Katika somo ili utakwenda kujifunz ahatuwa kwa hatuwa jinsi ya kutengeneza json data kutkana na data ambazo zio kwenye database
Jinsi ya ku encode data kwenye databasekuwa JSON.
Hapa tutapitia hatuwa kwa hatuwa jinsi ya kuweza kuzi encode data zilizo kwenye database kuwa JSON.
Kwanza tutaanza kutengeneza database ambayo tutaiita employees, Kisha titatengeneza table na kuweka data. Tumia code zifuatazo za SQL kuweza kurahisisha mchakato huu
CREATE TABLE `employees` (
`id` int(11) NOT NULL,
`name` varchar(100) NOT NULL,
`position` varchar(100) DEFAULT NULL,
`salary` decimal(10,2) DEFAULT NULL
) ENGINE=InnoDB DEFAULT CHARSET=utf8mb4 COLLATE=utf8mb4_general_ci;
INSERT INTO `employees` (`id`, `name`, `position`, `salary`) VALUES
(1, 'John Doe', 'Software Engineer', 75000.00),
(2, 'Jane Smith', 'Project Manager', 85000.00),
(3, 'Alice Johnson', 'UX Designer', 70000.00),
(4, 'Bob Brown', 'DevOps Engineer', 80000.00);
ALTER TABLE `employees`
ADD PRIMARY KEY (`id`);
ALTER TABLE `employees`
MODIFY `id` int(11) NOT NULL AUTO_INCREMENT, AUTO_INCREMENT=5;
COMMIT;
Baada ya kuandaa database yetu hatuwa inayofuata ni ku connect na kusoma data. Sasa hapa nitaanza kusoma hiszo data zetu kawaida kama tulivyo zoea.
<?php
$servername = 'localhost';
$username = 'root';
$password = '';
$dbname = 'jsonDb';
// Create connection
$conn = new mysqli($servername, $username, $password, $dbname);
// Check connection
if ($conn->connect_error) {
die('Connection failed: ' . $conn->connect_error);
}
echo 'Connection successful.<br>';
$sql = 'SELECT * FROM employees';
$result = $conn->query($sql);
$employees = array();
if ($result->num_rows > 0) {
while ($row = $result->fetch_assoc()) {
echo "name ".$row["name"]." Position ".$row["position"]. " Salary ".$row["salary"]."<br>";
}
}
Sasa hatuwa inaofuata ni kutengeneza json data kutoka kwenye data zetu. Tutatuma fetch_assoc() ili kusoma data kama array. Kutokana na data ambazo tumezipata hapo juu sasa tunataka kutengeneza array data. Ilikutengeneza array tutatumia function ya array()
Mfano:
$employees = array();
Wakati wa ku fetch data tutatumia mabano kutambulisha kuwa variable inahitaji array
Mfano
$employees[] = $row;
Hii hapa itatengeneza array data kutoka kwenye database.baada ya hapo tuta encode data kwa ajili ya kuzifanya ziwe json.
Mfano:
<?php
$servername = 'localhost';
$username = 'root';
$password = '';
$dbname = 'jsonDb';
// Create connection
$conn = new mysqli($servername, $username, $password, $dbname);
// Check connection
if ($conn->connect_error) {
die('Connection failed');
}
$sql = 'SELECT * FROM employees';
$result = $conn->query($sql);
$employees = array();
if ($result->num_rows > 0) {
while ($row = $result->fetch_assoc()) {
// Collect each row's data in an array
$employees[] = $row;
}
} else {
...
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hili utajifunza jinsi ya kutumia filter_var() function kwa ajili ya kuchuja code zilizo hatari kwenye PHP file
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifnza jinsi ya kufanya prepared statement kama njia ya kuzuia sql ingection kwenye PHP blog
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza jinsi ambavyo unaweza kutengeneza blog ambayo utaweza ku upload faili na kuandika makala kwa kutumia PHP
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia database ya sqlite kwa kutumia PHP.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jisni ya kudhibiti error ambazo zinaweza kutokea wakati wa ku encode na ku decoe json data
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandika function za PHP kama require() na iclude()
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia PHP kutengeneza database kwenye mysql database.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda Jinsi ya kutengeneza ORM inayofanya CDRUDE operation.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ktumia baadhi ya function za php
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kubadili json data na kuwaphp array ama php object. Kwa ufupi tunakwend aku decode json data kuwa phparray amaobject
Soma Zaidi...