Faida za uzazi wa mpango kwa watu wenye ugonjwa wa Ukimwi

Posti hii inahusu zaidi faida za uzazi wa mpango kwa watu waliopata maambukizi ya ugonjwa wa Ukimwi, ni faida wanazozipata waathirika wa ugonjwa wa Ukimwi.

Faida za uzazi wa mpango kwa watu waliopata maambukizi ya ugonjwa wa Ukimwi,

1. Usaidia kuzuia maambukizi kwa kupatiwa elimu jinsi ya kujikinga

 

2. Husaidia kupata njia za kujikinga kwa mfano kupatiwa kondomu Bure

 

3. Usaidia kuzuia maambukizi wakati wa ujauzito kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto, wakati wa mimba na kujifungua.

 

4. Usaidia kuondoa Mila na desturi potovu kuhusiana na wagonjwa wa Ukimwi maana nao ushiriki katika uduma za jamii

 

Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa

Mwandhishi Tarehe 2021/11/22/Monday - 11:56:48 pm     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 763

Post zifazofanana:-

Ujue Ugonjwa wa homa ya ini yenye sumu.
Homa ya ini yenye sumu'ni kuvimba kwa ini lako kutokana na kuathiriwa na vitu fulani ambavyo umeathiriwa navyo. Homa ya ini yenye sumu'inaweza kusababishwa na pombe, kemikali, dawa za kulevya au viongeza vya lishe. Soma Zaidi...

Faida za kula mayai
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kula mayai Soma Zaidi...

Saratani ya tishu zinazounda Damu mwilini (leukemia)
Post hii inaelezea kuhusiana na'Saratani'ya tishu zinazounda damu mwilini, ikijumuisha uboho na mfumo wa limfu.ugonjwa huu kitaalamu huitwa leukemia. Soma Zaidi...

Maumivu ya tumbo baada ya kula
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu sababu za maumivu ya tumbo baada ya kula Soma Zaidi...

Matunda yenye vitamin C kwa wingi
Somo hili linakwenda kukuletea matunda yenye vitamin C kwa wingi Soma Zaidi...

Vifaa vya kutumia wakati wa kusafisha vidonda.
Posti hii inahusu zaidi vifaa vya kutumia wakati wa kusafisha vidonda, ni vifaa muhimu ambavyo mara nyingi kutwa hospitalini. Soma Zaidi...

Mimi imepita miezi mitatu sioni hedhi na wala sioni dalili ya kuwa na mimba unaweza ukaniambia tatizo la kuwa na hali hii
Kama na wewe una tatizo la kupitiliza siku zako za hedhi hli ya kuwa huna ujauzito, soma post hii ina majibu yako. Soma Zaidi...

Namna ya kuwasaidia wagonjwa wa vidonda vya tumbo
Post hii inahusu zaidi namna ya kuwasaidia wagonjwa wa vidonda vya tumbo, ni njia ya kuwasaidia wagonjwa waliopata madonda ya tumbo Soma Zaidi...

Nini husababisha mtoto kukosa maji kabla ya kuzaliwa?
inaweza kutokea kuwa mtoto aliye tumboni akaishiwa maji hata kabla ya kuzaliwa. yes hali hii huweza kuwapata baadhiya watoto. Soma Zaidi...

Mambo yanayochangia katika makuzi ya mtoto
Post hii inahusu zaidi mambo yanayochangia katika makuzi ya mtoto, mtoto katika makuzi yake anahitaji kutunzwa vizuri Ili akue kwa afya nzuri bila magonjwa Soma Zaidi...

Dalili za Utasa wa wanaume
Posti hii inazungumzia kuhusiana na Utasa wa Mwanaume hutokana na uzalishaji mdogo wa mbegu za kiume, utendakazi usio wa kawaida wa manii au kuziba kwa manii ambayo huzuia utoaji wa mbegu za kiume. Magonjwa, majeraha, matatizo ya kiafya sugu, u Soma Zaidi...

Dalilili za homa ya matumbo (typhoid fever)
Post hii Ina onyesha DALILI za Homa ya matumbo (typhoid fever) huenea kupitia chakula na maji machafu au kwa kuwasiliana kwa karibu na mtu aliyeambukizwa. Dalili na ishara kwa kawaida hujumuisha Homa kali, maumivu ya kichwa, maumi Soma Zaidi...