Neno kusai lina maana gani katika hijja?
Nko na swali wakat unaanza kula unatamka vip. Bismillah Rahman Rahim ama watamka Bismillah pekeake.
Asalaam alyka kwan saa mbli (insha) ina laka ngap
Swali kangu ni: Je Mwanamke mwenye heidh aweza kushika msahafu?
Yale manii yanaotoka mwishoni mwa haja ndogo yanabatilisha funga?
Kwa nini mnasema nguruwe ni najisi? Na tukila hatutendi dhambi?
Asalam Alyqum Warhmatullah Wabarakat
Wakati wa swala ya jamaa kwa wanawake, wanasimama hali yakuwa vifundo vyao vya miguu vigusane, inamaan waswali huku wametanua miguu au wakiwa wamebana miguu na kunyoosha swafu kwa kugusana mabega tu...??
Je,ni ipi dalili itakayonijulisha kua Leo ni usiku wa lailatu likadri ili niombe hiyo dua?
NAOMBA USINAIDIE MASHAGANZI ZAKE NA MTUME S,aw WALIKUWA WANGAPI NA MAJINA YAO WALIITWAJE??
Mana kunamtu ameniambia kua maiti anamashid sijamuelewa ndoman nimewauliza nyie kama wapo niwajue
Habari, samahani, naomba kuuliza ukisha tamka shahada ndo tayari kusilimu ama kuna utaratibu mwingine?
Swalaa ya istikhara yaswaliwa vip???
Nilikuwa nahitaji mafundisho zaidi kwenye suala la kuswali na dua zake ili niweze kuswali kikamilifu na kusimamisha swala bila kumkwaza allah
Hatua za kuondosha maovu katika jamii
Assalamualaikum napenda kuhuliza kwenda kwa mganga kuchukua dawa ambayo sio ya kumzulu mtu niya matibabu tu je ni sawa
Bilali alikkuwa swahaba wa kipind Cha Nabii Gani?
Je unaruhusiwa kulala na mke endapo hujaanza kukaa itiqaf ya masiku kumi haya ya mwisho? Ijapokuwa yameshafika ila cjaanza kukaa itiqafu.
Assalamualaikum naomba kuhuliza kula kitu ambacho kimechinjwa na mtu anae kunywa pombe ni sawa
Mimi nikitaka kuoa mke wa pili kunahaja ya kumtaarifu bimkubwa na kama nikimtaalifu akakataa je nifanyeje?
je ni dua ipi imependekezwa zaidi katika swala hii ya tahajjud
Assalamualaikum naomab kujua kivaaa suali ukavuka kufundo ch a mguuni ni sawa
Elezea mbinu 6 walizo tumiya makafiri wa maka katika kuhilikishwa wiisilamu
Ooh! Me bado mwanafunzi naomba kujua hatua ya kwanza nikifika kwenye nyumba ya Ibada
Je khalifa Abubakar alitawafu vipi?
Ushindi gani waliupata waislamu kwenye mkataba wa hudaybia
Jina la baba wa mke nabii musa
Swala ya dhuha je unasoma Sura yeyote ama ina Sura maalum
Assalamu alaikum je mwanamke kadai talaka naakainunua baadae akataka kurewa je rejea ipo nakama ipo kuhusu mahari je
Asalam aleikum warahmatullah wabarakatuhu, mimi nimemuachia mke wangu zakatul fitri aigawe ,bahati mbaya mlengwa katafutwa zaidi ya mara mbili hakupatikana ,kaja kupatikana baada ya swala ya iddy, nini hukumu ya hiyo zaka?
Às/alaikum.naomba kuuliza kupagiwa formula ya mgao wa mirathi..marehem kaacha mil 18 kaacha watoto wa kiume 5 na wa kike 6
swali mim nahitaji kujua herf zakuruani
Asalam aleykum warahmatullah wabarakatu naomba kuuliza kwamba Nia peke yake inatosha kumfanya mtu awe ameingia katika uislam bila kutaja shahada
Pili kama mtu akashududia kwa kiswahili je inaswihi?
Naomba kuuliza taratibu za kupata cheti cha ndoa. Ndoa ya kiislam imefungwa na shekhe, kwa kawaida taratibu za kupata cheti cha ndoa baada ya ndoa kufungwa zikoje / kinapatikanaje? Na ni Baada ya muda gani?
Unatoa maoni gani iwapo wanao jua na wasio jua wapo sawa kiutendaji
Umuhim wa historia ya maimam wa fiqhi
nina swali.mke wangu alikataliwa na ndugu asirudi kwangu nayeye akakubali leo sina mawasilia miezi 4 sasa je Bado kuna ndoa japo?
Je ni Sahihi kufunga mwezi wa shaaban katika siku 15 za mwisho
Mimi ni mwanaume na ninamiaka 32 naomba kujua maneno ya kikao cha tahyatu
Madhara ya kufanya mapenzi na mama mjamzito
Je najisi ya mbwa kukuramba inaenea? Kwa mfano akakulamba ww kwenye mkono halafu wewe ukaja kunisalmia mimi nikakushika sehem ileile alokulamba mbwa
Assalamualaikum warahmat llah wabarakat... Samahan nlikuw naswali ni ipi hukmu ya mwanamke kupaka dawa Kam pambo Kwa mme wake
Unatoa maoni gani iwapo wanaojua watakuwa sawa na wasiojua kiutendaji
Asalam alaykum warahmat llah wabarakat kitabu cha swala yasunnatul nikizuri ila ktk kutazama kuna kwala yasunnatul tasbih sjaiyona sheh wang namm niltaka kujuwa mafunzo ya jimsi mtu anavyo swal sunatl tasbih
Assalaam alaykum warahama tullah, shekh Mimi nataka duwa ya kutosherezwa na Allah katika jambo langu je nitaipataje nataka kui hifazi.
Nina janaba nifanye nini
Kwanin tunasema samiaallah limanihamida hatusemi Allah akibalu
Aww ninaweza kupata clips za namna ya kuswali swala vita, namna ya kuosha maiti
Asalaaam aleykum ndugu naweza kupata. Maana ya jina la Ulya ndani ya quran tukufu. Sura na ayat
Asalam aleyikum warahmatullah wabarakatuh swali langu ni hivi mimi nimeolewa miaka 8 iyopita ila mwaka juzi mwezi12 Allah akanitahin nimepatatihani wa maradhi ya ganzi yamepelekea kutokutembea mama zamani,mume wangu ameniuguza mpaka mwezi wa 7 mwaka jana akanitelekeza yani aniudumii mimi wala mtoto na nikimpigia simu anaongea hovyo tu nimeamua kumdai talaka ataki kunipa lakini hivi karibuni ameniatamkia maneno Machafu kua ataki kunipa talaka kwakua ajawahi kunioa na ajanopenda hata siku1 mimi nikampiga mshenga na shahidi nao wakajaribu kizungumza nae akawakatia Simu swalilngu je,naweza kujivua kwenye ndoa hii?au nifanyeje mpaka nipate haki yangu ya talaka
Asalam alkum mimi nimepewa talaka tatu pasipo na shahidi yoyote je hapo talaka amenipa kwa usahihi?
Samahan mi naomba unifundishe ukisha jifungua unaoga je?
Assalamu 'alaikum warahmatullah wabarakatuh. Na swal. Je, inaswihi kwa muislamu kuswali juu ya kaburi kwa lengo la kumuuombea maiti iliyomo ndani ya hilo kaburi
Swali juu ya swala ya tarawh unaweza kuswal baada tu ya insha
Asalsm
Alayku.nilikuwa nauliza yafaa kumpa mamamdogo zakatil fitri
Ilkuw nina xhid na ninaomb nipat jib la hili Qn ambalo ni ..kwa kutuamia ushahid 4 ya kihistoria thibitish kuw ufufuo ni jamb jepesi
Naitwa mustapha nipo songea, je quraan inapaswa kusomwa nyakat gan
As,alykum,فتنةا،نقلب علاوجهه ndugu .muislamu,naomba,nisaidie,endapo nitasimama kwenye,neno fitnatun.neno la mbele nitalianzaje?
nataka kujifunza jinsi ya kuswali na je? rukuu nini
Naomba kuuliza zipi sababu zilipelekea kuanguka dola ya kiislam
Je kama mwanangu ananitolea zakat fitri na Mimi itanilazimu tena kujitolea mwenyewe?
Je itaondokaje hadathi kubwa kama pakikosekana maji
Naomba vipi qadar ya mwenyezi mungu ina athiri Manisha ya muumini
Swali langu Tofautisha maadili kwa mtazamo wa uislamu na kitwaghuti
Ustadh A'laikum, mimi nna suala hapa je ukitaka jambo lako fulani lifanikiwe dua gan ambayo unatakiwa kuomaba?ilo jamboo la kherii tu
je inawezekn kuswalia nyumbn swal y usiku
Swallat tahajjud ina rakaa ngapi?
Wakati wa kuswalia mait,Yawezekana unapenda kuswali,Maiti wako,ila humjuzi wa hiz Dua, yafaa nikafanya kwa vitendo? Siri yangu Kimoyomoyo,?
Kuna baadhi ya watu wanasema qur-an ni kiumbee na wengine wanasema cyo kiumbee ni upii usahihi
Kwema, je hii swala ya dhuha nitaiswalije au hatua zake zikoje kipindi cha kuswali hii swala
Nataka kufahamu vitabu vya mungu vipo vingapi
Mm nataka nifahamishe jinsi ya kusali kuanzia rakaa ya mwanzo mpaka kumalizika
Habari nijins gani yakuandk talaka
Naomb kuuliza ukiswali witri katika baada ya ishaa vipi unaruhusiwa kuamka usik kwa ajili ya sunna nyingne
Je? Kwa mtu ambaye amevunja kiapo anatakiwa kuwalisha maskini kumi chakula cha katikati anachowalisha watu wa nyumbani kwenu. Sasa swali langu chakula cha katikati kiasi gani na anatakiwa apeleke kwa muda gani?
Samahani sheikh wangu nilikuw naomba kujua swalat haja huwa inaswaliwa wkt gani na ina rakaa Ngap?
Napenda kuelewa kuhusu mke Kam nimeishi nae mwezi 1. Na kupeana taraka Mali tutagawanaje au hakuna Cha kugawana
Jee ukimpa mkeo talaka kwa hasira bila ushahidi yoyote yapita.
Eda ya mwanamke aliyeachwa ni tohara 3, Eda ya mwanamke mjamzito ni mpaka atakapojifungua, Eda ya mwanamke aliyefiwa ni miezi 4 na siku 10, Jee mwanamke aliyefiwa na mumewe huku akiwa na ujauzito itakuaje eda yake?
Naomba matumizi ya komamanga kuhusu kusaidia kujitibia nguvu za kiume je unasaga juice ama kula kawaida tu asante
Ni zipi ishara zilizomo katika nafsi ya mwanadam
Mjane akiacha Mali halafu akawa Ameacha watoto wa Tano mmoja mwislam wengine wakristo na mjane alikuwa mwislam, swali langu Hawa watoto ambao ni wakristo Wana haki ya kumrithi mama Yao? Naomba unisaidie majibu pamoja na kifungu kitakacho patikana juu ya jibu lako. Asante
Mume kampa talaka mkewe baada ya siku mbili tatu mume kamuhitaji mtalaka wake na wakakutana wakafanya yao, lakini hajamtamkia kama kamrejea, je hapa atakua kashamrejea au amezini nae?*
Swali langu Mimi Nipo kwenye ofisi za mikopo nafanya kazi na izo ofisi zina liba ndani yake je mimi nae ni miongoni mwa Wala liba
Ni mwajililiwa katika ofisi za mikopo na ofisi izo zina liba ndani yake je mimi nae ni miongoni mwa Wala liba
Je maneno yakwenye bible ni ya uongo
Naomba kuuliza,, mwanamke akitolewa barua ya posa na maari na mwanaume ambae siyo muislam na amemzalisha watoto,akitokea mwanaume wa kiislam akihitaji kumuoa kisheria kidini ya kiislam, je.utaratibu ukoje?
Habari nilikua nahitaji Mafunzo namna ya Kuswari na dua zake Kwa njia ya sauti ataiyatu ndio siwezi
Assalam alaykum warahmatullahi wabarakatuh
Hivi ktk uislam inaruhusiwa kumuoa mtu niliyemtia mimba ikiwa bado hajajifungua?
Naomba unifundishe namna ya kusimamisha sala ya tarawehe na witir
Asalam alaykum.ninaomba kuulz swali je ukiwa n majosho mawl mfano hedhi n nifasi je utaoga moja Kwa kukusudia majosho yote au utaoga moja moja Kila Josho Kwa kujitegemea
Asalam alaykum naomba kuuliza ya'juj na mu'juj ni viumbe gan
Asslm alkm?swali:mke wa nabii nuhu aligharikishwa au?
Jee nabii mussa alilelewa na nani?
Kwa kutumia ushahid wa aya onesha kua quran ilishushwa katika usiku mtukufu wenye cheo
Kwan mbon wanasema kusom dua kabr yakumuswalia Mtume nakabr yakutoa slm nidua gan nakuomb nisayidie
Je Kama mtu hajawa na uwezo wakulipa hiyo zakatuli fitri swaumu yake haitopokelewa?
Vipi kuhusu kukanyaga kinyesi kisicho chako inabatilisha udhu?
nimetofautiana na mke wangu tangu siku ya kwanza ya ndoa nimevumilia miaka 2 sasa nikijua atabadilika lakini tabia bado haibadili nifanyaje sinafraha siku zote
Naomba kuliza Kama mke yupo mbali kumrejea mke alieachwa talaka moja kwa njia ya simu inafaa au haifai?
Toa hoja nane za kuonyesha jinsi Mtume alivyo andaliwa ki ilham na kimafunzo .
Samahn mwalim naomba unisaidie aina Saba za usomaji wa Quran
Taja aina saba za usomaji na mashehe wake na nchi zake kabla ya kuhifadhiwa quran katk msahafu lakwanza ilo