Post hii inahusu zaidi dalili za maambukizi kwenye uume, ni dalili ambazo ujitokeza pale maambukizi yanapotokea kwenye uume.
Dalili za maambukizi kwenye uume
1. Kuvimba kwa ngozi na kuwa nyekundu, Dalili hizi ujitokeza kwa sababu ya maambukizi.
2 kutokwa na majimaji kwenye uume, hii utokea kwa sababu ya maambukizi kwenye uume ambao uharibu sehemu mbalimbali na kuanzia kutoa maji
3. Ngozi kuwa nyembamba na kivutika, kwa sababu ya maambukizi kwenye uume ngozi uvutika na kuanzia kuuma
4. Maumivu kwenye via vya uzazi
Kuwepo kwa maumivu makali kwenye via vya uzazi vya mwanaume hii ni kwa sababu ya maambukizi.
5. Harufu mbaya utokea kwenye sehemu za uume
Kwa sababu ya maambukizi, harufu mbaya ujitokeza kwenye uume na mazingira yake
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Post hii inahusu dalili za mtu Mwenye ugonjwa wa kisukari, dalili hizi zinaweza kujitokeza Moja kwa Moja mtu akagundua kuwa ana Ugonjwa wa kisukari.zifuatazo ni dalili za ugonjwa wa kisukari.
Soma Zaidi...Zijuwe sababu za kutokea kwa vidonda vya tumbo. Sababu kuu za vidonda vya tumbo hizi hapa
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi magonjwa ya koo, ni ugonjwa unaoshambulia sana sehemu ya koo la hewa, na na huwa na dalili zake kama ifuayavyo.
Soma Zaidi...Madonda ya tumbo ni ugonjwa unaotokana na kuwepo kwa vidonda kwenye Koo, tumboni na kwenye utumbo mdogo
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi njia ambazo zinaweza kutumika Ili kuweza kupunguza kuwepo kwa magonjwa ya zinaa
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi madhara ya kutotibu maambukizi chini ya kitovu ni madhara ambayo yanaweza kutokea kwa mgonjwa pale ambapo matibabu yanapokuwa hayatolewi kwa mgonjwa wa maumivu chini ya kitovu.
Soma Zaidi...MATATIZO YA CHOO KIDOGO NA FIGOFigo ni kiungo muhimu sana katika uchujaji wa mkojo, na afya ya mfumo wa utoaji taka mwili.
Soma Zaidi...