Katika somo ili utakwenda kujifunz ahatuwa kwa hatuwa jinsi ya kutengeneza json data kutkana na data ambazo zio kwenye database
Jinsi ya ku encode data kwenye databasekuwa JSON.
Hapa tutapitia hatuwa kwa hatuwa jinsi ya kuweza kuzi encode data zilizo kwenye database kuwa JSON.
Kwanza tutaanza kutengeneza database ambayo tutaiita employees, Kisha titatengeneza table na kuweka data. Tumia code zifuatazo za SQL kuweza kurahisisha mchakato huu
CREATE TABLE `employees` (
`id` int(11) NOT NULL,
`name` varchar(100) NOT NULL,
`position` varchar(100) DEFAULT NULL,
`salary` decimal(10,2) DEFAULT NULL
) ENGINE=InnoDB DEFAULT CHARSET=utf8mb4 COLLATE=utf8mb4_general_ci;
INSERT INTO `employees` (`id`, `name`, `position`, `salary`) VALUES
(1, 'John Doe', 'Software Engineer', 75000.00),
(2, 'Jane Smith', 'Project Manager', 85000.00),
(3, 'Alice Johnson', 'UX Designer', 70000.00),
(4, 'Bob Brown', 'DevOps Engineer', 80000.00);
ALTER TABLE `employees`
ADD PRIMARY KEY (`id`);
ALTER TABLE `employees`
MODIFY `id` int(11) NOT NULL AUTO_INCREMENT, AUTO_INCREMENT=5;
COMMIT;
Baada ya kuandaa database yetu hatuwa inayofuata ni ku connect na kusoma data. Sasa hapa nitaanza kusoma hiszo data zetu kawaida kama tulivyo zoea.
<?php
$servername = 'localhost';
$username = 'root';
$password = '';
$dbname = 'jsonDb';
// Create connection
$conn = new mysqli($servername, $username, $password, $dbname);
// Check connection
if ($conn->connect_error) {
die('Connection failed: ' . $conn->connect_error);
}
echo 'Connection successful.<br>';
$sql = 'SELECT * FROM employees';
$result = $conn->query($sql);
$employees = array();
if ($result->num_rows > 0) {
while ($row = $result->fetch_assoc()) {
echo "name ".$row["name"]." Position ".$row["position"]. " Salary ".$row["salary"]."<br>";
}
}
Sasa hatuwa inaofuata ni kutengeneza json data kutoka kwenye data zetu. Tutatuma fetch_assoc() ili kusoma data kama array. Kutokana na data ambazo tumezipata hapo juu sasa tunataka kutengeneza array data. Ilikutengeneza array tutatumia function ya array()
Mfano:
$employees = array();
Wakati wa ku fetch data tutatumia mabano kutambulisha kuwa variable inahitaji array
Mfano
$employees[] = $row;
Hii hapa itatengeneza array data kutoka kwenye database.baada ya hapo tuta encode data kwa ajili ya kuzifanya ziwe json.
Mfano:
<?php
$servername = 'localhost';
$username = 'root';
$password = '';
$dbname = 'jsonDb';
// Create connection
$conn = new mysqli($servername, $username, $password, $dbname);
// Check connection
if ($conn->connect_error) {
die('Connection failed');
}
$sql = 'SELECT * FROM employees';
$result = $conn->query($sql);
$employees = array();
if ($result->num_rows > 0) {
while ($row = $result->fetch_assoc()) {
// Collect each row's data in an array
$employees[] = $row;
}
} else {
Je! umeipenda hii post?
Rajabu
Tarehe 2024-08-10 07:54:34 Topic: PHP
Main: Masomo
File: Download PDF
Share On
Facebook
or
Whatsapp
Imesomwa mara 164
Sponsored links
PHP - somo la 13: Jinsi ya kuunganisha database na website
PHP - somo la 5: Maana ya function na jinsi inavyotengenezwa kwa ktumia PHP
PHP somola 78: Cookie Headers
PHP somo la 61: jinsi ya kufanya loop kwenye class kw akutumia foreach loop
PHP somo la 71: Jinsi ya kutengeneza PDF kwa kutumia PHP na library ya tcpdf
PHP somo la 90: Jinsi ya kutumia json data kama blog post
PHP somo la 65: Jinsi ya kusoma data kwenye database kwa kutumia PDO
PHP - somo la 42: Jinsi ya kufanya encryption na de cryption kwa kutumia PHP
PHP somo la 68: Jinsi ya kutuma email kwa kutumia PHPMailer
PHP - somo la 4: Aina za data zinazotumika kwenye PHP
PHP - somo la 21: Jinsi ya kutafuta kitu kwenye database kwa mutumia PHP
PHP BLOG - somo la 11: Jinsi ya kutumia prepared statement echo 'No recor">...
Nicheki WhatsApp kwa maswali
Ndio Hapana Save post
👉1 Kitau cha Fiqh
👉2 Kitabu cha Afya
👉3 kitabu cha Simulizi
👉4 Simulizi za Hadithi Audio
👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)
👉6 Madrasa kiganjani
Post zifazofanana:-
Katika somo hili utajifunza jinsi ya ku connect database, kwa kutumia php Soma Zaidi...
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu function kwenye PHP na jinsi ya kuweza kuzitumia Soma Zaidi...
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu Cookie Headers Soma Zaidi...
Katika somo hili utakwenda kujifunza concept ya iteration kwenye PHP OOP hapa tutakwenda kuiona jinsi inavyofanya kazi pamoja na foreach loop Soma Zaidi...
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ku generate PDF automatik kutoka kwenye php code , html, javascript na css. Soma Zaidi...
Katika somo hili utaweza kujifunza ni kwa nambna gani utaweza kutengeneza blog post na kuisoma kwa kutumia data za json Soma Zaidi...
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma data kwenye database kwa kutumia PDO. Soma Zaidi...
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kufanya encryption na decryption kwa kutumia PHP. hii itakusaidia kuongeza usalama kwenye taarifa za watu Soma Zaidi...
Katika somo hili utakwenda kujifunza jisniya kutuma email kwa kutumia PHPMailer kwenye project ya PHP. Katika somo hili tutakwend akutuma email kwa kutumia localhost. Soma Zaidi...
Katika somo hili utakwenda kujifunza aina za data ambazo hutumika kwenye PHP Soma Zaidi...
Katika somo hili utakwenda kujifundisha jinsi ya kutafuta taarifa maalumu kwenye database kwa kutumia PHP Soma Zaidi...
Katika somo hili utajifnza jinsi ya kufanya prepared statement kama njia ya kuzuia sql ingection kwenye PHP blog Soma Zaidi...