JAVASCRIPT - somo la 24: Jinsi ya kutengeneza online keyboard

JAVASCRIPT - somo la 24: Jinsi ya kutengeneza online keyboard

Katika project hii utakwenda kufunza jinsi utakavyoweza kutengeneza keyboard ya online kwa kutumia javascript

PROJECT YA KUTENGENEZA ONLINE KEYBOARD:

Kama umeshawahi kuona katika huduma za kibenk unaweza kukuta kuwa kuna online keyboard kwa ajili ya kulinda usalama endapo kuna program ambayo inachukuwa taarifa za keyboard kwenye kompyuta ama simu ya mtu. 

 

Program hii tutaitengenza kutokana na program ya calculator ambayo tulishaiona kwenye masomo yaliotangulia.


 

<html>

<head>

 <title>Mafunzo ya javascript</title>

 <style>

   .button {

     font-size: 24px;

     padding: 10px;

     margin: 5px;

     border-radius: 5px;

     background-color: #f1f1f1;

     color: #333;

     border: none;

     cursor: pointer;

   }

   .button2 {

     font-size: 24px;

     padding: 10px;

     margin: 5px;

     border-radius: 5px;

     background-color: #0bcaec;

     color: rgb(0, 0, 0);

     border: none;

     cursor: pointer;

   }

 

   button:hover {

     background-color: #ddd;

   }

 

   #input {

     font-size: 24px;

     padding: 10px;

     margin: 5px;

     border-radius: 5px;

     border: 1px solid #ddd;

   }

 </style>

</head>

</html>

<body>

<textarea id="input"></textarea>

<br />

<button class="button"  onclick="addChar('q')">q</button>

<button class="button"  onclick="addChar('w')">w</button>

<button class="button"  onclick="addChar('e')">e</button>

<button class="button"  onclick="addChar('r')">r</button>

<button class="button"  onclick="addChar('t')">t</button>

<button class="button"  onclick="addChar('y')">y</button>

<button class="button"  onclick="addChar('u')">u</button>

<button class="button"  onclick="addChar('i')">i</button>

<button class="button"  onclick="addChar('o')">o</button>

<button class="button"  onclick="addChar('p')">p</button>

<br />

<button class="button"  onclick="addChar('a')">a</button>

<button class="button"  onclick="addChar('s')">s</button>

<button class="button"  onclick="addChar('d')">d</button>

<button class="button"  onclick="addChar('f')">f</button>

<button class="button"  onclick="addChar('g')">g</button>

<button class="button"  onclick="addChar('h')">h</button>

<button class="button"  onclick="addChar('j')">j</button>

<button class="button"  onclick="addChar('k')">k</button>

<button class="button"  onclick="addChar('l')">l</button>

<button class="button2"  onclick="addChar('+')">+</button>

<br />

<button class="button"  onclick="addChar('z')">z</button>

<button class="button"  onclick="addChar('x')">x</button>

<button class="button"  onclick="addChar('c')">c</button>

<button class="button"  onclick="addChar('v')">v</button>

<button class="button"  onclick="addChar('b')">b</button>

<button class="button"  onclick="addChar('n')">n</button>

<button class="button"  onclick="addChar('m')">m</button>

<button class="button2"  onclick="addChar('-')">-</button>

<button class="button2"  onclick="addChar('=')">=</button>

<button class="button2"  onclick="addChar('/')">/</button>

<br />

<button class="button"  onclick="backspace()">Delete</button>

<button class="button"  onclick="addChar(' ')">Space</button>

<button class="button"  onclick="clearInput()">Clear</button>

<button class="button2"  onclick="addChar('?')">?</button>

<button class="button2"  onclick="addChar(',')">,</button>

<button class="button2"  onclick="addChar('.')">.</button>

<br>

<script>

 function addChar(char) {

   document.getElementById("input").value += char;

 }

 

 function backspace() {

   var input = document.getElementById("input");

   input.value = input.value.slice(0, -1);

 }

 

 function clearInput() {

   document.getElementById("input").value = "";

 }

</script>

</body>

</html>

 

 


 

...

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: JavaScript Main: ICT File: Download PDF Views 655

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉2 Kitau cha Fiqh    👉3 Kitabu cha Afya    👉4 Bongolite - Game zone - Play free game    👉5 Madrasa kiganjani    👉6 kitabu cha Simulizi   

Post zinazofanana:

JAVASCRIPT - somo la 17: condition statement za if else, else if kwenye javascript
JAVASCRIPT - somo la 17: condition statement za if else, else if kwenye javascript

Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu condition statemant. Darasa hili ni moja katika madarasa muhimu programming. Katika somo hili tutajifunza kwa vitendo zaidi. Tutatumia mifano ya somo lililo tangulia.

Soma Zaidi...
JAVASCRIPT - somo la 10: Jinsi ya kuandika object na matumizi yake kwenye javascript
JAVASCRIPT - somo la 10: Jinsi ya kuandika object na matumizi yake kwenye javascript

Ksomo hili litakwenda kukufundisha kuhusu object kwenye javascript, kazi zake na sheria zake katika kuiandika.

Soma Zaidi...
JAVASCRIPT - somo la 14: Jifunze kuhusu event kwenye javascript
JAVASCRIPT - somo la 14: Jifunze kuhusu event kwenye javascript

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu javascript events. Event ni neno la Kiingereza lenye maana tukio wingi wake events kumaanisha matukio. Natumia ni kila ambacho kinatokea kwenye javascript.

Soma Zaidi...
JAVASCRIPT - somo la 3: sheria za uandishi wa code za javascript yaani syntax za javascript
JAVASCRIPT - somo la 3: sheria za uandishi wa code za javascript yaani syntax za javascript

Katika somo hili utakwenda kujifunza sheria ama syntax za kuandika javascript. Hii itakuwezesha kuelwa zaidi code za javascript.

Soma Zaidi...
Game 1: Jinsi ya kutengeneza game ya tic toc ya wachezaji wawili kwa kutumia html, css na javascript
Game 1: Jinsi ya kutengeneza game ya tic toc ya wachezaji wawili kwa kutumia html, css na javascript

Katika post hii utakwenda kujifundisha jinsi ya kutengeneza game ya tic toc ya wachezaji wawii kwa utumia html, css na javascript

Soma Zaidi...
JAVASCRIPT - somo la 13: Function zinazofanya kazi kwenye array.
JAVASCRIPT - somo la 13: Function zinazofanya kazi kwenye array.

Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu array pamoja na method zinazohusiana na array. Pia nitakujuza tena kuhusu array ni nini. Utajifunza pia jinsi ya kutengeneza array.

Soma Zaidi...
JAVASCRIPT - somo la 8: Aina za data zinazotumika kwenye javascript
JAVASCRIPT - somo la 8: Aina za data zinazotumika kwenye javascript

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu aina za data ambazo hutumika kwenye javascript

Soma Zaidi...
JAVASCRIPT - somo la 11: function maalumu zinazotumika kwenye string yaani string method
JAVASCRIPT - somo la 11: function maalumu zinazotumika kwenye string yaani string method

Katika somo hili utakwenda kujifunza baadhi ya function maaumu zinazotumika kwenye string yaani string method.

Soma Zaidi...
JAVASCRIPT - somo la 2: Jisi ya ku print output ya code za javascript.
JAVASCRIPT - somo la 2: Jisi ya ku print output ya code za javascript.

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ambavyo utaweza ku display matokeo ya code za javascript.

Soma Zaidi...
JAVASCRIPT - somo la 19: Jinsi ya kutumia loop kwenye javascript
JAVASCRIPT - somo la 19: Jinsi ya kutumia loop kwenye javascript

Katika somo hilibtutakwenda kujifunza kuhusu loop. Katika programming tunaposema loop tunamaanisha ile hali ya program ku excute code zaidi na zaidi. Tofauti na kurudia rudia kuandika statement moja kwa ajili ya kupata matokeoa hayohayo basi unapotumia lo

Soma Zaidi...