Menu



PHP somo la 88: Jisnsi ya kutengeneza json data kutoka kwenye database

Katika somo ili utakwenda kujifunz ahatuwa kwa hatuwa jinsi ya kutengeneza json data kutkana na data ambazo zio kwenye database

Jinsi ya ku encode data kwenye databasekuwa JSON.

 

Hapa tutapitia hatuwa kwa hatuwa jinsi ya kuweza kuzi encode data zilizo kwenye database kuwa JSON.

 

Kwanza tutaanza kutengeneza database ambayo tutaiita employees, Kisha titatengeneza table na kuweka data. Tumia code zifuatazo za SQL kuweza kurahisisha mchakato huu

 

CREATE TABLE `employees` (

  `id` int(11) NOT NULL,

  `name` varchar(100) NOT NULL,

  `position` varchar(100) DEFAULT NULL,

  `salary` decimal(10,2) DEFAULT NULL

) ENGINE=InnoDB DEFAULT CHARSET=utf8mb4 COLLATE=utf8mb4_general_ci;

 

INSERT INTO `employees` (`id`, `name`, `position`, `salary`) VALUES

(1, 'John Doe', 'Software Engineer', 75000.00),

(2, 'Jane Smith', 'Project Manager', 85000.00),

(3, 'Alice Johnson', 'UX Designer', 70000.00),

(4, 'Bob Brown', 'DevOps Engineer', 80000.00);

 

ALTER TABLE `employees`

  ADD PRIMARY KEY (`id`);

 

ALTER TABLE `employees`

  MODIFY `id` int(11) NOT NULL AUTO_INCREMENT, AUTO_INCREMENT=5;

COMMIT;

 

Baada ya kuandaa database yetu hatuwa inayofuata ni ku connect na kusoma data. Sasa hapa nitaanza kusoma hiszo data zetu kawaida kama tulivyo zoea.

<?php

 

$servername = 'localhost';

$username = 'root';

$password = '';

$dbname = 'jsonDb';

 

// Create connection

$conn = new mysqli($servername, $username, $password, $dbname);

 

// Check connection

if ($conn->connect_error) {

   die('Connection failed: ' . $conn->connect_error);

}

echo 'Connection successful.<br>';

 

 

$sql = 'SELECT * FROM employees';

$result = $conn->query($sql);

 

$employees = array();

if ($result->num_rows > 0) {

   while ($row = $result->fetch_assoc()) {

       echo "name ".$row["name"]." Position ".$row["position"]. " Salary ".$row["salary"]."<br>";

   }

}



 

Sasa hatuwa inaofuata ni kutengeneza json data kutoka kwenye data zetu. Tutatuma fetch_assoc()    ili kusoma data kama array. Kutokana na data ambazo tumezipata hapo juu sasa tunataka kutengeneza array data. Ilikutengeneza array tutatumia function ya array()

Mfano:

$employees = array();

 

Wakati wa ku fetch data tutatumia mabano kutambulisha kuwa variable inahitaji array 

Mfano

$employees[] = $row;

 

 

Hii hapa itatengeneza array data kutoka kwenye database.baada ya hapo tuta encode data kwa ajili ya kuzifanya ziwe json.

Mfano:

<?php

 

$servername = 'localhost';

$username = 'root';

$password = '';

$dbname = 'jsonDb';

 

// Create connection

$conn = new mysqli($servername, $username, $password, $dbname);

 

// Check connection

if ($conn->connect_error) {

   die('Connection failed');

}

 

$sql = 'SELECT * FROM employees';

$result = $conn->query($sql);

 

$employees = array();

if ($result->num_rows > 0) {

   while ($row = $result->fetch_assoc()) {

       // Collect each row's data in an array

       $employees[] = $row;

   }

} else {

   echo 'No recor">...

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass

Nyuma Endelea

Ndio     Hapana     Save post
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: PHP Main: Masomo File: Download PDF Views 192

Share On:

Facebook WhatsApp

Post zinazofanana:

PHP somo la 72: Jinsi ya kuandaa PDF kutoana na data zilizopo kwenye database

hapa utawenda utuma database wa ajl ya utengeneza maudhu ya PDF.

Soma Zaidi...
PHP - somo la 42: Jinsi ya kufanya encryption na de cryption kwa kutumia PHP

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kufanya encryption na decryption kwa kutumia PHP. hii itakusaidia kuongeza usalama kwenye taarifa za watu

Soma Zaidi...
PHP - somo la 37: Jinsi ya kutengeneza blog post kwa kutumia PHP

Katika somo hili utajifunza jinsi ambavyo unaweza kutengeneza blog ambayo utaweza ku upload faili na kuandika makala kwa kutumia PHP

Soma Zaidi...
PHP somo la 79: Custom header

Katika somo hili utakwenda kuhifunza kuhusu Custom header na aina zake

Soma Zaidi...
PHP - somo la 45: Jinsi ya kutuma sms kwa kutumia PHP

Katika soko hili takwenda kujufunza jinsi ya kutuma sms kwa kutumia PHP. Hii itasaidia kama unataka kutuma OTP yaqni Onetime password

Soma Zaidi...
PHP - somo la 32: Jinsi ya kutumia filter_var() function kwenye PHP

Katika somo hili utajifunza jinsi ya kutumia filter_var() function kwa ajili ya kuchuja code zilizo hatari kwenye PHP file

Soma Zaidi...
PHP somo la 68: Jinsi ya kutuma email kwa kutumia PHPMailer

Katika somo hili utakwenda kujifunza jisniya kutuma email kwa kutumia PHPMailer kwenye project ya PHP. Katika somo hili tutakwend akutuma email kwa kutumia localhost.

Soma Zaidi...
PHP - somo la 15: Jinsi ya kutengeneza table kwenye database kwa kutumia PHP

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia PHP kutengeneza tabale kwenye database ya mysql .

Soma Zaidi...
PHP somo la 75: Content-Type Header

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu content-type header.

Soma Zaidi...
PHP somo la 50: Jinsi ya kutengeneza CLASS na OBJECT kwenye PHP OOP

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza class na object. Tunakwenda kutumia mfano wetu wa hapo juu kwa ajili ya kukamilisha somo hili.

Soma Zaidi...