Katika project hii utakwenda kufunza jinsi utakavyoweza kutengeneza keyboard ya online kwa kutumia javascript
PROJECT YA KUTENGENEZA ONLINE KEYBOARD:
Kama umeshawahi kuona katika huduma za kibenk unaweza kukuta kuwa kuna online keyboard kwa ajili ya kulinda usalama endapo kuna program ambayo inachukuwa taarifa za keyboard kwenye kompyuta ama simu ya mtu.
Program hii tutaitengenza kutokana na program ya calculator ambayo tulishaiona kwenye masomo yaliotangulia.
<html>
<head>
<title>Mafunzo ya javascript</title>
<style>
.button {
font-size: 24px;
padding: 10px;
margin: 5px;
border-radius: 5px;
background-color: #f1f1f1;
color: #333;
border: none;
cursor: pointer;
}
.button2 {
font-size: 24px;
padding: 10px;
margin: 5px;
border-radius: 5px;
background-color: #0bcaec;
color: rgb(0, 0, 0);
border: none;
cursor: pointer;
}
button:hover {
background-color: #ddd;
}
#input {
font-size: 24px;
padding: 10px;
margin: 5px;
border-radius: 5px;
border: 1px solid #ddd;
}
</style>
</head>
</html>
<body>
<textarea id="input"></textarea>
<br />
<button class="button" onclick="addChar('q')">q</button>
<button class="button" onclick="addChar('w')">w</button>
<button class="button" onclick="addChar('e')">e</button>
<button class="button" onclick="addChar('r')">r</button>
<button class="button" onclick="addChar('t')">t</button>
<button class="button" onclick="addChar('y')">y</button>
<button class="button" onclick="addChar('u')">u</button>
<button class="button" onclick="addChar('i')">i</button>
<button class="button" onclick="addChar('o')">o</button>
<button class="button" onclick="addChar('p')">p</button>
<br />
<button class="button" onclick="addChar('a')">a</button>
<button class="button" onclick="addChar('s')">s</button>
<button class="button" onclick="addChar('d')">d</button>
<button class="button" onclick="addChar('f')">f</button>
<button class="button" onclick="addChar('g')">g</button>
<button class="button" onclick="addChar('h')">h</button>
<button class="button" onclick="addChar('j')">j</button>
<button class="button" onclick="addChar('k')">k</button>
<button class="button" onclick="addChar('l')">l</button>
<button class="button2" onclick="addChar('+')">+</button>
<br />
<button class="button" onclick="addChar('z')">z</button>
<button class="button" onclick="addChar('x')">x</button>
<button class="button" onclick="addChar('c')">c</button>
<button class="button" onclick="addChar('v')">v</button>
<button class="button" onclick="addChar('b')">b</button>
<button class="button" onclick="addChar('n')">n</button>
<button class="button" onclick="addChar('m')">m</button>
<button class="button2" onclick="addChar('-')">-</button>
<button class="button2" onclick="addChar('=')">=</button>
<button class="button2" onclick="addChar('/')">/</button>
<br />
<button class="button" onclick="backspace()">Delete</button>
<button class="button" onclick="addChar(' ')">Space</button>
<button class="button" onclick="clearInput()">Clear</button>
<button class="button2" onclick="addChar('?')">?</button>
<button class="button2" onclick="addChar(',')">,</button>
<button class="button2" onclick="addChar('.')">.</button>
<br>
<script>
function addChar(char) {
document.getElementById("input").value += char;
}
function backspace() {
var input = document.getElementById("input");
input.value = input.value.slice(0, -1);
}
function clearInput() {
document.getElementById("input").value = "";
}
</script>
</body>
</html>
...
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Ksomo hili litakwenda kukufundisha kuhusu object kwenye javascript, kazi zake na sheria zake katika kuiandika.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu condition statemant. Darasa hili ni moja katika madarasa muhimu programming. Katika somo hili tutajifunza kwa vitendo zaidi. Tutatumia mifano ya somo lililo tangulia.
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza kuhusu historia ya javacsript pamoja na kazi za javascript. Pia utayajuwa makampuni makubwa yanayotumia javascript.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza baadhi ya function maaumu zinazotumika kwenye string yaani string method.
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza kuhusu matendo ya hesabu ambayo ni kugawanya, kujumlisha, kuzidisha na kutoa
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu aina za data ambazo hutumika kwenye javascript
Soma Zaidi...Kwa kutumia mfano huu na iliyotangulia unaweza kuweka masharti kadiri uwezavyo. Tukutane somo linalofuata tutajifunza kuhusu switch statement.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia logical operator kwenye javascript. Katika somo hili tutakwenda kutumia mahesabu.
Soma Zaidi...Katika post hii utakwenda kujifundisha jinsi ya kutengeneza game ya tic toc ya wachezaji wawii kwa utumia html, css na javascript
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza sheria ama syntax za kuandika javascript. Hii itakuwezesha kuelwa zaidi code za javascript.
Soma Zaidi...