Pata majibu ya maswali yanayokuhusu
Naomba kuuliza taratibu za kupata cheti cha ndoa. Ndoa ya kiislam imefungwa na shekhe, kwa kawaida taratibu za kupata cheti cha ndoa baada ya ndoa kufungwa zikoje / kinapatikanaje? Na ni Baada ya muda gani?
31-03-2023 07:51:27
Kuamin malaika katika maisha yakil siku na athar zak
30-01-2023 15:48:31
Mume kampa talaka mkewe baada ya siku mbili tatu mume kamuhitaji mtalaka wake na wakakutana wakafanya yao, lakini hajamtamkia kama kamrejea, je hapa atakua kashamrejea au amezini nae?*
24-04-2023 13:55:49
Je khalifa Abubakar alitawafu vipi?
28-03-2023 03:51:01
Kuitikia salamu ni faradh ain au kifaya?
07-03-2023 17:30:11
Asalam aleykum nauliza kwamba uko ndani ya ndoa ila umesahau kukoga janaba unaluhusiwa kufunga
18-04-2023 08:52:36
Nina swali mutu kuwa na mate machungu ndani ya miezi 6 ni dalil yq ukimwi?
07-03-2023 17:22:05
Assalam alaykoum warahmatullahi wabarakatuh,,,ni Nan anayeruhusiwa kufunga lkn atatoa fidia ya kulisha masikn mmoja kila cku
24-03-2023 06:05:43
Asalam alaykum nataman kujua zaidi kuhusu kisimamo Cha usiku
08-03-2023 05:32:40
Wazazi na watoto wana wajibu gani katika uslamu na jamii yao
07-03-2023 06:24:48
mke aliejifungua au kuharibu mimba kabla ya kuoga nifasi akapewa talaka na mumewe je mwanamke huyu anapaswa kukaa eda?
15-04-2023 04:27:12
nina swali.mke wangu alikataliwa na ndugu asirudi kwangu nayeye akakubali leo sina mawasilia miezi 4 sasa je Bado kuna ndoa japo?
20-03-2023 17:49:14
Mm nataka nifahamishe jinsi ya kusali kuanzia rakaa ya mwanzo mpaka kumalizika
16-03-2023 18:32:00
As salaam alaykum warahmatullaahi wabarakaatuh. Tukio la mwanzo la kuvunjwa Al qaaba lilikuaa mwaka gani?
28-02-2023 05:40:54
je ninapochukua udhu naruhusiwa kuongea?
25-02-2023 19:22:07
Ustadh A'laikum, mimi nna suala hapa je ukitaka jambo lako fulani lifanikiwe dua gan ambayo unatakiwa kuomaba?ilo jamboo la kherii tu
27-03-2023 18:10:17
Nataman kujua Jins ya kujitwaharish kujua kuswali na kusoma Quan je unanisaidiaj?
29-04-2023 06:49:16
Naitwa mustapha nipo songea, je quraan inapaswa kusomwa nyakat gan
23-02-2023 06:04:08
Ikiwa mke ana Tatizo la kiafya ambalo linapelekea kutoweza kushiriki tendo la ndoa na mumewe. Kuepuka dhambi za kuzini Mumewe akawa anapitisha pitisha uume wake Katika matako ya mkewe bila kugusa tundu la haja kubwa la mkewe akawa anahisi hisi joto mpaka mume anamaliza haja yake (anakojoa). Je, Sheria katika uislamu inasemaje katika suala hilo.
05-04-2023 04:09:21
Mwanamke anapotalikiwa yapaswa kwake kufanya nini na kutofanya nini
28-01-2023 04:54:49
Assalaam alaykum...mimi nauliza endapo mmeshazaa mtoto na we mwanamke ukadai talaka je mwanaume ana haki ya kudai mahari yake ingawa umeshazaa nae?
09-03-2023 13:20:51
Maana ya tawafu ni nini
30-01-2023 15:47:07
Asalaam aleykum naomba kuuliza mama yake marimu anaitwa nani?
18-02-2023 14:57:46
mimi muisilamu hila akuna ninacho kijua msaada wenu nataka kitabu cha kiswahili nijifunze km itawekana
08-03-2023 05:33:11
Je km mtu aliishi miaka mingi bila kufunga na anamke wake halali wakati wakiishi walikuwa wanafanya matendo yote ikiwemo kujamiiana kipindi chote cha ramadhan kwa mda wowote iwe Asubuhi au mchana Sasa wameamua waanze kufunga swaum je Hawa watu watahusika na ile hukumu ya kufunga siku 60 mfurulizo? Au kuzilipa zile ramadhan walizo ziacha huko nyuma?
23-03-2023 08:34:42
Aesalam alaykum je kur an imeshushwa kwa mudagan
05-05-2023 07:13:24
Mimi ni ustadh nafundish madrasa sasa nimeombwa hapa kwenda kufundisha edk secondary
Sasa mnaweza nisaidia notes lakini namna ya kuandaa majaribio
06-02-2023 05:08:36
Mke wangu aliingia siku zake tar 13 mwezi huu,amemaliza tar 17 msaada ni ipi siku ya kushika ujauzito? Ahsante.
24-03-2023 16:42:53
Je tende faida gan mwilini.?
11-04-2023 10:30:29
Assalamu alaikum je mwanamke kadai talaka naakainunua baadae akataka kurewa je rejea ipo nakama ipo kuhusu mahari je
04-03-2023 05:06:01
Swali langu Mimi Nipo kwenye ofisi za mikopo nafanya kazi na izo ofisi zina liba ndani yake je mimi nae ni miongoni mwa Wala liba
Ni mwajililiwa katika ofisi za mikopo na ofisi izo zina liba ndani yake je mimi nae ni miongoni mwa Wala liba
21-02-2023 12:08:44
Swali saut yangu inakwaruza nina kama miez 2 iv shda n nn?
28-03-2023 11:29:12
Je damu ya vidudu vidogo vidogo ina toa udhu mfano kama damu ya mbu nk
08-05-2023 07:49:56
Je wakati unatubia unaomba msamaha kwa mola wako wakati upo katikati ya swala ama baada ya kumaliza
16-04-2023 05:45:48
Umuhim wa historia ya maimam wa fiqhi
24-02-2023 08:18:26
Uislamu wakati wa makhalifa ulipata changamoto nyingi sana ambazo zilipelekea kuwatia khofu waislamu wanafikiria mambo gani yaliopelekea kuondosja changamoto izo
25-02-2023 04:23:33
Nilikuwa nauliza kama hujafunga ndoa unaluhusiwa kuswali swala tano
02-03-2023 06:06:33
Je kwan maiti ya mtoto ambaye hajabarehe wakike ukimxhonea sanda kama ya mwanamke aliye barehe ni vibaya?
02-04-2023 04:40:32
Assalamualaikum naomba kujua vigez vinavyofanan vya uhakiki wa hadithi, vya imamu bukhar na muslim
16-03-2023 07:28:56
Asalam alaykum.ninaomba kuulz swali je ukiwa n majosho mawl mfano hedhi n nifasi je utaoga moja Kwa kukusudia majosho yote au utaoga moja moja Kila Josho Kwa kujitegemea
12-03-2023 11:20:36
Asalaam Alykum Nilikuwa Naomba Kujua kama mtu umepewa talaka tatu kwa pamoja hapo hpo na akiwa na ujauzito je hiyo ni sahih au inakuwaje hapo na pia mwanamke akamuondoka kwnye hiyo ndoa yake mpka kajifungua na hakurudi tena kwa mume wangu kwa mda wa miaka miwili ikapita na baada ya miaka hyo mumewe anataka amrejee je kitu gani cha kufanyika hapo
21-02-2023 03:58:30
Hlw ,am sami ,na shida ya macho Kwa mda mrefu je nikitumia vita hivi nitakuwa sawa Kwa mda gani ?
05-05-2023 05:11:05
Asalam alaikum naomba darasa fupi aina za najisi,makundi yake pamoja na tohara zake
05-03-2023 09:49:44
Naweza kupata kama vitabu vingine vya dini ya kiislamu
18-02-2023 08:08:12
Assaalaam Alykum,
Mimi nataka kujua jinsi ya manuwiz ya swala ya eid, ahsantee
22-04-2023 08:35:27
Je Nipo na mwanmke ndani Ambae Sijafunga nae ndoa na tunalala nae kitanda kimoja je zambi ya uzinzi ni mpaka mshiriki tendo
17-03-2023 13:47:55
Naitaji kujifunza hatua zote za swala kuanzia kutia udhu pamoja na kusimamisha swala
05-03-2023 20:46:37
ikiwa marehemu kaacha mke mmoja na watoto watano wakiume na wakike wawili hawa mgawanyo wao upo vipi
19-02-2023 07:19:30
Je kwa mfano mtu umekuangukia mkojo kwenyw nguo na unataak kwenda kuswali Nini unatakiwa kufanya
23-03-2023 14:03:16
Nashukuru Swali langu ni kuhusu maana. Ya kijakazi atamzaa bibi yake Katika hadithi ya pili kati ya hadithi arobaini zak imamu annawawiy
21-05-2023 06:04:02
Je ni yapi masharti ya funga/saum
26-03-2023 04:24:33
Mafunzo yapatikanayo katika vita vya tabuki
17-02-2023 14:36:01
nimetofautiana na mke wangu tangu siku ya kwanza ya ndoa nimevumilia miaka 2 sasa nikijua atabadilika lakini tabia bado haibadili nifanyaje sinafraha siku zote
27-01-2023 14:57:56
Mke atahitaji kukaa eda kwa muda gani nyumbani.na yapi anakatazwa mwanaume kwa kipindi hiko cha eda?.baada ya muda wa eda kuisha na hakuna maelewano je ruksa kwake kuondoka na ndoa kuvunjika??
04-05-2023 12:28:09
Neno kusai lina maana gani katika hijja?
29-03-2023 05:31:53
Naam shukran na je!alhabib swali langu ni kama ifuatavyo:mke wangu ni mjamzito nyakati ya kujifungua wadaktari wakanambia nitie saini ima nimpate mke wangu akiwa hai au nimpate mwanangu sheria yanihitajia kufanyaje?
03-03-2023 05:04:01
Naomba kuliza Kama mke yupo mbali kumrejea mke alieachwa talaka moja kwa njia ya simu inafaa au haifai?
21-03-2023 16:33:43
Swali nan anawajibika kumkosoa imamu katika swala akikosea hasa anaposoma? Wale walio nyuma yake au yeyote makini
26-02-2023 08:47:16
Je unaruhusiwa kulala na mke endapo hujaanza kukaa itiqaf ya masiku kumi haya ya mwisho? Ijapokuwa yameshafika ila cjaanza kukaa itiqafu.
13-04-2023 04:18:00
Assalam alaykum warahmatullahi wabarakatuh
Hivi ktk uislam inaruhusiwa kumuoa mtu niliyemtia mimba ikiwa bado hajajifungua?
14-02-2023 07:12:52
Ushindi gani waliupata waislamu kwenye mkataba wa hudaybia
22-04-2023 08:26:14
Shekh zangun kwanza nashkur kwakutoa fursa hii ya kuuliza isichokijua ktk din yetu swali langu nikwamba miminikienda kuswali mskiti ambao hausomi Bismillah kwenye swala za sauti swala yangu itakuwa sawia ama batili?
19-02-2023 11:33:10
Yale manii yanaotoka mwishoni mwa haja ndogo yanabatilisha funga?
28-03-2023 05:17:50
Assalaam alayka je' kwa yule ambaye anakipato cha chini anapaswa atoe zaka kiasi gani na kwa kipindi gan?
07-04-2023 03:45:09
Mm naomba ufafanuzi ikiwa mume alikaa sehemu nakusema maneno haya " mm mke wangu nishamuwacha" na mke wake hakumwambia hilo lkn ameisema kauli hio. Jee talaka hii itakuwa imesihi ?
25-04-2023 05:34:30
Mke wa mtu Ana weeza kutenguwa mumewe? N'a nguo yakuazima ina twahara?
03-03-2023 05:04:53
Kitugani kilicho pelekea wakati wa tabiin kuandikwa hadithi
16-02-2023 15:45:18
Kama upo kwenye safi Au mstari wa katikati utatokaje ?kwenye safi na watu wana swala?
21-05-2023 05:04:29
Assalam aleykum nilikuw nauliza je Kuna dua yyote ya kumsomea mait wakati wakumuosha??
04-03-2023 05:04:48
Assalam alaykum warahmatullahi wabarakatu.
Samahani naomba kufahamu kwa mwanamume alie muacha mkewe kwa talaka tatu nikipi kifannyike ama taratibu gani zinapashwa zichukuliwe ili mwanamume huyo aweze kuishi tena kihalali na alie kua mkewe.
24-04-2023 13:51:11
Swali langu Ni hili,,,
"Thibitisha kuwa khalifa Othman alimrejesha mjomba wake kutoka uhamishoni kwa lengo gani?
21-05-2023 06:10:10
je ni ipi hukumu ya mke alietamkiwa na mume wake kuwa akifanya tendo na m/me mwengine ndio talaka yake na mke akafanya zaidi ya mara tatu?
21-04-2023 14:03:04
Nko na swali wakat unaanza kula unatamka vip. Bismillah Rahman Rahim ama watamka Bismillah pekeake.
01-03-2023 11:06:17
asalam aleykum samah naomba kuuliza,endapo nimemkuta imamu anaswalisha ile nimefika tu akarukuu na mimi nikarukuu je nitaesabika niko nae sawa kama ni swala ya adhuhuri.
06-04-2023 12:07:39
asalam aleykum nataka kuhuliza mwanamke mwenye hedhi anaruhusiwa kusoma quran aliyo hifazi kichwan mwake yan bila kushika msahafu
28-03-2023 19:08:54
Kwa kutumia ushahid wa aya onesha kua quran ilishushwa katika usiku mtukufu wenye cheo
16-02-2023 04:23:17
Jee tunaweza kuangalia wasia anoacha mgonjwa mahututi aliouacha
25-02-2023 11:59:53
Asalam alykum nikuwa nauliza ety vifungu vya faradhi ni vingapi?
28-03-2023 04:01:29
Asalam alykum warahmatullah ,Je zakat al fitr yafaa kuwatolea wote unaoishi nao ama waliofunga pekee?
22-04-2023 08:47:01
Samahn mwalim naomba unisaidie aina Saba za usomaji wa Quran
Taja aina saba za usomaji na mashehe wake na nchi zake kabla ya kuhifadhiwa quran katk msahafu lakwanza ilo
08-02-2023 12:34:23
Asalamu aleikumu ni halali kuridhiwa na mtoto wa nje ya ndoa? Na hakizake ni zipi ?
15-04-2023 07:40:10
Asalaam alyka kwan saa mbli (insha) ina laka ngap
20-02-2023 11:00:20
Kuna miezi mingapi ya kunuwia hijja
22-04-2023 08:41:21
Je dini zilianzishwa na nan
04-03-2023 04:59:16
Ninapo rehem Niki Soma jina la marehem nasemaje
25-03-2023 18:34:13
Unatoa maoni gani iwapo wanao jua na wasio jua wapo sawa kiutendaji
16-04-2023 05:41:46
Ukitaka kujifanza Quran kwe njia yacm Ina wezekana
26-02-2023 13:16:21
Assalaam alaykum warahama tullah, shekh Mimi nataka duwa ya kutosherezwa na Allah katika jambo langu je nitaipataje nataka kui hifazi.
16-02-2023 04:21:55
Watu wengi wanasema wakisoma Qur'an sawa ameongea kiarabu swali langu ni kwamba kuna tofauti yoyote kati ya kiarabu na Qur'an au hakuna tofauti
06-03-2023 13:47:18
Asalam alaykum warahmat llah wabarakat kitabu cha swala yasunnatul nikizuri ila ktk kutazama kuna kwala yasunnatul tasbih sjaiyona sheh wang namm niltaka kujuwa mafunzo ya jimsi mtu anavyo swal sunatl tasbih
22-04-2023 08:30:44
Asalam aleykum warahmatullah,samahn naomba kuulizaa je nilazimaa kusomaa Ile Dua katik swalt subh baada ya kutoka kuruu ukiwa kwey itidali?
05-02-2023 05:35:22
Nilikuwa nahitaji mafundisho zaidi kwenye suala la kuswali na dua zake ili niweze kuswali kikamilifu na kusimamisha swala bila kumkwaza allah
14-03-2023 05:47:57
a.alyeikum swali langu ni kuhusu mirathi mume amekufa ameacha watoto 5 wa kiume na watoto 5 wa kike na ana wake 2 na wazazi wake wote wa mume wameshafariki mgawanyo ukoje?
22-03-2023 04:14:10
Samahn,,ati ni mwaka wa ngapi ilifaradishwa funga?
23-03-2023 10:44:50
Nina suali. Naomba msaada, amefariki mtu ameacha, (1) ndugu yake wa kike wa baba mmoja, mama mmoja.(2) watoto wa ndugu yake wa baba mmoja wanaume na wanawake na (3) watoto wa ndugu yake wa mama mmoja tu. Naomba kujuwa uridhi utakuwaje? Ahsante
21-05-2023 04:38:42
Asalaam aleykum. Ni matumaini yangu ya kwamba m buheri wa afya. Nilikua nataka kufahamu utaratibu wa kutoa talaka kwa mke ambae bado hujamaliza kulipa mahari yake.
17-03-2023 07:25:01
Dua kwa mama mjamzito anae umwa na hajifungui
15-03-2023 08:05:53
Mjane akiacha Mali halafu akawa Ameacha watoto wa Tano mmoja mwislam wengine wakristo na mjane alikuwa mwislam, swali langu Hawa watoto ambao ni wakristo Wana haki ya kumrithi mama Yao? Naomba unisaidie majibu pamoja na kifungu kitakacho patikana juu ya jibu lako. Asante
30-01-2023 18:37:42
Swallat tahajjud ina rakaa ngapi?
24-03-2023 05:53:27
Habari, samahani, naomba kuuliza ukisha tamka shahada ndo tayari kusilimu ama kuna utaratibu mwingine?
21-05-2023 13:27:54