Katika project hii utakwenda kufunza jinsi utakavyoweza kutengeneza keyboard ya online kwa kutumia javascript
PROJECT YA KUTENGENEZA ONLINE KEYBOARD:
Kama umeshawahi kuona katika huduma za kibenk unaweza kukuta kuwa kuna online keyboard kwa ajili ya kulinda usalama endapo kuna program ambayo inachukuwa taarifa za keyboard kwenye kompyuta ama simu ya mtu.
Program hii tutaitengenza kutokana na program ya calculator ambayo tulishaiona kwenye masomo yaliotangulia.
<html>
<head>
<title>Mafunzo ya javascript</title>
<style>
.button {
font-size: 24px;
padding: 10px;
margin: 5px;
border-radius: 5px;
background-color: #f1f1f1;
color: #333;
border: none;
cursor: pointer;
}
.button2 {
font-size: 24px;
padding: 10px;
margin: 5px;
border-radius: 5px;
background-color: #0bcaec;
color: rgb(0, 0, 0);
border: none;
cursor: pointer;
}
button:hover {
background-color: #ddd;
}
#input {
font-size: 24px;
padding: 10px;
margin: 5px;
border-radius: 5px;
border: 1px solid #ddd;
}
</style>
</head>
</html>
<body>
<textarea id="input"></textarea>
<br />
<button class="button" onclick="addChar('q')">q</button>
<button class="button" onclick="addChar('w')">w</button>
<button class="button" onclick="addChar('e')">e</button>
<button class="button" onclick="addChar('r')">r</button>
<button class="button" onclick="addChar('t')">t</button>
<button class="button" onclick="addChar('y')">y</button>
<button class="button" onclick="addChar('u')">u</button>
<button class="button" onclick="addChar('i')">i</button>
<button class="button" onclick="addChar('o')">o</button>
<button class="button" onclick="addChar('p')">p</button>
<br />
<button class="button" onclick="addChar('a')">a</button>
<button class="button" onclick="addChar('s')">s</button>
<button class="button" onclick="addChar('d')">d</button>
<button class="button" onclick="addChar('f')">f</button>
<button class="button" onclick="addChar('g')">g</button>
<button class="button" onclick="addChar('h')">h</button>
<button class="button" onclick="addChar('j')">j</button>
<button class="button" onclick="addChar('k')">k</button>
<button class="button" onclick="addChar('l')">l</button>
<button class="button2" onclick="addChar('+')">+</button>
<br />
<button class="button" onclick="addChar('z')">z</button>
<button class="button" onclick="addChar('x')">x</button>
<button class="button" onclick="addChar('c')">c</button>
<button class="button" onclick="addChar('v')">v</button>
<button class="button" onclick="addChar('b')">b</button>
<button class="button" onclick="addChar('n')">n</button>
<button class="button" onclick="addChar('m')">m</button>
<button class="button2" onclick="addChar('-')">-</button>
<button class="button2" onclick="addChar('=')">=</button>
<button class="button2" onclick="addChar('/')">/</button>
<br />
<button class="button" onclick="backspace()">Delete</button>
<button class="button" onclick="addChar(' ')">Space</button>
<button class="button" onclick="clearInput()">Clear</button>
<button class="button2" onclick="addChar('?')">?</button>
<button class="button2" onclick="addChar(',')">,</button>
<button class="button2" onclick="addChar('.')">.</button>
<br>
<script>
function addChar(char) {
document.getElementById("input").value += char;
}
function backspace() {
var input = document.getElementById("input");
input.value = input.value.slice(0, -1);
}
function clearInput() {
document.getElementById("input").value = "";
}
</script>
</body>
</html>
...
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hilibtutakwenda kujifunza kuhusu loop. Katika programming tunaposema loop tunamaanisha ile hali ya program ku excute code zaidi na zaidi. Tofauti na kurudia rudia kuandika statement moja kwa ajili ya kupata matokeoa hayohayo basi unapotumia lo
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza jinsi ya kutumia forOfLoop. Hii ni aina ya loop ambayo yenyewe inahusisha item zote kwenye array.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza baadhi ya function maaumu zinazotumika kwenye string yaani string method.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ambavyo utaweza ku display matokeo ya code za javascript.
Soma Zaidi...Ksomo hili litakwenda kukufundisha kuhusu object kwenye javascript, kazi zake na sheria zake katika kuiandika.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwenda kujifunza khusu while loop na do while loop.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ku dili na html form kwenye javascript. Javascript inaweza kufanya mengi kwenye html form.
Soma Zaidi...Katika post hii utakwenda kujifundisha jinsi ya kutengeneza game ya tic toc ya wachezaji wawii kwa utumia html, css na javascript
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza kuhusu historia ya javacsript pamoja na kazi za javascript. Pia utayajuwa makampuni makubwa yanayotumia javascript.
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza jinsi ya kupangilia muonekano wa maandishi (text) wakati wa ku out put matokeo ya code
Soma Zaidi...