Katika somo ili utakwenda kujifunz ahatuwa kwa hatuwa jinsi ya kutengeneza json data kutkana na data ambazo zio kwenye database
Jinsi ya ku encode data kwenye databasekuwa JSON.
Hapa tutapitia hatuwa kwa hatuwa jinsi ya kuweza kuzi encode data zilizo kwenye database kuwa JSON.
Kwanza tutaanza kutengeneza database ambayo tutaiita employees, Kisha titatengeneza table na kuweka data. Tumia code zifuatazo za SQL kuweza kurahisisha mchakato huu
CREATE TABLE `employees` (
`id` int(11) NOT NULL,
`name` varchar(100) NOT NULL,
`position` varchar(100) DEFAULT NULL,
`salary` decimal(10,2) DEFAULT NULL
) ENGINE=InnoDB DEFAULT CHARSET=utf8mb4 COLLATE=utf8mb4_general_ci;
INSERT INTO `employees` (`id`, `name`, `position`, `salary`) VALUES
(1, 'John Doe', 'Software Engineer', 75000.00),
(2, 'Jane Smith', 'Project Manager', 85000.00),
(3, 'Alice Johnson', 'UX Designer', 70000.00),
(4, 'Bob Brown', 'DevOps Engineer', 80000.00);
ALTER TABLE `employees`
ADD PRIMARY KEY (`id`);
ALTER TABLE `employees`
MODIFY `id` int(11) NOT NULL AUTO_INCREMENT, AUTO_INCREMENT=5;
COMMIT;
Baada ya kuandaa database yetu hatuwa inayofuata ni ku connect na kusoma data. Sasa hapa nitaanza kusoma hiszo data zetu kawaida kama tulivyo zoea.
<?php
$servername = 'localhost';
$username = 'root';
$password = '';
$dbname = 'jsonDb';
// Create connection
$conn = new mysqli($servername, $username, $password, $dbname);
// Check connection
if ($conn->connect_error) {
die('Connection failed: ' . $conn->connect_error);
}
echo 'Connection successful.<br>';
$sql = 'SELECT * FROM employees';
$result = $conn->query($sql);
$employees = array();
if ($result->num_rows > 0) {
while ($row = $result->fetch_assoc()) {
echo "name ".$row["name"]." Position ".$row["position"]. " Salary ".$row["salary"]."<br>";
}
}
Sasa hatuwa inaofuata ni kutengeneza json data kutoka kwenye data zetu. Tutatuma fetch_assoc() ili kusoma data kama array. Kutokana na data ambazo tumezipata hapo juu sasa tunataka kutengeneza array data. Ilikutengeneza array tutatumia function ya array()
Mfano:
$employees = array();
Wakati wa ku fetch data tutatumia mabano kutambulisha kuwa variable inahitaji array
Mfano
$employees[] = $row;
Hii hapa itatengeneza array data kutoka kwenye database.baada ya hapo tuta encode data kwa ajili ya kuzifanya ziwe json.
Mfano:
<?php
$servername = 'localhost';
$username = 'root';
$password = '';
$dbname = 'jsonDb';
// Create connection
$conn = new mysqli($servername, $username, $password, $dbname);
// Check connection
if ($conn->connect_error) {
die('Connection failed');
}
$sql = 'SELECT * FROM employees';
$result = $conn->query($sql);
$employees = array();
if ($result->num_rows > 0) {
while ($row = $result->fetch_assoc()) {
// Collect each row's data in an array
$employees[] = $row;
}
} else {
...
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutuma email ambayo ina HTML, pia utajifunza kutuma email yenye picha na attachment nyinginezo kama pdf
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunz ajinsi ya kuandika query ndani ya ORM. Hii inakupa uhuru wa kufanya kileunachotaka bila ya kuathiri usalama wa project
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend kujifunza kuhusu static property na jnsi inavyotumika
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kujusu PHP variable, maana yake na sheria za uandishi wa variable
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu Aina za cache header
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu Authentication header, najinsi ya kutuma taarifa hizo na kuzisoma
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu server variables
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza jinsi ambavyo utaweza kutengeneza mfumo wa kuisajiki na ku login, kisha kuangalia usalama wa mfumo kwa kuzuia sql injection.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia taarifa ambazo zimekusanywa kutoka kwa mtumiaji ili kuweka kutatuwa hoja mbalimbali
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ku upload mafaili kwenye server kwa kutumia PHP
Soma Zaidi...