PHP somo la 88: Jisnsi ya kutengeneza json data kutoka kwenye database

Katika somo ili utakwenda kujifunz ahatuwa kwa hatuwa jinsi ya kutengeneza json data kutkana na data ambazo zio kwenye database

Jinsi ya ku encode data kwenye databasekuwa JSON.

 

Hapa tutapitia hatuwa kwa hatuwa jinsi ya kuweza kuzi encode data zilizo kwenye database kuwa JSON.

 

Kwanza tutaanza kutengeneza database ambayo tutaiita employees, Kisha titatengeneza table na kuweka data. Tumia code zifuatazo za SQL kuweza kurahisisha mchakato huu

 

CREATE TABLE `employees` (

  `id` int(11) NOT NULL,

  `name` varchar(100) NOT NULL,

  `position` varchar(100) DEFAULT NULL,

  `salary` decimal(10,2) DEFAULT NULL

) ENGINE=InnoDB DEFAULT CHARSET=utf8mb4 COLLATE=utf8mb4_general_ci;

 

INSERT INTO `employees` (`id`, `name`, `position`, `salary`) VALUES

(1, 'John Doe', 'Software Engineer', 75000.00),

(2, 'Jane Smith', 'Project Manager', 85000.00),

(3, 'Alice Johnson', 'UX Designer', 70000.00),

(4, 'Bob Brown', 'DevOps Engineer', 80000.00);

 

ALTER TABLE `employees`

  ADD PRIMARY KEY (`id`);

 

ALTER TABLE `employees`

  MODIFY `id` int(11) NOT NULL AUTO_INCREMENT, AUTO_INCREMENT=5;

COMMIT;

 

Baada ya kuandaa database yetu hatuwa inayofuata ni ku connect na kusoma data. Sasa hapa nitaanza kusoma hiszo data zetu kawaida kama tulivyo zoea.

<?php

 

$servername = 'localhost';

$username = 'root';

$password = '';

$dbname = 'jsonDb';

 

// Create connection

$conn = new mysqli($servername, $username, $password, $dbname);

 

// Check connection

if ($conn->connect_error) {

   die('Connection failed: ' . $conn->connect_error);

}

echo 'Connection successful.<br>';

 

 

$sql = 'SELECT * FROM employees';

$result = $conn->query($sql);

 

$employees = array();

if ($result->num_rows > 0) {

   while ($row = $result->fetch_assoc()) {

       echo "name ".$row["name"]." Position ".$row["position"]. " Salary ".$row["salary"]."<br>";

   }

}



 

Sasa hatuwa inaofuata ni kutengeneza json data kutoka kwenye data zetu. Tutatuma fetch_assoc()    ili kusoma data kama array. Kutokana na data ambazo tumezipata hapo juu sasa tunataka kutengeneza array data. Ilikutengeneza array tutatumia function ya array()

Mfano:

$employees = array();

 

Wakati wa ku fetch data tutatumia mabano kutambulisha kuwa variable inahitaji array 

Mfano

$employees[] = $row;

 

 

Hii hapa itatengeneza array data kutoka kwenye database.baada ya hapo tuta encode data kwa ajili ya kuzifanya ziwe json.

Mfano:

<?php

 

$servername = 'localhost';

$username = 'root';

$password = '';

$dbname = 'jsonDb';

 

// Create connection

$conn = new mysqli($servername, $username, $password, $dbname);

 

// Check connection

if ($conn->connect_error) {

   die('Connection failed');

}

 

$sql = 'SELECT * FROM employees';

$result = $conn->query($sql);

 

$employees = array();

if ($result->num_rows > 0) {

   while ($row = $result->fetch_assoc()) {

       // Collect each row's data in an array

       $employees[] = $row;

   }

} else {

...

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: PHP Main: ICT File: Download PDF Views 591

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi    👉2 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉3 Kitabu cha Afya    👉4 Madrasa kiganjani    👉5 Bongolite - Game zone - Play free game    👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)   

Post zinazofanana:

PHP somo la 95: Jinsi ya kutengeneza customer ORM

Katika somo hili uttakwend akujifunz ajinsi ambavyo utaweza kutengeneza simple ORM yakwako mwenyewe

Soma Zaidi...
PHP somo la 96: Jinsi ya kutengeneza ORM inayofanya CDRUDE operation

Katika somo hili utakwenda Jinsi ya kutengeneza ORM inayofanya CDRUDE operation.

Soma Zaidi...
PHP somo la 67: Project ya CUDE operaton wa utuma OOP na PDO

Katika somo hii utakwenda kujifunza jinsi ya kufanya CRUDE operation kwa kutumia PDO. crude operation inahusu create, read, update. Delete.

Soma Zaidi...
PHP somo la 97: Jinsi ya kuchakata data zaidi kwa kutumia ORM

Katika somo hili utakwenda kujifunz akuchakata data zaidi kw akutumia ORM kama ku join table

Soma Zaidi...
PHP -somo la 6: Jinsi ya kusoma saa na tarehe kwenye PHP

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma muda kama saa na tarehe kwa kutumia PHP

Soma Zaidi...
PHP - somo la 26: Jinsi ya kutengeneza system ya ku chat kw akutumia PHP

Katika somo hili utajifunza jinsi ya kutengeneza system ambayo mta atajisajili pamoja na kuchat na watumiaji wengine

Soma Zaidi...
PHP - somo la 25: Jinsi ya kukusanya taarifa kutoka kwenye html form kwa kutumia php

Katika somo hili utajifunza jinsi ya kukusanya taarifa ambazo watu wamezijaza kwa kutumia fomu ya html. Kisha utajifunza jinsi ya kuzisoma hizo taarifa.

Soma Zaidi...
PHP somo la 98: Library za PHP ambazo unaweza kutumia ORM

Somo hili litakwenda kukutajia baadhi ya library za php ambazo hutumika kwa matumizi ya ORM

Soma Zaidi...
PHP - somo la 3: Maana ya variable na inavyoandika kwenye PHP

Katika somo hili utakwenda kujifunza kujusu PHP variable, maana yake na sheria za uandishi wa variable

Soma Zaidi...
PHP - somo la 39: Jinsi ya kutengeneza mafaili na mafolda kwenye server kwa kutumia PHP

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuzungumza na server ili kutengeneza mafaili, mafolda, kufuta na ku edit kwa kutumia PHP.

Soma Zaidi...