Pata majibu ya maswali yanayokuhusu
je ni ipi hukumu ya mke alietamkiwa na mume wake kuwa akifanya tendo na m/me mwengine ndio talaka yake na mke akafanya zaidi ya mara tatu?
21-04-2023 14:03:04
Nafasi ya akili katika kumtambua Allah
30-01-2023 15:48:55
Wakati wa kuswalia mait,Yawezekana unapenda kuswali,Maiti wako,ila humjuzi wa hiz Dua, yafaa nikafanya kwa vitendo? Siri yangu Kimoyomoyo,?
03-03-2023 10:57:34
Asalam alaykm naomba unipatie ushahid kuunganisha ya magharb na Ishaa kwa sababu ya mawingu
22-05-2023 07:50:15
Kwan mbon wanasema kusom dua kabr yakumuswalia Mtume nakabr yakutoa slm nidua gan nakuomb nisayidie
10-02-2023 08:22:59
Nauliza kama aujui kusoma Quruani na unaswali kila kipidi cha swala je kunapungufu apo
27-03-2023 06:15:49
Assalaam aleykum warahmatullah wabarakat..nilikua naulizia hivi zakatul fitr inafaa kutolewa kwa wakristo??
15-04-2023 04:30:47
Naomba kuuliza taratibu za kupata cheti cha ndoa. Ndoa ya kiislam imefungwa na shekhe, kwa kawaida taratibu za kupata cheti cha ndoa baada ya ndoa kufungwa zikoje / kinapatikanaje? Na ni Baada ya muda gani?
31-03-2023 07:51:27
Assallam Allykum, sorry Kuna Wana ndoa waligombana na katika huo ugomvi mume akamtamkia mkewe kuanzia Leo sio mke wangu Kwa talaka Moja, alaf hata nusu saa haikufika mume akaomba radhi Kwa mkewe na kufanya tendo la ndoa Kwa madai ya kutengua talaka je, mume yupo sahihi kweli ktk hili?!
18-06-2023 05:19:31
Assalamualaikum naomab kujua kivaaa suali ukavuka kufundo ch a mguuni ni sawa
17-03-2023 11:54:22
Nataka kujua kuhusu historia za masheikh wa afrika mashariki na Elimu zao
30-01-2023 12:48:05
Naomba kufaham historia ya imamu shafii na kitabu chake cha usul al-figh
05-04-2023 04:07:23
Assalam alaykum shekhe Nina swali" Zaka ya wanyama inakuwa Kila kweñye ng'ommbe wangapi mtu anapaswa kutoa Zaka?
27-03-2023 08:59:41
Nataka kuuliza historia ya uislamu baada ya kutawafu mtume ni mada ya form ngapi
25-03-2023 18:52:27
Assalaam a'laykum warahmatullãhi wabarakaatuh! Shaikh nauliza; ivi inawezekana mke kuslimu na kufunga ndoa ya kiislam siku hiyo?hiyo
04-02-2023 14:28:28
Mimi nina mtoto wangu wa kiislam, lakini kapata mchumba wa ki kirsto, je naruhusiwa kula Mahari yake? Naomba msaada huo
05-05-2023 07:01:37
Nina janaba nifanye nini
23-01-2023 20:54:25
Je nihadithi zipi zilizo onesha kuwa mtume ame swali tarawehe kwa rakaa 11
25-03-2023 18:45:18
Asalam alaikum warahmatullah wabarakatuh. Mimi nna suali kuna mtu kafa alizaa mtoto mmoja mtoto wa kiume kafa kabla ya mama . Baadae mama kafa hana mtoto mwengine ila kuna wajukuu wa mtoto wake huyo mmoja wa kiume aliyekufa na pia kuna dada yake baba mmoja hao tuu ndio waliomzunguka wakaribu wengine ni watoto wa dada zake jee mirathi hapo inakuaje?
26-01-2023 15:24:53
Assalamualaikum naomba kujua vigez vinavyofanan vya uhakiki wa hadithi, vya imamu bukhar na muslim
16-03-2023 07:28:56
Nataman kujua Jins ya kujitwaharish kujua kuswali na kusoma Quan je unanisaidiaj?
29-04-2023 06:49:16
Assalam alaykoum warahmatullahi wabarakatuh,,,ni Nan anayeruhusiwa kufunga lkn atatoa fidia ya kulisha masikn mmoja kila cku
24-03-2023 06:05:43
Asalaam alaykum w wabarakat ustadh je kama umeshiriki tendo la ndoa ktk mwez wa ramadhan kisha ukapitiwa na usingiz mpaka alfajir ikafika ukawa ujajitwaharish je unaweza kuendelea na swaum bi maana swaumu yako itaswihi
25-03-2023 08:21:08
Naomba kueleweshwa jinsi ya kuswali taraweehe na jinsi ya kunuia maana naswli nyumbani
26-03-2023 10:24:47
Me naumwa skio nimeweka dawa skion je nimefungulia
13-04-2023 09:40:24
Nataka kujua jinsi yakujua swala wakati wakuswali
25-03-2023 18:51:18
Kwanin uislam unapinga kampen juu ya kudhibit uzazi
14-03-2023 16:30:09
Nabii lut alikwenda wapi baada ya gharika
02-04-2023 05:52:48
Faida ya uislam kushika hatamu ktk jamii
30-01-2023 15:51:52
Swallat tahajjud ina rakaa ngapi?
24-03-2023 05:53:27
Swali kangu ni: Je Mwanamke mwenye heidh aweza kushika msahafu?
12-02-2023 14:10:16
Às/alaikum.naomba kuuliza kupagiwa formula ya mgao wa mirathi..marehem kaacha mil 18 kaacha watoto wa kiume 5 na wa kike 6
20-02-2023 11:02:34
je ninapochukua udhu naruhusiwa kuongea?
25-02-2023 19:22:07
Asalaam Alykum Nilikuwa Naomba Kujua kama mtu umepewa talaka tatu kwa pamoja hapo hpo na akiwa na ujauzito je hiyo ni sahih au inakuwaje hapo na pia mwanamke akamuondoka kwnye hiyo ndoa yake mpka kajifungua na hakurudi tena kwa mume wangu kwa mda wa miaka miwili ikapita na baada ya miaka hyo mumewe anataka amrejee je kitu gani cha kufanyika hapo
21-02-2023 03:58:30
Assalamualeykum. Ukiswali rakaa ya 3+ 4 unasoma sura gani baada ya AIHAMDU.
10-02-2023 16:41:49
Naomba nielekezwe ikhfau Shafawiya katka hukumu za kusoma Quran
04-03-2023 18:24:23
Asalaam alaykum? Shekhe naomba unisaidie khutuba ya ijumaa kwa kiswahili, maana nipo kijijini. Siku moja ilitokea kuswali adhukhuri kwa sababu imamu alikua anaumwa, na hii itasaidia kwa dharula Kama hizi.
08-03-2023 11:48:04
Ni zipi ishara zilizomo katika nafsi ya mwanadam
27-01-2023 14:56:50
Mimi nikitaka kuoa mke wa pili kunahaja ya kumtaarifu bimkubwa na kama nikimtaalifu akakataa je nifanyeje?
19-02-2023 12:33:28
Asalam aleykum warahmatullah wabarakatu naomba kuuliza kwamba Nia peke yake inatosha kumfanya mtu awe ameingia katika uislam bila kutaja shahada
Pili kama mtu akashududia kwa kiswahili je inaswihi?
04-03-2023 05:03:57
Ustadh A'laikum, mimi nna suala hapa je ukitaka jambo lako fulani lifanikiwe dua gan ambayo unatakiwa kuomaba?ilo jamboo la kherii tu
27-03-2023 18:10:17
Nina suali. Naomba msaada, amefariki mtu ameacha, (1) ndugu yake wa kike wa baba mmoja, mama mmoja.(2) watoto wa ndugu yake wa baba mmoja wanaume na wanawake na (3) watoto wa ndugu yake wa mama mmoja tu. Naomba kujuwa uridhi utakuwaje? Ahsante
21-05-2023 04:38:42
Kwa nini mnasema nguruwe ni najisi? Na tukila hatutendi dhambi?
22-03-2023 04:21:07
Asalm allykum jee km ikitokea mwnamke akamwambia mume kuwa ukifanya ktu fln ndio talaka yng najiacha mwenye je mwanaume akafany kile kit hapo itakuwa n talaka Ikiwa mime hajakubalin n hilo
05-05-2023 05:09:49
Kuitikia salamu ni faradh ain au kifaya?
07-03-2023 17:30:11
Sababu za mwanaume kupata maumivu baada ya tendo la ndoa
06-03-2023 18:40:29
nyenzo anazotumia mwanaadamu kujielimisha ambazo ni dhaifu
30-01-2023 16:11:05
Asalam Alyqum Warhmatullah Wabarakat
Wakati wa swala ya jamaa kwa wanawake, wanasimama hali yakuwa vifundo vyao vya miguu vigusane, inamaan waswali huku wametanua miguu au wakiwa wamebana miguu na kunyoosha swafu kwa kugusana mabega tu...??
13-04-2023 04:26:33
Ass alaykum?naomba kuuliza?jee ibada ya hijjah ilikuwepo kabla ya mtume Muhammad (s,a,w)?
29-03-2023 09:01:37
Asalam ALEYKUM,,,Ninahoji kitu ki1" " ktk mawaidha flani ,shekh alitoa namna ya kuoga,(Janabah) shekh asema nivizuri ukaanza na kutawadha kwanza ndipo uonge,,Sasa iweje nianze na kutawadha Ndipo nioge,AMA kuna namna sijamwelewa,kwasbb sasa kila 1 awa Mtoa mawaidha kadri anavyojua yeye, asante,,Asalam
03-03-2023 11:51:09
Samahani nilikua nauliza sunnah na mpangilio wake sijauelewa
31-01-2023 15:58:37
Dai lakuea mtume muhammad anafundishwa quran na watu na udhaifu wa madai haya
14-02-2023 06:09:48
Swali saut yangu inakwaruza nina kama miez 2 iv shda n nn?
28-03-2023 11:29:12
Asalam aleykum swali langu ni hv ni lazima muoge janaba kabla ya swala ya alfajir mkikutana mtu na mke wake katika funga ya ramadhan
23-03-2023 07:26:21
Assalamualaikum napenda kuhuliza kwenda kwa mganga kuchukua dawa ambayo sio ya kumzulu mtu niya matibabu tu je ni sawa
26-03-2023 10:30:08
Swali lang naomba kujuwa kufanya biashara ya play station au Games je naingia kwny haramu.
13-02-2023 07:38:21
Naomba matumizi ya komamanga kuhusu kusaidia kujitibia nguvu za kiume je unasaga juice ama kula kawaida tu asante
28-02-2023 11:39:26
Eda ya mwanamke aliyeachwa ni tohara 3, Eda ya mwanamke mjamzito ni mpaka atakapojifungua, Eda ya mwanamke aliyefiwa ni miezi 4 na siku 10, Jee mwanamke aliyefiwa na mumewe huku akiwa na ujauzito itakuaje eda yake?
05-05-2023 07:40:34
Suali langu kwanini mwanamke anatolewa mahari?
26-02-2023 08:39:14
Ni ipi Tofuti kati ya kusimamisha swala na kuswali
23-03-2023 11:07:54
Naomba Dua za kusoma wakati wa funga
28-03-2023 03:53:40
Asalamu Alaykum warahma tullah wa barakatuu naomba mwalimu wakunifundisha quran online
22-02-2023 04:36:10
Eleza kwa muhtasari kwa nni waislamu ktk jamii yako hawafikii lengo la kwao pamoja.na kutekeleza ibada maalum
30-01-2023 15:53:28
Kwanin tunasema samiaallah limanihamida hatusemi Allah akibalu
12-02-2023 11:28:47
Napenda kuelewa kuhusu mke Kam nimeishi nae mwezi 1. Na kupeana taraka Mali tutagawanaje au hakuna Cha kugawana
09-03-2023 12:41:14
Kwanin mwanaume anaoa wanawake zaid ya mmoja Kwan uyo mmoja hamtoshi
24-03-2023 19:21:48
Elezea mbinu 6 walizo tumiya makafiri wa maka katika kuhilikishwa wiisilamu
30-03-2023 06:16:34
Maana ya tawafu ni nini
30-01-2023 15:47:07
Mke atahitaji kukaa eda kwa muda gani nyumbani.na yapi anakatazwa mwanaume kwa kipindi hiko cha eda?.baada ya muda wa eda kuisha na hakuna maelewano je ruksa kwake kuondoka na ndoa kuvunjika??
04-05-2023 12:28:09
Nilikua naomba unisaidie jinsi ya kunuia swala ya usiku ile ya haja
06-03-2023 07:54:00
Dua kwa mama mjamzito anae umwa na hajifungui
15-03-2023 08:05:53
Madhara ya kufanya mapenzi na mama mjamzito
18-02-2023 12:08:12
Naomba kama app inaweza kunipa mawaidha ya audio niambieni Barakallahu fikum
07-02-2023 12:24:57
Ukitaka kujifanza Quran kwe njia yacm Ina wezekana
26-02-2023 13:16:21
Je mtu akitokwa na upepo yaani kujamba je lazima kutawadha kwanza ndo ashike udhu??
08-04-2023 16:07:19
Kusuka nywele zauzi ukaunganisha kichwani nimakosa au simakosa
21-05-2023 13:59:32
Mm na tanataka kujenga nyumba kama ya mtume Muhammad swalallahu aley wasalam ❤️. Je nitapataje ramani ya nyumba ya mtume Muhammad swalallahu aley wasalam
10-02-2023 16:21:17
Mimi ni ustadh nafundish madrasa sasa nimeombwa hapa kwenda kufundisha edk secondary
Sasa mnaweza nisaidia notes lakini namna ya kuandaa majaribio
06-02-2023 05:08:36
Je katika rakaa mbili za mwisho katika sala ya tahhijut unasoma tu surah alifatih basi au unasoma na surah zingine
20-04-2023 05:26:05
Asante sana na swala ya saa nane usik ina laka ngapi
19-02-2023 13:50:07
Wazazi na watoto wana wajibu gani katika uslamu na jamii yao
07-03-2023 06:24:48
Asalam alaykum naomba kuuliza ya'juj na mu'juj ni viumbe gan
17-02-2023 08:27:17
Kwa kutumia ushahid wa aya onesha kua quran ilishushwa katika usiku mtukufu wenye cheo
16-02-2023 04:23:17
Nilikuwa naomba kijuwa uwo utawala wa banu umayyah ulikuaj hadi kuondoka kwake
01-02-2023 12:28:05
Unatoa maoni gani iwapo wanaojua watakuwa sawa na wasiojua kiutendaji
30-01-2023 15:49:31
Naomba kuuliza,, mwanamke akitolewa barua ya posa na maari na mwanaume ambae siyo muislam na amemzalisha watoto,akitokea mwanaume wa kiislam akihitaji kumuoa kisheria kidini ya kiislam, je.utaratibu ukoje?
06-04-2023 14:09:04
Jee tunaweza kuangalia wasia anoacha mgonjwa mahututi aliouacha
25-02-2023 11:59:53
Je ni Sahihi kufunga mwezi wa shaaban katika siku 15 za mwisho
13-03-2023 13:57:13
Nna umri wa miaka 32 jinsia yangu ni Mwanamke, nilikua nauliza ni haram kunyoa nywele kwa kizuka siku ya 40 baada ya kufiwa
Au mpaka inapofikia miezi 4 na siku 10 ndio anyoe ?
23-02-2023 09:18:39
Historia ya dini ya kislamu inamfunza nini mwanadamu
28-03-2023 19:18:24
Assaalaam Alykum,
Mimi nataka kujua jinsi ya manuwiz ya swala ya eid, ahsantee
22-04-2023 08:35:27
Je inafaa kutoa talaka mbili kwa mkupuo mmoja?
14-02-2023 06:11:44
Vitabu vya hadithi wakati wa maswahaba
01-03-2023 04:22:47
Sababu za kuwa mwana adamu hawez kuishi bila ya dini
30-01-2023 15:50:56
Swali langu Mimi Nipo kwenye ofisi za mikopo nafanya kazi na izo ofisi zina liba ndani yake je mimi nae ni miongoni mwa Wala liba
Ni mwajililiwa katika ofisi za mikopo na ofisi izo zina liba ndani yake je mimi nae ni miongoni mwa Wala liba
21-02-2023 12:08:44
Assalaam a'laykum warahmatullahi wabarakaatuh! Shaykh mimi nauliza kuwa mke wangu ananiudhi kwa kuwasiliana na wanaume ambao sio mahrim zake na nikimgomea husema hawezi kuacha kuwasiliana nao hata nikimpa nasaha. Naomba nasaha nifanyeje maana nimefikisha kesi hadi kwa wazazi wake ila bado ananiambia kuwa Mimi nimemuowa yeye ila simu yake hainihusu.
10-02-2023 04:41:52
Nataka kufahamu vitabu vya mungu vipo vingapi
05-03-2023 04:44:04
Eda kwa mwanamke aliyeachwa yaani mwanamke anapoachila katika eda yake anafata vigezo gani?
23-02-2023 05:22:52
Katika mitume 25 walopewa ilmu na hikma ni wangapi na ni akina nani? Wabillahi taufiq
12-02-2023 04:30:08
je katika uislam maulid zinaruhisiwa?
25-03-2023 18:36:21