PHP somo la 88: Jisnsi ya kutengeneza json data kutoka kwenye database
Katika somo ili utakwenda kujifunz ahatuwa kwa hatuwa jinsi ya kutengeneza json data kutkana na data ambazo zio kwenye database
Jinsi ya ku encode data kwenye databasekuwa JSON.
Hapa tutapitia hatuwa kwa hatuwa jinsi ya kuweza kuzi encode data zilizo kwenye database kuwa JSON.
Kwanza tutaanza kutengeneza database ambayo tutaiita employees, Kisha titatengeneza table na kuweka data. Tumia code zifuatazo za SQL kuweza kurahisisha mchakato huu
CREATE TABLE `employees` (
`id` int(11) NOT NULL,
`name` varchar(100) NOT NULL,
`position` varchar(100) DEFAULT NULL,
`salary` decimal(10,2) DEFAULT NULL
) ENGINE=InnoDB DEFAULT CHARSET=utf8mb4 COLLATE=utf8mb4_general_ci;
INSERT INTO `employees` (`id`, `name`, `position`, `salary`) VALUES
(1, 'John Doe', 'Software Engineer', 75000.00),
(2, 'Jane Smith', 'Project Manager', 85000.00),
(3, 'Alice Johnson', 'UX Designer', 70000.00),
(4, 'Bob Brown', 'DevOps Engineer', 80000.00);
ALTER TABLE `employees`
ADD PRIMARY KEY (`id`);
ALTER TABLE `employees`
MODIFY `id` int(11) NOT NULL AUTO_INCREMENT, AUTO_INCREMENT=5;
COMMIT;
Baada ya kuandaa database yetu hatuwa inayofuata ni ku connect na kusoma data. Sasa hapa nitaanza kusoma hiszo data zetu kawaida kama tulivyo zoea.
<?php
$servername = 'localhost';
$username = 'root';
$password = '';
$dbname = 'jsonDb';
// Create connection
$conn = new mysqli($servername, $username, $password, $dbname);
// Check connection
if ($conn->connect_error) {
die('Connection failed: ' . $conn->connect_error);
}
echo 'Connection successful.<br>';
$sql = 'SELECT * FROM employees';
$result = $conn->query($sql);
$employees = array();
if ($result->num_rows > 0) {
while ($row = $result->fetch_assoc()) {
echo "name ".$row["name"]." Position ".$row["position"]. " Salary ".$row["salary"]."<br>";
}
}
Sasa hatuwa inaofuata ni kutengeneza json data kutoka kwenye data zetu. Tutatuma fetch_assoc() ili kusoma data kama array. Kutokana na data ambazo tumezipata hapo juu sasa tunataka kutengeneza array data. Ilikutengeneza array tutatumia function ya array()
Mfano:
$employees = array();
Wakati wa ku fetch data tutatumia mabano kutambulisha kuwa variable inahitaji array
Mfano
$employees[] = $row;
Hii hapa itatengeneza array data kutoka kwenye database.baada ya hapo tuta encode data kwa ajili ya kuzifanya ziwe json.
Mfano:
<?php
$servername = 'localhost';
$username = 'root';
$password = '';
$dbname = 'jsonDb';
// Create connection
$conn = new mysqli($servername, $username, $password, $dbname);
// Check connection
if ($conn->connect_error) {
die('Connection failed');
}
$sql = 'SELECT * FROM employees';
$result = $conn->query($sql);
$employees = array();
if ($result->num_rows > 0) {
while ($row = $result->fetch_assoc()) {
// Collect each row's data in an array
$employees[] = $row;
}
} else {
echo 'No records found.<br>';
}
// Encode the data to JSON format
$jsonData = json_encode($employees);
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Kitau cha Fiqh 👉2 Madrasa kiganjani 👉3 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉5 Dua za Mitume na Manabii 👉6 Bongolite - Game zone - Play free game
Post zinazofanana:
PHP - somo la 48: Jinsi ya kuzuia hacking kwenye sytem ya kujisajili na ku login
Katika somo hili utajifunza jinsi ambavyo utaweza kutengeneza mfumo wa kuisajiki na ku login, kisha kuangalia usalama wa mfumo kwa kuzuia sql injection.
Soma Zaidi...PHP - somo la 45: Jinsi ya kutuma sms kwa kutumia PHP
Katika soko hili takwenda kujufunza jinsi ya kutuma sms kwa kutumia PHP. Hii itasaidia kama unataka kutuma OTP yaqni Onetime password
Soma Zaidi...PHP - somo la 12: Jinsi ya kufanyia kazi taarifa zilizokusanywa kutoka kwa mtumiaji
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia taarifa ambazo zimekusanywa kutoka kwa mtumiaji ili kuweka kutatuwa hoja mbalimbali
Soma Zaidi...PHP BLOG - somo la 8: Jinsi ya kufuta post kwenye database
katika post hii utajifunza jinsi ya kufuta post kwenye database. pia utajifunza jinsi ya kufuta picha kwenye server
Soma Zaidi...PHP BLOG - somo la 9: Jinsi ya ku edit poost
Katika somo hil utawenda kujifunza jinsi ya ku edit post kwenye databse
Soma Zaidi...PHP somo la 92: Jinsi ya kuunganisha php na database ya sqlite
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia database ya sqlite kwa kutumia PHP.
Soma Zaidi...