PHP somo la 88: Jisnsi ya kutengeneza json data kutoka kwenye database

PHP somo la 88: Jisnsi ya kutengeneza json data kutoka kwenye database

Katika somo ili utakwenda kujifunz ahatuwa kwa hatuwa jinsi ya kutengeneza json data kutkana na data ambazo zio kwenye database

Download Post hii hapa

Jinsi ya ku encode data kwenye databasekuwa JSON.

 

Hapa tutapitia hatuwa kwa hatuwa jinsi ya kuweza kuzi encode data zilizo kwenye database kuwa JSON.

 

Kwanza tutaanza kutengeneza database ambayo tutaiita employees, Kisha titatengeneza table na kuweka data. Tumia code zifuatazo za SQL kuweza kurahisisha mchakato huu

 

CREATE TABLE `employees` (

  `id` int(11) NOT NULL,

  `name` varchar(100) NOT NULL,

  `position` varchar(100) DEFAULT NULL,

  `salary` decimal(10,2) DEFAULT NULL

) ENGINE=InnoDB DEFAULT CHARSET=utf8mb4 COLLATE=utf8mb4_general_ci;

 

INSERT INTO `employees` (`id`, `name`, `position`, `salary`) VALUES

(1, 'John Doe', 'Software Engineer', 75000.00),

(2, 'Jane Smith', 'Project Manager', 85000.00),

(3, 'Alice Johnson', 'UX Designer', 70000.00),

(4, 'Bob Brown', 'DevOps Engineer', 80000.00);

 

ALTER TABLE `employees`

  ADD PRIMARY KEY (`id`);

 

ALTER TABLE `employees`

  MODIFY `id` int(11) NOT NULL AUTO_INCREMENT, AUTO_INCREMENT=5;

COMMIT;

 

Baada ya kuandaa database yetu hatuwa inayofuata ni ku connect na kusoma data. Sasa hapa nitaanza kusoma hiszo data zetu kawaida kama tulivyo zoea.

<?php

 

$servername = 'localhost';

$username = 'root';

$password = '';

$dbname = 'jsonDb';

 

// Create connection

$conn = new mysqli($servername, $username, $password, $dbname);

 

// Check connection

if ($conn->connect_error) {

   die('Connection failed: ' . $conn->connect_error);

}

echo 'Connection successful.<br>';

 

 

$sql = 'SELECT * FROM employees';

$result = $conn->query($sql);

 

$employees = array();

if ($result->num_rows > 0) {

   while ($row = $result->fetch_assoc()) {

       echo "name ".$row["name"]." Position ".$row["position"]. " Salary ".$row["salary"]."<br>";

   }

}



 

Sasa hatuwa inaofuata ni kutengeneza json data kutoka kwenye data zetu. Tutatuma fetch_assoc()    ili kusoma data kama array. Kutokana na data ambazo tumezipata hapo juu sasa tunataka kutengeneza array data. Ilikutengeneza array tutatumia function ya array()

Mfano:

$employees = array();

 

Wakati wa ku fetch data tutatumia mabano kutambulisha kuwa variable inahitaji array 

Mfano

$employees[] = $row;

 

 

Hii hapa itatengeneza array data kutoka kwenye database.baada ya hapo tuta encode data kwa ajili ya kuzifanya ziwe json.

Mfano:

<?php

 

$servername = 'localhost';

$username = 'root';

$password = '';

$dbname = 'jsonDb';

 

// Create connection

$conn = new mysqli($servername, $username, $password, $dbname);

 

// Check connection

if ($conn->connect_error) {

   die('Connection failed');

}

 

$sql = 'SELECT * FROM employees';

$result = $conn->query($sql);

 

$employees = array();

if ($result->num_rows > 0) {

   while ($row = $result->fetch_assoc()) {

       // Collect each row's data in an array

       $employees[] = $row;

   }

} else {

...

Download Post hii hapa

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: PHP Main: ICT File: Download PDF Views 295

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Simulizi za Hadithi Audio    👉2 Kitau cha Fiqh    👉3 kitabu cha Simulizi    👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉5 Bongolite - Game zone - Play free game    👉6 Kitabu cha Afya   

Post zinazofanana:

PHP somo la 86: JInsi ya ku decode json yaani kubadili json kuwa php data kama array ana object
PHP somo la 86: JInsi ya ku decode json yaani kubadili json kuwa php data kama array ana object

Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kubadili json data na kuwaphp array ama php object. Kwa ufupi tunakwend aku decode json data kuwa phparray amaobject

Soma Zaidi...
PHP - somo la 45: Jinsi ya kutuma sms kwa kutumia PHP
PHP - somo la 45: Jinsi ya kutuma sms kwa kutumia PHP

Katika soko hili takwenda kujufunza jinsi ya kutuma sms kwa kutumia PHP. Hii itasaidia kama unataka kutuma OTP yaqni Onetime password

Soma Zaidi...
PHP somo la 67: Project ya CUDE operaton wa utuma OOP na PDO
PHP somo la 67: Project ya CUDE operaton wa utuma OOP na PDO

Katika somo hii utakwenda kujifunza jinsi ya kufanya CRUDE operation kwa kutumia PDO. crude operation inahusu create, read, update. Delete.

Soma Zaidi...
PHP - somo la 17: Jinsi ya kuingiza data kwenye database kwa kutumia PHP
PHP - somo la 17: Jinsi ya kuingiza data kwenye database kwa kutumia PHP

Katika somo hili utajifunza jinsi ya kuingiza data kwenye dtabase kwa kutumia PHP.

Soma Zaidi...
PHP - somo la 13: Jinsi ya kuunganisha database na website
PHP - somo la 13: Jinsi ya kuunganisha database na website

Katika somo hili utajifunza jinsi ya ku connect database, kwa kutumia php

Soma Zaidi...
PHP somo la 54: PHP OOP class constant
PHP somo la 54: PHP OOP class constant

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia constatnt kwenye class.

Soma Zaidi...
PHP - somo la 32: Jinsi ya kutumia filter_var() function kwenye PHP
PHP - somo la 32: Jinsi ya kutumia filter_var() function kwenye PHP

Katika somo hili utajifunza jinsi ya kutumia filter_var() function kwa ajili ya kuchuja code zilizo hatari kwenye PHP file

Soma Zaidi...
PHP somo la 77: aina za http redirect
PHP somo la 77: aina za http redirect

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu http redirect header

Soma Zaidi...
PHP - somo la 2: sheria za uandishi wa code za PHP
PHP - somo la 2: sheria za uandishi wa code za PHP

Katika somo hili utajifunza kuhusu syntax za PHP

Soma Zaidi...
PHP somo la 101: Advanced RedBeanPHP - Usimamizi wa Database, Usalama, na Ufanisi
PHP somo la 101: Advanced RedBeanPHP - Usimamizi wa Database, Usalama, na Ufanisi

Hili ni somo la mwisho katika mfululizo huu wa ORM, kupata ujuzi zaidi endelea kusoma ORM nyinginezo ambazo nimetangulia kuzitaja awali ya masomo haya.

Soma Zaidi...