JAVASCRIPT - somo la 24: Jinsi ya kutengeneza online keyboard

Katika project hii utakwenda kufunza jinsi utakavyoweza kutengeneza keyboard ya online kwa kutumia javascript

PROJECT YA KUTENGENEZA ONLINE KEYBOARD:

Kama umeshawahi kuona katika huduma za kibenk unaweza kukuta kuwa kuna online keyboard kwa ajili ya kulinda usalama endapo kuna program ambayo inachukuwa taarifa za keyboard kwenye kompyuta ama simu ya mtu. 

 

Program hii tutaitengenza kutokana na program ya calculator ambayo tulishaiona kwenye masomo yaliotangulia.


 

<html>

<head>

 <title>Mafunzo ya javascript</title>

 <style>

   .button {

     font-size: 24px;

     padding: 10px;

     margin: 5px;

     border-radius: 5px;

     background-color: #f1f1f1;

     color: #333;

     border: none;

     cursor: pointer;

   }

   .button2 {

     font-size: 24px;

     padding: 10px;

     margin: 5px;

     border-radius: 5px;

     background-color: #0bcaec;

     color: rgb(0, 0, 0);

     border: none;

     cursor: pointer;

   }

 

   button:hover {

     background-color: #ddd;

   }

 

   #input {

     font-size: 24px;

     padding: 10px;

     margin: 5px;

     border-radius: 5px;

     border: 1px solid #ddd;

   }

 </style>

</head>

</html>

<body>

<textarea id="input"></textarea>

<br />

<button class="button"  onclick="addChar('q')">q</button>

<button class="button"  onclick="addChar('w')">w</button>

<button class="button"  onclick="addChar('e')">e</button>

<button class="button"  onclick="addChar('r')">r</button>

<button class="button"  onclick="addChar('t')">t</button>

<button class="button"  onclick="addChar('y')">y</button>

<button class="button"  onclick="addChar('u')">u</button>

<button class="button"  onclick="addChar('i')">i</button>

<button class="button"  onclick="addChar('o')">o</button>

<button class="button"  onclick="addChar('p')">p</button>

<br />

<button class="button"  onclick="addChar('a')">a</button>

<button class="button"  onclick="addChar('s')">s</button>

<button class="button"  onclick="addChar('d')">d</button>

<button class="button"  onclick="addChar('f')">f</button>

<button class="button"  onclick="addChar('g')">g</button>

<button class="button"  onclick="addChar('h')">h</button>

<button class="button"  onclick="addChar('j')">j</button>

<button class="button"  onclick="addChar('k')">k</button>

<button class="button"  onclick="addChar('l')">l</button>

<button class="button2"  onclick="addChar('+')">+</button>

<br />

<button class="button"  onclick="addChar('z')">z</button>

<button class="button"  onclick="addChar('x')">x</button>

<button class="button"  onclick="addChar('c')">c</button>

<button class="button"  onclick="addChar('v')">v</button>

<button class="button"  onclick="addChar('b')">b</button>

<button class="button"  onclick="addChar('n')">n</button>

<button class="button"  onclick="addChar('m')">m</button>

<button class="button2"  onclick="addChar('-')">-</button>

<button class="button2"  onclick="addChar('=')">=</button>

<button class="button2"  onclick="addChar('/')">/</button>

<br />

<button class="button"  onclick="backspace()">Delete</button>

<button class="button"  onclick="addChar(' ')">Space</button>

<button class="button"  onclick="clearInput()">Clear</button>

<button class="button2"  onclick="addChar('?')">?</button>

<button class="button2"  onclick="addChar(',')">,</button>

<button class="button2"  onclick="addChar('.')">.</button>

<br>

<script>

 function addChar(char) {

   document.getElementById("input").value += char;

 }

 

 function backspace() {

   var input = document.getElementById("input");

   input.value = input.value.slice(0, -1);

 }

 

 function clearInput() {

   document.getElementById("input").value = "";

 }

</script>

</body>

</html>

 

 


 

...

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: JavaScript Main: ICT File: Download PDF Views 959

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya    👉2 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉4 Simulizi za Hadithi Audio    👉5 web hosting    👉6 Dua za Mitume na Manabii   

Post zinazofanana:

JAVASCRIPT - somo la 10: Jinsi ya kuandika object na matumizi yake kwenye javascript

Ksomo hili litakwenda kukufundisha kuhusu object kwenye javascript, kazi zake na sheria zake katika kuiandika.

Soma Zaidi...
JAVASCRIPT - somo la 23: Jinsi ya kutengeneza calculator yaani kikokotoo cha hesabu kwa kutumia javascript

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ambavyo utaweza kutumia javascript kutengeneza kikokotoo cha hesabu yaani calculator

Soma Zaidi...
Game 3: Mchezo wa kufikiria namba kwa kutumia javascript

Hii ni game ambayo utafikiria namba, ambayo inatakiwa iwe sawa na namba ambayo game imeiweka.

Soma Zaidi...
Game 2: Jinsi ya kutengeneza tic toc game ya single player kwa kutumia javascript, html na css

Katika post hii utakwenda kujifunza kutengeneza game ya tic toc ya mchezaji mmoja na kompyuta yaani single player

Soma Zaidi...
JAVASCRIPT - somo la 13: Function zinazofanya kazi kwenye array.

Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu array pamoja na method zinazohusiana na array. Pia nitakujuza tena kuhusu array ni nini. Utajifunza pia jinsi ya kutengeneza array.

Soma Zaidi...
JAVASCRIPT - somo la 5: Jinsi ya kupangilia maandishi wakati wa ku output kwenye javascript

Katika somo hili utajifunza jinsi ya kupangilia muonekano wa maandishi (text) wakati wa ku out put matokeo ya code

Soma Zaidi...
JAVASCRIPT - somo la 2: Jisi ya ku print output ya code za javascript.

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ambavyo utaweza ku display matokeo ya code za javascript.

Soma Zaidi...
JAVASCRIPT - somo la 11: function maalumu zinazotumika kwenye string yaani string method

Katika somo hili utakwenda kujifunza baadhi ya function maaumu zinazotumika kwenye string yaani string method.

Soma Zaidi...
JAVASCRIPT - somo la 21: Jinsi ya kutumia while loop na do while loop

Katika somo hili tutakwenda kujifunza khusu while loop na do while loop.

Soma Zaidi...
JAVASCRIPT - somo la 15: Jinsi ya kukusanya user input

Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu user input. Somo hili litaangalia html form na attribute zake na jinsi zinavyohusiana na user input. Mwisho wa somo hili utaweza kutengeneza simple Calculator kwa kutumia javascript.

Soma Zaidi...