="button" onclick="addChar('o')">o</button>
<button class="button" onclick="addChar('p')">p</button>
<br />
<button class="button" onclick="addChar('a')">a</button>
<button class="button" onclick="addChar('s')">s</button>
<button class="button" onclick="addChar('d')">d</button>
<button class="button" onclick="addChar('f')">f</button>
<button class="button" onclick="addChar('g')">g</button>
<button class="button" onclick="addChar('h')">h</button>
<button class="button" onclick="addChar('j')">j</button>
<button class="button" onclick="addChar('k')">k</button>
<button class="button" onclick="addChar('l')">l</button>
<button class="button2" onclick="addChar('+')">+</button>
<br />
<button class="button" onclick="addChar('z')">z</button>
<button class="button" onclick="addChar('x')">x</button>
<button class="button" onclick="addChar('c')">c</button>
<button class="button" onclick="addChar('v')">v</button>
<button class="button" onclick="addChar('b')">b</button>
<button class="button" onclick="addChar('n')">n</button>
<button class="button" onclick="addChar('m')">m</button>
<button class="button2" onclick="addChar('-')">-</button>
<button class="button2" onclick="addChar('=')">=</button>
<button class="button2" onclick="addChar('/')">/</button>
<br />
<button class="button" onclick="backspace()">Delete</button>
<button class="button" onclick="addChar(' ')">Space</button>
<button class="button" onclick="clearInput()">Clear</button>
<button class="button2" onclick="addChar('?')">?</button>
<button class="button2" onclick="addChar(',')">,</button>
<button class="button2" onclick="addChar('.')">.</button>
<br>
<script>
function addChar(char) {
document.getElementById("input").value += char;
}
function backspace() {
var input = document.getElementById("input");
input.value = input.value.slice(0, -1);
}
function clearInput() {
document.getElementById("input").value = "";
}
</script>
</body>
</html>
...
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Ksomo hili litakwenda kukufundisha kuhusu object kwenye javascript, kazi zake na sheria zake katika kuiandika.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu aina za data ambazo hutumika kwenye javascript
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu ku set time. Yaani tutaweka muda ambao code zinatakiwa ndio zilete matokeo.
Soma Zaidi...Hii ni game ambayo utafikiria namba, ambayo inatakiwa iwe sawa na namba ambayo game imeiweka.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ku dili na html form kwenye javascript. Javascript inaweza kufanya mengi kwenye html form.
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza jinsi ya kupangilia muonekano wa maandishi (text) wakati wa ku out put matokeo ya code
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu user input. Somo hili litaangalia html form na attribute zake na jinsi zinavyohusiana na user input. Mwisho wa somo hili utaweza kutengeneza simple Calculator kwa kutumia javascript.
Soma Zaidi...Kwa kutumia mfano huu na iliyotangulia unaweza kuweka masharti kadiri uwezavyo. Tukutane somo linalofuata tutajifunza kuhusu switch statement.
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza kuhusu matendo ya hesabu ambayo ni kugawanya, kujumlisha, kuzidisha na kutoa
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ambavyo utaweza ku display matokeo ya code za javascript.
Soma Zaidi...