picha

PHP somo la 88: Jisnsi ya kutengeneza json data kutoka kwenye database

Katika somo ili utakwenda kujifunz ahatuwa kwa hatuwa jinsi ya kutengeneza json data kutkana na data ambazo zio kwenye database

Jinsi ya ku encode data kwenye databasekuwa JSON.

 

Hapa tutapitia hatuwa kwa hatuwa jinsi ya kuweza kuzi encode data zilizo kwenye database kuwa JSON.

 

Kwanza tutaanza kutengeneza database ambayo tutaiita employees, Kisha titatengeneza table na kuweka data. Tumia code zifuatazo za SQL kuweza kurahisisha mchakato huu

 

CREATE TABLE `employees` (

  `id` int(11) NOT NULL,

  `name` varchar(100) NOT NULL,

  `position` varchar(100) DEFAULT NULL,

  `salary` decimal(10,2) DEFAULT NULL

) ENGINE=InnoDB DEFAULT CHARSET=utf8mb4 COLLATE=utf8mb4_general_ci;

 

INSERT INTO `employees` (`id`, `name`, `position`, `salary`) VALUES

(1, 'John Doe', 'Software Engineer', 75000.00),

(2, 'Jane Smith', 'Project Manager', 85000.00),

(3, 'Alice Johnson', 'UX Designer', 70000.00),

(4, 'Bob Brown', 'DevOps Engineer', 80000.00);

 

ALTER TABLE `employees`

  ADD PRIMARY KEY (`id`);

 

ALTER TABLE `employees`

  MODIFY `id` int(11) NOT NULL AUTO_INCREMENT, AUTO_INCREMENT=5;

COMMIT;

 

Baada ya kuandaa database yetu hatuwa inayofuata ni ku connect na kusoma data. Sasa hapa nitaanza kusoma hiszo data zetu kawaida kama tulivyo zoea.

<?php

 

$servername = 'localhost';

$username = 'root';

$password = '';

$dbname = 'jsonDb';

 

// Create connection

$conn = new mysqli($servername, $username, $password, $dbname);

 

// Check connection

if ($conn->connect_error) {

   die('Connection failed: ' . $conn->connect_error);

}

echo 'Connection successful.<br>';

 

 

$sql = 'SELECT * FROM employees';

$result = $conn->query($sql);

 

$employees = array();

if ($result->num_rows > 0) {

   while ($row = $result->fetch_assoc()) {

       echo "name ".$row["name"]." Position ".$row["position"]. " Salary ".$row["salary"]."<br>";

   }

}



 

Sasa hatuwa inaofuata ni kutengeneza json data kutoka kwenye data zetu. Tutatuma fetch_assoc()    ili kusoma data kama array. Kutokana na data ambazo tumezipata hapo juu sasa tunataka kutengeneza array data. Ilikutengeneza array tutatumia function ya array()

Mfano:

$employees = array();

 

Wakati wa ku fetch data tutatumia mabano kutambulisha kuwa variable inahitaji array 

Mfano

$employees[] = $row;

 

 

Hii hapa itatengeneza array data kutoka kwenye database.baada ya hapo tuta encode data kwa ajili ya kuzifanya ziwe json.

Mfano:

<?php

 

$servername = 'localhost';

$username = 'root';

$password = '';

$dbname = 'jsonDb';

 

// Create connection

$conn = new mysqli($servername, $username, $password, $dbname);

 

// Check connection

if ($conn->connect_error) {

   die('Connection failed');

}

 

$sql = 'SELECT * FROM employees';

$result = $conn->query($sql);

 

$employees = array();

if ($result->num_rows > 0) {

   while ($row = $result->fetch_assoc()) {

       // Collect each row's data in an array

       $employees[] = $row;

   }

} else {

   echo 'No records found.<br>';

}

 

// Encode the data to JSON format

$jsonData = json_encode($employees);

...
Ingia sasa ili uweze kusoma makala hii yote.

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-08-10 07:54:34 Topic: PHP Main: Masomo File: Download PDF Views 1223

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani     👉2 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     👉3 Kitabu cha Afya     👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉5 Simulizi za Hadithi Audio     👉6 Kitau cha Fiqh    

Post zinazofanana:

PHP - somo la 22: Kutafuta jumla, wastani na idani ya vitu kwenye database kw akutumia PHP

Katika somo hili utakwenda jifunza jinsi ya kuhesabu row kwenye database, kutafuta wastani wa taarifa kwenye database na kutafuta idadi yake.

Soma Zaidi...
PHP somo la 74: aina za http headerna server variable

Katika somo hii utakwenda kujifunza aina za http header na server variable. Hapa tutakwenda kuchambuwa mgawanyiko wa httpheader na kazi zake.

Soma Zaidi...
PHP - somo la 45: Jinsi ya kutuma sms kwa kutumia PHP

Katika soko hili takwenda kujufunza jinsi ya kutuma sms kwa kutumia PHP. Hii itasaidia kama unataka kutuma OTP yaqni Onetime password

Soma Zaidi...
PHP - somo la 25: Jinsi ya kukusanya taarifa kutoka kwenye html form kwa kutumia php

Katika somo hili utajifunza jinsi ya kukusanya taarifa ambazo watu wamezijaza kwa kutumia fomu ya html. Kisha utajifunza jinsi ya kuzisoma hizo taarifa.

Soma Zaidi...
PHP - somo la 10: Jinsi ya kundika condition statement if, ifelse na switch case

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu condition statements if, ifelse na switch case. Hata utajifunza jnsi ya kuziandika na zinavyofanya kazi

Soma Zaidi...
PHP - somo la 1: Maana ya PHP na jinsi inavyofanya kazi

Katika somo hili utakwenda kujifunza maana ya PHP na jinsi inavyofanya kazi

Soma Zaidi...