Katika project hii utakwenda kufunza jinsi utakavyoweza kutengeneza keyboard ya online kwa kutumia javascript
PROJECT YA KUTENGENEZA ONLINE KEYBOARD:
Kama umeshawahi kuona katika huduma za kibenk unaweza kukuta kuwa kuna online keyboard kwa ajili ya kulinda usalama endapo kuna program ambayo inachukuwa taarifa za keyboard kwenye kompyuta ama simu ya mtu.
Program hii tutaitengenza kutokana na program ya calculator ambayo tulishaiona kwenye masomo yaliotangulia.
<html>
<head>
<title>Mafunzo ya javascript</title>
<style>
.button {
font-size: 24px;
padding: 10px;
margin: 5px;
border-radius: 5px;
background-color: #f1f1f1;
color: #333;
border: none;
cursor: pointer;
}
.button2 {
font-size: 24px;
padding: 10px;
margin: 5px;
border-radius: 5px;
background-color: #0bcaec;
color: rgb(0, 0, 0);
border: none;
cursor: pointer;
}
button:hover {
background-color: #ddd;
}
#input {
font-size: 24px;
padding: 10px;
margin: 5px;
border-radius: 5px;
border: 1px solid #ddd;
}
</style>
</head>
</html>
<body>
<textarea id="input"></textarea>
<br />
<button class="button" onclick="addChar('q')">q</button>
<button class="button" onclick="addChar('w')">w</button>
<button class="button" onclick="addChar('e')">e</button>
<button class="button" onclick="addChar('r')">r</button>
<button class="button" onclick="addChar('t')">t</button>
<button class="button" onclick="addChar('y')">y</button>
<button class="button" onclick="addChar('u')">u</button>
<button class="button" onclick="addChar('i')">i</button>
<button class="button" onclick="addChar('o')">o</button>
<button class="button" onclick="addChar('p')">p</button>
<br />
<button class="button" onclick="addChar('a')">a</button>
<button class="button" onclick="addChar('s')">s</button>
<button class="button" onclick="addChar('d')">d</button>
<button class="button" onclick="addChar('f')">f</button>
<button class="button" onclick="addChar('g')">g</button>
<button class="button" onclick="addChar('h')">h</button>
<button class="button" onclick="addChar('j')">j</button>
<button class="button" onclick="addChar('k')">k</button>
<button class="button" onclick="addChar('l')">l</button>
<button class="button2" onclick="addChar('+')">+</button>
<br />
<button class="button" onclick="addChar('z')">z</button>
<button class="button" onclick="addChar('x')">x</button>
<button class="button" onclick="addChar('c')">c</button>
<button class="button" onclick="addChar('v')">v</button>
<button class="button" onclick="addChar('b')">b</button>
<button class="button" onclick="addChar('n')">n</button>
<button class="button" onclick="addChar('m')">m</button>
<button class="button2" onclick="addChar('-')">-</button>
<button class="button2" onclick="addChar('=')">=</button>
<button class="button2" onclick="addChar('/')">/</button>
<br />
<button class="button" onclick="backspace()">Delete</button>
<button class="button" onclick="addChar(' ')">Space</button>
<button class="button" onclick="clearInput()">Clear</button>
<button class="button2" onclick="addChar('?')">?</button>
<button class="button2" onclick="addChar(',')">,</button>
<button class="button2" onclick="addChar('.')">.</button>
<br>
<script>
function addChar(char) {
document.getElementById("input").value += char;
}
function backspace() {
var input = document.getElementById("input");
input.value = input.value.slice(0, -1);
}
function clearInput() {
document.getElementById("input").value = "";
}
</script>
</body>
</html>
...
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowJe umeipenda post hii ?
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia logical operator kwenye javascript. Katika somo hili tutakwenda kutumia mahesabu.
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza jinsi ya kuandika variable. Hapa utajifunza sheria zinazohusu variable katika javascript
Soma Zaidi...Hii ni game ambayo utafikiria namba, ambayo inatakiwa iwe sawa na namba ambayo game imeiweka.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandika function kwenye javascript. Utajifunz apia namna ya kuitumia function hiyo
Soma Zaidi...Ksomo hili litakwenda kukufundisha kuhusu object kwenye javascript, kazi zake na sheria zake katika kuiandika.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu aina za data ambazo hutumika kwenye javascript
Soma Zaidi...Kwa kutumia mfano huu na iliyotangulia unaweza kuweka masharti kadiri uwezavyo. Tukutane somo linalofuata tutajifunza kuhusu switch statement.
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza jinsi ya kutumia forOfLoop. Hii ni aina ya loop ambayo yenyewe inahusisha item zote kwenye array.
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza kuhusu matendo ya hesabu ambayo ni kugawanya, kujumlisha, kuzidisha na kutoa
Soma Zaidi...Katika post hii utakwenda kujifunza kutengeneza game ya tic toc ya mchezaji mmoja na kompyuta yaani single player
Soma Zaidi...