Pata majibu ya maswali yanayokuhusu
Je naruhusiwa kuchinja nikiwa nimefunga ramadhani?
15-04-2023 04:22:37
nyenzo anazotumia mwanaadamu kujielimisha ambazo ni dhaifu
30-01-2023 16:11:05
Samahan mi naomba unifundishe ukisha jifungua unaoga je?
28-01-2023 20:03:40
Asalam alaykum warahmat llah wabarakat kitabu cha swala yasunnatul nikizuri ila ktk kutazama kuna kwala yasunnatul tasbih sjaiyona sheh wang namm niltaka kujuwa mafunzo ya jimsi mtu anavyo swal sunatl tasbih
22-04-2023 08:30:44
Naomb kuuliza ukiswali witri katika baada ya ishaa vipi unaruhusiwa kuamka usik kwa ajili ya sunna nyingne
05-04-2023 17:24:41
Assalam alaykum shekhe Nina swali" Zaka ya wanyama inakuwa Kila kweñye ng'ommbe wangapi mtu anapaswa kutoa Zaka?
27-03-2023 08:59:41
Kuna Jambo lini ni tatiza ya kutofautisha ibada naعادي kwa mfano kula chakula hii ni ibada Au عادي ?
09-03-2023 12:34:57
Swali langu Mimi Nipo kwenye ofisi za mikopo nafanya kazi na izo ofisi zina liba ndani yake je mimi nae ni miongoni mwa Wala liba
Ni mwajililiwa katika ofisi za mikopo na ofisi izo zina liba ndani yake je mimi nae ni miongoni mwa Wala liba
21-02-2023 12:08:44
Je nikitaka kutia mwili wangu udhu wa nifasi je naanzia wapi nafanyaje
04-05-2023 11:49:39
Uislamu wakati wa makhalifa ulipata changamoto nyingi sana ambazo zilipelekea kuwatia khofu waislamu wanafikiria mambo gani yaliopelekea kuondosja changamoto izo
25-02-2023 04:23:33
Je inafaa kutoa talaka mbili kwa mkupuo mmoja?
14-02-2023 06:11:44
Naombaa unisaidie vitabu vya dinii vilivyo andikw kw kiarabu na kwa kiswahilii ambavyo naweza kuvitaa mtandaonii mfan hadithi za mtume fiqhi na siraa
21-03-2023 08:49:48
Bilali alikkuwa swahaba wa kipind Cha Nabii Gani?
28-04-2023 04:28:24
Mimi ni ustadh nafundish madrasa sasa nimeombwa hapa kwenda kufundisha edk secondary
Sasa mnaweza nisaidia notes lakini namna ya kuandaa majaribio
06-02-2023 05:08:36
Aslm alykum naombakuuliza,Kam mine ana wake 2 ikitokea mwenyezamu hayupo keep mine anahaki ya kulala kwa Yule asiyekua zamu yake
29-01-2023 19:22:59
Nauliza mke wa Nabii Nuhu alikuwa anaitwa nani?
17-02-2023 09:42:20
Naweza kupata kama vitabu vingine vya dini ya kiislamu
18-02-2023 08:08:12
Kitugani kilicho pelekea wakati wa tabiin kuandikwa hadithi
16-02-2023 15:45:18
Kwa kutumia ushahid wa aya onesha kua quran ilishushwa katika usiku mtukufu wenye cheo
16-02-2023 04:23:17
Je ni yapi masharti ya funga/saum
26-03-2023 04:24:33
Jee mgawanyo wa dhakatul fitir ni sawa na mgawanyo wa dhakatul Mali kwa mbea nane?
20-04-2023 05:26:46
Samahn,,ati ni mwaka wa ngapi ilifaradishwa funga?
23-03-2023 10:44:50
Nataka kujua kuhusu historia za masheikh wa afrika mashariki na Elimu zao
30-01-2023 12:48:05
jee: mtu aka dungwa sindano ita haribu swaumu ya mtu?
05-04-2023 04:17:28
lengo la qur-an ni lipi?
02-04-2023 04:26:47
Madhara ya kufanya mapenzi na mama mjamzito
18-02-2023 12:08:12
je ni dua ipi imependekezwa zaidi katika swala hii ya tahajjud
16-04-2023 05:24:40
Niipi hukmu yamtu mwenye kuacha swala pasi na udhuru wowote?
09-02-2023 09:17:37
Asslm alkm?swali:mke wa nabii nuhu aligharikishwa au?
19-02-2023 10:33:32
Dokta habari ya leo samahani mpenzi wangu limemsumbua sana tumbo kama siku 4 ama5 hivi, na nilivyo angalia tumbo lake nimeona mchilizi mweusi umetoka kwenye kitovu je hii nayo inaweza kuwa dalili ya mimba?
22-03-2023 04:24:35
Kwanin tunasema samiaallah limanihamida hatusemi Allah akibalu
12-02-2023 11:28:47
Naomba nifundishwe jinsi yakunuwia swala ya ijumaa
28-01-2023 20:59:24
Swalaa ya istikhara yaswaliwa vip???
21-02-2023 04:00:26
Assalam alaykum nauliza eda ya khulu Ni muda gani? Na wanaweza kuregeana?
15-03-2023 16:29:34
Je dini zilianzishwa na nan
04-03-2023 04:59:16
Nimeona darsa kidogo juu ya suala la talaka.swali langu ni je??..kama umempa talaka moja mkeo bila ya mashahidi waadilifu.je kuna tatizo katika uhalali wake??
04-05-2023 12:25:39
Je km mtu aliishi miaka mingi bila kufunga na anamke wake halali wakati wakiishi walikuwa wanafanya matendo yote ikiwemo kujamiiana kipindi chote cha ramadhan kwa mda wowote iwe Asubuhi au mchana Sasa wameamua waanze kufunga swaum je Hawa watu watahusika na ile hukumu ya kufunga siku 60 mfurulizo? Au kuzilipa zile ramadhan walizo ziacha huko nyuma?
23-03-2023 08:34:42
Asante sana na swala ya saa nane usik ina laka ngapi
19-02-2023 13:50:07
Watu wengi wanasema wakisoma Qur'an sawa ameongea kiarabu swali langu ni kwamba kuna tofauti yoyote kati ya kiarabu na Qur'an au hakuna tofauti
06-03-2023 13:47:18
Ilkuw nina xhid na ninaomb nipat jib la hili Qn ambalo ni ..kwa kutuamia ushahid 4 ya kihistoria thibitish kuw ufufuo ni jamb jepesi
06-02-2023 18:33:58
Neno kusai lina maana gani katika hijja?
29-03-2023 05:31:53
nina swali.mke wangu alikataliwa na ndugu asirudi kwangu nayeye akakubali leo sina mawasilia miezi 4 sasa je Bado kuna ndoa japo?
20-03-2023 17:49:14
Je inafaa kuchoma sindano wakati umo kwenye funga?
28-03-2023 11:26:30
Asalam alaykm naomba unipatie ushahid kuunganisha ya magharb na Ishaa kwa sababu ya mawingu
22-05-2023 07:50:15
a.alyeikum swali langu ni kuhusu mirathi mume amekufa ameacha watoto 5 wa kiume na watoto 5 wa kike na ana wake 2 na wazazi wake wote wa mume wameshafariki mgawanyo ukoje?
22-03-2023 04:14:10
Swali lang naomba kujuwa kufanya biashara ya play station au Games je naingia kwny haramu.
13-02-2023 07:38:21
Nilikuwa nahitaji mafundisho zaidi kwenye suala la kuswali na dua zake ili niweze kuswali kikamilifu na kusimamisha swala bila kumkwaza allah
14-03-2023 05:47:57
Assalaam alayka je' kwa yule ambaye anakipato cha chini anapaswa atoe zaka kiasi gani na kwa kipindi gan?
07-04-2023 03:45:09
Ninaweza kupata dawa yakukawiya wakati yakitendo cha ndowa ?
06-03-2023 11:07:52
Hoja zinazotolewa na makafiri juu ya kukubalika kwahadithi
24-04-2023 13:10:31
Nahitaji kujua UDUGU ni nini? Faida za udugu na hasara za kuvunja udugu katika uislam
31-03-2023 07:36:12
je inawezekn kuswalia nyumbn swal y usiku
18-04-2023 08:53:10
Nashukuru Swali langu ni kuhusu maana. Ya kijakazi atamzaa bibi yake Katika hadithi ya pili kati ya hadithi arobaini zak imamu annawawiy
21-05-2023 06:04:02
Je khalifa Abubakar alitawafu vipi?
28-03-2023 03:51:01
Je mtu aliezidiwa akjitoa manii usiku wa Ramadhan je inakuaje?
28-03-2023 04:02:37
As salaam alaykum warahmatullaahi wabarakaatuh. Tukio la mwanzo la kuvunjwa Al qaaba lilikuaa mwaka gani?
28-02-2023 05:40:54
Asalsm
Alayku.nilikuwa nauliza yafaa kumpa mamamdogo zakatil fitri
22-04-2023 08:36:15
Pia niliomba kufahamu. Ni shuruti panapo paswa kufungwa doa basi baba kutoa idhi ya kuozesha au humuozesha bintie swali je?
kwabinti alie zaliwa nje ya ndoa ninani anae husika kwenye utoaji waidhini au kuozesha binti huyo?.
Assalam alaykum
25-04-2023 04:33:02
Assalaam a'laykum warahmatullãhi wabarakaatuh! Shaikh nauliza; ivi inawezekana mke kuslimu na kufunga ndoa ya kiislam siku hiyo?hiyo
10-02-2023 04:40:25
Wakati wa kuswalia mait,Yawezekana unapenda kuswali,Maiti wako,ila humjuzi wa hiz Dua, yafaa nikafanya kwa vitendo? Siri yangu Kimoyomoyo,?
03-03-2023 10:57:34
Mjane akiacha Mali halafu akawa Ameacha watoto wa Tano mmoja mwislam wengine wakristo na mjane alikuwa mwislam, swali langu Hawa watoto ambao ni wakristo Wana haki ya kumrithi mama Yao? Naomba unisaidie majibu pamoja na kifungu kitakacho patikana juu ya jibu lako. Asante
30-01-2023 18:37:42
Habari nilikua nahitaji Mafunzo namna ya Kuswari na dua zake Kwa njia ya sauti ataiyatu ndio siwezi
05-03-2023 04:45:14
Kijiji chao nabii ibrahim kinaitwaje..? Na kilikua kikaliwa na watu gani.?
14-02-2023 10:54:43
Jana alikuja alielua mume wangu akawaambia watu kua nimemuacha s mke wangu je nataka kujua ikiwa ni lazima akicha kue na mshahid wa kweli je hapo talaka imepita na kama imepita anafaa kunipa karatas au haifai
28-02-2023 05:57:10
Sababu za mwanaume kupata maumivu baada ya tendo la ndoa
06-03-2023 18:40:29
Je kwa mfano mtu umekuangukia mkojo kwenyw nguo na unataak kwenda kuswali Nini unatakiwa kufanya
23-03-2023 14:03:16
Assalaam a'laykum warahmatullahi wabarakaatuh! Shaykh mimi nauliza kuwa mke wangu ananiudhi kwa kuwasiliana na wanaume ambao sio mahrim zake na nikimgomea husema hawezi kuacha kuwasiliana nao hata nikimpa nasaha. Naomba nasaha nifanyeje maana nimefikisha kesi hadi kwa wazazi wake ila bado ananiambia kuwa Mimi nimemuowa yeye ila simu yake hainihusu.
10-02-2023 04:41:52
Nataka kujua jinsi yakujua swala wakati wakuswali
25-03-2023 18:51:18
je ninapochukua udhu naruhusiwa kuongea?
25-02-2023 19:22:07
Asalaam Aleykum warahmatulahi wabarakatuhu, mimi swali langu ni kuhusu Rukuu, ukiwa kwenye Rukuu macho unafaa kuangazia wapi? kunao wanao sema unafaa kuangalia unako enda kusijudu na wengine husema unafaa kuangalia vidole vya miguu zako. ni ipi sahihi naomba kufahamu. Shukran wabillahi tawfiq
28-01-2023 20:04:16
Kama mwanamke amepewa talaka ya kwanza,yapili n yatatu.baina talaka ya2 n 3 akawa n ujauzito
02-05-2023 06:33:01
Je Nipo na mwanmke ndani Ambae Sijafunga nae ndoa na tunalala nae kitanda kimoja je zambi ya uzinzi ni mpaka mshiriki tendo
17-03-2023 13:47:55
Je,ni ipi dalili itakayonijulisha kua Leo ni usiku wa lailatu likadri ili niombe hiyo dua?
20-04-2023 05:33:47
Nina penda ni jue ni haram kula chakula kilicho nunu liwa na bwana sio mme mwezi wa Ramadan naombeni mnijulishe shekhe wangu
29-03-2023 20:10:58
Je? Kwa mtu ambaye amevunja kiapo anatakiwa kuwalisha maskini kumi chakula cha katikati anachowalisha watu wa nyumbani kwenu. Sasa swali langu chakula cha katikati kiasi gani na anatakiwa apeleke kwa muda gani?
07-04-2023 06:23:16
Swalat haja inaswaliwa muda gani. Na rakaa ngapi. Na surat zip unatakiwa kuzisoma
25-02-2023 16:57:03
Je maneno yakwenye bible ni ya uongo
05-03-2023 04:42:23
Eda ya mwanamke aliyeachwa ni tohara 3, Eda ya mwanamke mjamzito ni mpaka atakapojifungua, Eda ya mwanamke aliyefiwa ni miezi 4 na siku 10, Jee mwanamke aliyefiwa na mumewe huku akiwa na ujauzito itakuaje eda yake?
05-05-2023 07:40:34
A,aleikum
Mwanamke akiwa kwa eda ndo kwanza anaanza kuuachwa je inarusikika mke uyo kwenda kwa kadhi na kudai talaka ?
30-01-2023 16:58:22
Nini kilicho mfanya bukhadija afariki alikuw anaumwa au?
31-03-2023 07:59:47
Habari, samahani, naomba kuuliza ukisha tamka shahada ndo tayari kusilimu ama kuna utaratibu mwingine?
21-05-2023 13:27:54
04-02-2023 14:28:28
Je itaondokaje hadathi kubwa kama pakikosekana maji
28-02-2023 03:46:50
Ninapo fanyia kazi niwa kristu mana nyumba nzima ime zunguukwa na misalaba na biblia je inaswihi kuswali katika nyumba hiyo
05-04-2023 08:48:03
Eleza kwa muhtasari kwa nni waislamu ktk jamii yako hawafikii lengo la kwao pamoja.na kutekeleza ibada maalum
30-01-2023 15:53:28
Kuna miezi mingapi ya kunuwia hijja
22-04-2023 08:41:21
Umuhim wa historia ya maimam wa fiqhi
24-02-2023 08:18:26
Naomba unifundishe namna ya kusimamisha sala ya tarawehe na witir
23-03-2023 12:45:03
Nilisilim napenda Sana dini ya Islam lakini sijui hata pakuanzia
19-02-2023 13:53:44
Nikiswalia nyumbani swala zote ni sawa tofauti ijumaa
21-02-2023 12:24:01
Je mwezi mtukufu wa Ramadhani umekalibia je kama ukiwa umefunga afu bado upo unafanya kazi iyo ya riba je funga itakuwa salama
21-02-2023 12:20:19
Asalam aleyikum warahmatullah wabarakatuh swali langu ni hivi mimi nimeolewa miaka 8 iyopita ila mwaka juzi mwezi12 Allah akanitahin nimepatatihani wa maradhi ya ganzi yamepelekea kutokutembea mama zamani,mume wangu ameniuguza mpaka mwezi wa 7 mwaka jana akanitelekeza yani aniudumii mimi wala mtoto na nikimpigia simu anaongea hovyo tu nimeamua kumdai talaka ataki kunipa lakini hivi karibuni ameniatamkia maneno Machafu kua ataki kunipa talaka kwakua ajawahi kunioa na ajanopenda hata siku1 mimi nikampiga mshenga na shahidi nao wakajaribu kizungumza nae akawakatia Simu swalilngu je,naweza kujivua kwenye ndoa hii?au nifanyeje mpaka nipate haki yangu ya talaka
11-02-2023 03:10:15
Je kama mwanangu ananitolea zakat fitri na Mimi itanilazimu tena kujitolea mwenyewe?
15-04-2023 07:19:51
Nina swali kwenye swala ya msafiri uyu mtu anasafiri uelekeo tofauti na kibla ataswali ivyoivyo
05-05-2023 05:00:18
Asalaam alyka kwan saa mbli (insha) ina laka ngap
20-02-2023 11:00:20
Assalamu 'alaikum warahmatullah wabarakatuh. Na swal. Je, inaswihi kwa muislamu kuswali juu ya kaburi kwa lengo la kumuuombea maiti iliyomo ndani ya hilo kaburi
10-02-2023 04:39:32
Assalamualaykum Mimi suali langu linasema Elezea mitihani mitano aliyopewa nabii Ibrahim na Mola wake na namna alivyoifaulu mitihani iyo
09-02-2023 05:05:26
Kuitikia salamu ni faradh ain au kifaya?
07-03-2023 17:30:11
Jee nabii mussa alilelewa na nani?
21-02-2023 11:34:58
Asalaam alaykum w wabarakat ustadh je kama umeshiriki tendo la ndoa ktk mwez wa ramadhan kisha ukapitiwa na usingiz mpaka alfajir ikafika ukawa ujajitwaharish je unaweza kuendelea na swaum bi maana swaumu yako itaswihi
25-03-2023 08:21:08