Katika somo ili utakwenda kujifunz ahatuwa kwa hatuwa jinsi ya kutengeneza json data kutkana na data ambazo zio kwenye database
Jinsi ya ku encode data kwenye databasekuwa JSON.
Hapa tutapitia hatuwa kwa hatuwa jinsi ya kuweza kuzi encode data zilizo kwenye database kuwa JSON.
Kwanza tutaanza kutengeneza database ambayo tutaiita employees, Kisha titatengeneza table na kuweka data. Tumia code zifuatazo za SQL kuweza kurahisisha mchakato huu
CREATE TABLE `employees` (
`id` int(11) NOT NULL,
`name` varchar(100) NOT NULL,
`position` varchar(100) DEFAULT NULL,
`salary` decimal(10,2) DEFAULT NULL
) ENGINE=InnoDB DEFAULT CHARSET=utf8mb4 COLLATE=utf8mb4_general_ci;
INSERT INTO `employees` (`id`, `name`, `position`, `salary`) VALUES
(1, 'John Doe', 'Software Engineer', 75000.00),
(2, 'Jane Smith', 'Project Manager', 85000.00),
(3, 'Alice Johnson', 'UX Designer', 70000.00),
(4, 'Bob Brown', 'DevOps Engineer', 80000.00);
ALTER TABLE `employees`
ADD PRIMARY KEY (`id`);
ALTER TABLE `employees`
MODIFY `id` int(11) NOT NULL AUTO_INCREMENT, AUTO_INCREMENT=5;
COMMIT;
Baada ya kuandaa database yetu hatuwa inayofuata ni ku connect na kusoma data. Sasa hapa nitaanza kusoma hiszo data zetu kawaida kama tulivyo zoea.
<?php
$servername = 'localhost';
$username = 'root';
$password = '';
$dbname = 'jsonDb';
// Create connection
$conn = new mysqli($servername, $username, $password, $dbname);
// Check connection
if ($conn->connect_error) {
die('Connection failed: ' . $conn->connect_error);
}
echo 'Connection successful.<br>';
$sql = 'SELECT * FROM employees';
$result = $conn->query($sql);
$employees = array();
if ($result->num_rows > 0) {
while ($row = $result->fetch_assoc()) {
echo "name ".$row["name"]." Position ".$row["position"]. " Salary ".$row["salary"]."<br>";
}
}
Sasa hatuwa inaofuata ni kutengeneza json data kutoka kwenye data zetu. Tutatuma fetch_assoc() ili kusoma data kama array. Kutokana na data ambazo tumezipata hapo juu sasa tunataka kutengeneza array data. Ilikutengeneza array tutatumia function ya array()
Mfano:
$employees = array();
Wakati wa ku fetch data tutatumia mabano kutambulisha kuwa variable inahitaji array
Mfano
$employees[] = $row;
Hii hapa itatengeneza array data kutoka kwenye database.baada ya hapo tuta encode data kwa ajili ya kuzifanya ziwe json.
Mfano:
<?php
$servername = 'localhost';
$username = 'root';
$password = '';
$dbname = 'jsonDb';
// Create connection
$conn = new mysqli($servername, $username, $password, $dbname);
// Check connection
if ($conn->connect_error) {
die('Connection failed');
}
$sql = 'SELECT * FROM employees';
$result = $conn->query($sql);
$employees = array();
if ($result->num_rows > 0) {
while ($row = $result->fetch_assoc()) {
// Collect each row's data in an array
$employees[] = $row;
}
} else {
...
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu aina ya header inayoitwa Content-Disposition
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandika function yako mwenyewe yaani user defined function
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza kuhusu syntax za PHP
Soma Zaidi...Hili ni somo la mwisho katika mfululizo huu wa ORM, kupata ujuzi zaidi endelea kusoma ORM nyinginezo ambazo nimetangulia kuzitaja awali ya masomo haya.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu content-type header.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ku update na kufuta data kwenye database kwa kutumia PHP
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu server variables
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kukusanya taarifa za watumiaji kwa kutumia html form.
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza jinsi ya kutuma email kwa kutumia email() function ya PHP. Hii ni njia rahisi zaidi ya kutuma email. Ila hufanya kazi kwenye hosting.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi jinsi ya ku edit ama ku update data na kuzifuta kwenye database kwa kutumia PDO
Soma Zaidi...