Pata majibu ya maswali yanayokuhusu
Jee nduguzake na Nabii YUSUFU walikua na mama mmoja au kila nduguye na mamake?
02-04-2023 05:06:48
Mke wa mtu Ana weeza kutenguwa mumewe? N'a nguo yakuazima ina twahara?
03-03-2023 05:04:53
je ni ipi hukumu ya mke alietamkiwa na mume wake kuwa akifanya tendo na m/me mwengine ndio talaka yake na mke akafanya zaidi ya mara tatu?
21-04-2023 14:03:04
asalam aleykum nataka kuhuliza mwanamke mwenye hedhi anaruhusiwa kusoma quran aliyo hifazi kichwan mwake yan bila kushika msahafu
28-03-2023 19:08:54
Mm nauliza sual kwann baada ya mtume Muhammad hakuletwa mtume mwengine
30-03-2023 06:33:59
nina swali.mke wangu alikataliwa na ndugu asirudi kwangu nayeye akakubali leo sina mawasilia miezi 4 sasa je Bado kuna ndoa japo?
20-03-2023 17:49:14
Neno kusai lina maana gani katika hijja?
29-03-2023 05:31:53
Kuna Jambo lini ni tatiza ya kutofautisha ibada naعادي kwa mfano kula chakula hii ni ibada Au عادي ?
09-03-2023 12:34:57
Habari nilikua nahitaji Mafunzo namna ya Kuswari na dua zake Kwa njia ya sauti ataiyatu ndio siwezi
05-03-2023 04:45:14
Jina la baba wa mke nabii musa
30-01-2023 15:57:39
Asalam alaykum natka kujuwa kisa Cha ngo'mbe wa baniii israil
11-03-2023 06:22:22
Assalamualaikum warahmat llah wabarakat... Samahan nlikuw naswali ni ipi hukmu ya mwanamke kupaka dawa Kam pambo Kwa mme wake
06-05-2023 06:34:27
Às/alaikum.naomba kuuliza kupagiwa formula ya mgao wa mirathi..marehem kaacha mil 18 kaacha watoto wa kiume 5 na wa kike 6
20-02-2023 11:02:34
Elezea mbinu 6 walizo tumiya makafiri wa maka katika kuhilikishwa wiisilamu
30-03-2023 06:16:34
Nilikuwa nauliza kama hujafunga ndoa unaluhusiwa kuswali swala tano
02-03-2023 06:06:33
je kuna hukumu ukifunga siku ya kufungua sita?
29-04-2023 06:27:24
Habari samahani naomba kujua historia ya Lebanon juu ya uislamu?
04-03-2023 05:06:29
nauliza ya kwamba kama simfaham dua za swala za usiku nafanyaje kwani huwa naswali lakini naswali kawaida tu na hvi nimetoka kuswali.
26-04-2023 06:03:26
asalam aleykum samah naomba kuuliza,endapo nimemkuta imamu anaswalisha ile nimefika tu akarukuu na mimi nikarukuu je nitaesabika niko nae sawa kama ni swala ya adhuhuri.
06-04-2023 12:07:39
Je kula chakula ni ibada Au ni ada
09-03-2023 04:36:32
Asalam alykum nikuwa nauliza ety vifungu vya faradhi ni vingapi?
28-03-2023 04:01:29
nyenzo anazotumia mwanaadamu kujielimisha ambazo ni dhaifu
30-01-2023 16:11:05
Ukitaka kujifanza Quran kwe njia yacm Ina wezekana
26-02-2023 13:16:21
Je najisi ya mbwa kukuramba inaenea? Kwa mfano akakulamba ww kwenye mkono halafu wewe ukaja kunisalmia mimi nikakushika sehem ileile alokulamba mbwa
26-03-2023 10:20:10
Hatua za kuondosha maovu katika jamii
30-01-2023 15:51:22
Je? Hawa waislam waliofunga Katie lipinski cha mwezi waradhan na wako na wake ambao hawajafunga nao ndoa japo wamekaa nakuzaa watoto zaid ya watatu je funga hizi zinaswihi?
02-04-2023 06:05:18
Nna umri wa miaka 32 jinsia yangu ni Mwanamke, nilikua nauliza ni haram kunyoa nywele kwa kizuka siku ya 40 baada ya kufiwa
Au mpaka inapofikia miezi 4 na siku 10 ndio anyoe ?
23-02-2023 09:18:39
Asante na kama ukipata haja kabwa au ndogo na ukastanji ni lazima kuchukua udhu tena ?
19-02-2023 17:53:16
Je mwanamke mjamzito anapiz wakati wa tendo?
08-03-2023 05:35:28
Nilipilengo la swala kwa hoja ya quran na hadithi
24-04-2023 13:05:14
Nabii lut alikwenda wapi baada ya gharika
02-04-2023 05:52:48
Je itaondokaje hadathi kubwa kama pakikosekana maji
28-02-2023 03:46:50
Vitabu vya hadithi wakati wa maswahaba
01-03-2023 04:22:47
Swalaa ya istikhara yaswaliwa vip???
21-02-2023 04:00:26
je katika uislam maulid zinaruhisiwa?
25-03-2023 18:36:21
Naomba kujuwa Masharti 5 ya vazi la kiislam
23-02-2023 05:26:34
Dua kwa mama mjamzito anae umwa na hajifungui
15-03-2023 08:05:53
Asalam alaykum warahmat llah wabarakat kitabu cha swala yasunnatul nikizuri ila ktk kutazama kuna kwala yasunnatul tasbih sjaiyona sheh wang namm niltaka kujuwa mafunzo ya jimsi mtu anavyo swal sunatl tasbih
22-04-2023 08:30:44
Asalsm
Alayku.nilikuwa nauliza yafaa kumpa mamamdogo zakatil fitri
22-04-2023 08:36:15
Naitaji kujifunza hatua zote za swala kuanzia kutia udhu pamoja na kusimamisha swala
05-03-2023 20:46:37
mke aliejifungua au kuharibu mimba kabla ya kuoga nifasi akapewa talaka na mumewe je mwanamke huyu anapaswa kukaa eda?
15-04-2023 04:27:12
Asalam alaykum nataman kujua zaidi kuhusu kisimamo Cha usiku
08-03-2023 05:32:40
Asalaam aleykum. Ni matumaini yangu ya kwamba m buheri wa afya. Nilikua nataka kufahamu utaratibu wa kutoa talaka kwa mke ambae bado hujamaliza kulipa mahari yake.
17-03-2023 07:25:01
Mafunzo yapatikanayo katika vita vya tabuki
17-02-2023 14:36:01
Je inaruhusiwaa kuswali ikiwa kuna baadhi ya dua ambazo yapaswa kuzitumia ndani ya swala na haujazikaririi vizurii
25-03-2023 13:06:58
Naomba nifundishwe jinsi yakunuwia swala ya ijumaa
28-01-2023 20:59:24
Assalamualaikum naomab kujua kivaaa suali ukavuka kufundo ch a mguuni ni sawa
17-03-2023 11:54:22
Je n mke gani alikufa shaidi enzi za mitume
15-02-2023 07:21:01
Habari, samahani, naomba kuuliza ukisha tamka shahada ndo tayari kusilimu ama kuna utaratibu mwingine?
21-05-2023 13:27:54
Ooh! Me bado mwanafunzi naomba kujua hatua ya kwanza nikifika kwenye nyumba ya Ibada
06-03-2023 07:55:21
Mm na tanataka kujenga nyumba kama ya mtume Muhammad swalallahu aley wasalam ❤️. Je nitapataje ramani ya nyumba ya mtume Muhammad swalallahu aley wasalam
10-02-2023 16:21:17
Naomba unifundishe namna ya kusimamisha sala ya tarawehe na witir
23-03-2023 12:45:03
Nataka kujua nini mtazamo wa kikafiri juu ya dini
15-03-2023 08:49:04
Nimeona darsa kidogo juu ya suala la talaka.swali langu ni je??..kama umempa talaka moja mkeo bila ya mashahidi waadilifu.je kuna tatizo katika uhalali wake??
04-05-2023 12:25:39
Asalaam Aleykum warahmatulahi wabarakatuhu, mimi swali langu ni kuhusu Rukuu, ukiwa kwenye Rukuu macho unafaa kuangazia wapi? kunao wanao sema unafaa kuangalia unako enda kusijudu na wengine husema unafaa kuangalia vidole vya miguu zako. ni ipi sahihi naomba kufahamu. Shukran wabillahi tawfiq
28-01-2023 20:04:16
Je mwezi mtukufu wa Ramadhani umekalibia je kama ukiwa umefunga afu bado upo unafanya kazi iyo ya riba je funga itakuwa salama
21-02-2023 12:20:19
Je,ni ipi dalili itakayonijulisha kua Leo ni usiku wa lailatu likadri ili niombe hiyo dua?
20-04-2023 05:33:47
Asalam aleykhum ,he mtu huweza kudumu na udhu kwa swala zote tano kama hatopatwa na moja ya yayotengua udhu ?
19-02-2023 17:50:42
Ustadh A'laikum, mimi nna suala hapa je ukitaka jambo lako fulani lifanikiwe dua gan ambayo unatakiwa kuomaba?ilo jamboo la kherii tu
27-03-2023 18:10:17
Naomba kama app inaweza kunipa mawaidha ya audio niambieni Barakallahu fikum
07-02-2023 12:24:57
A,aleikum
Mwanamke akiwa kwa eda ndo kwanza anaanza kuuachwa je inarusikika mke uyo kwenda kwa kadhi na kudai talaka ?
30-01-2023 16:58:22
Assalam alaykum shekhe naomba kuuliza ikiwa mke amefariki amewacha mume tu na Hana ndugu Wala watoto wa kumrithi ni mume tu je mume anapata nusu ile ile au anarithi Mali yote?
26-04-2023 05:50:14
Swala ya dhuha je unasoma Sura yeyote ama ina Sura maalum
24-03-2023 10:36:39
je inawezekn kuswalia nyumbn swal y usiku
18-04-2023 08:53:10
Assalaam alaykum warahama tullah, shekh Mimi nataka duwa ya kutosherezwa na Allah katika jambo langu je nitaipataje nataka kui hifazi.
16-02-2023 04:21:55
Jana alikuja alielua mume wangu akawaambia watu kua nimemuacha s mke wangu je nataka kujua ikiwa ni lazima akicha kue na mshahid wa kweli je hapo talaka imepita na kama imepita anafaa kunipa karatas au haifai
28-02-2023 05:57:10
Habari nijins gani yakuandk talaka
18-02-2023 06:08:34
Je ni Sahihi kufunga mwezi wa shaaban katika siku 15 za mwisho
13-03-2023 13:59:48
Toa hoja nane za kuonyesha jinsi Mtume alivyo andaliwa ki ilham na kimafunzo .
22-03-2023 04:12:52
Bainisha sifa za dini sahihi amboyo anastahili kufuata
30-01-2023 15:52:44
Asalam aleykum swali langu ni hv ni lazima muoge janaba kabla ya swala ya alfajir mkikutana mtu na mke wake katika funga ya ramadhan
23-03-2023 07:26:21
Sababu zinazopelekea kutofikia lengo la zakka na sadaka
14-03-2023 05:46:47
Assalam alaykoum warahmatullahi wabarakatuh,,,ni Nan anayeruhusiwa kufunga lkn atatoa fidia ya kulisha masikn mmoja kila cku
24-03-2023 06:05:43
Nataka kujua nini maan ya talaka na edaa
29-01-2023 19:21:26
Je naruhusiwa kuchinja nikiwa nimefunga ramadhani?
15-04-2023 04:22:37
Asalam alaykum.ninaomba kuulz swali je ukiwa n majosho mawl mfano hedhi n nifasi je utaoga moja Kwa kukusudia majosho yote au utaoga moja moja Kila Josho Kwa kujitegemea
12-03-2023 11:20:36
Samahan mi naomba unifundishe ukisha jifungua unaoga je?
28-01-2023 20:03:40
Assalam alaykum warahmatullahi wabarakatu.
Samahani naomba kufahamu kwa mwanamume alie muacha mkewe kwa talaka tatu nikipi kifannyike ama taratibu gani zinapashwa zichukuliwe ili mwanamume huyo aweze kuishi tena kihalali na alie kua mkewe.
24-04-2023 13:51:11
Pia niliomba kufahamu. Ni shuruti panapo paswa kufungwa doa basi baba kutoa idhi ya kuozesha au humuozesha bintie swali je?
kwabinti alie zaliwa nje ya ndoa ninani anae husika kwenye utoaji waidhini au kuozesha binti huyo?.
Assalam alaykum
25-04-2023 04:33:02
swali mim nahitaji kujua herf zakuruani
31-01-2023 06:04:05
Naomba kujua tofauti kati y hadithi qudsi na hadithi nabawiy
16-03-2023 05:00:51
Shekh zangun kwanza nashkur kwakutoa fursa hii ya kuuliza isichokijua ktk din yetu swali langu nikwamba miminikienda kuswali mskiti ambao hausomi Bismillah kwenye swala za sauti swala yangu itakuwa sawia ama batili?
19-02-2023 11:33:10
Unatoa maoni gani iwapo wanaojua watakuwa sawa na wasiojua kiutendaji
30-01-2023 15:49:31
Swali saut yangu inakwaruza nina kama miez 2 iv shda n nn?
28-03-2023 11:29:12
Mm naomba kuuliza,. Ni kijana gani alieaminiwa na bwana Abu Talib ambae aliemkabidhi mtume s.w.a amrudishe Makka?
21-05-2023 13:49:40
Eda ya mwanamke aliyeachwa ni tohara 3, Eda ya mwanamke mjamzito ni mpaka atakapojifungua, Eda ya mwanamke aliyefiwa ni miezi 4 na siku 10, Jee mwanamke aliyefiwa na mumewe huku akiwa na ujauzito itakuaje eda yake?
05-05-2023 07:40:34
Je vp Kwa mfano mtu katia nia yakuhij lakini kufikiya hile sku ya kuhiji akapoteza maisha je mtu huyo ataesabiwa vp
23-03-2023 07:59:06
Assalam aleykum nilikuw nauliza je Kuna dua yyote ya kumsomea mait wakati wakumuosha??
04-03-2023 05:04:48
Hlw ,am sami ,na shida ya macho Kwa mda mrefu je nikitumia vita hivi nitakuwa sawa Kwa mda gani ?
05-05-2023 05:11:05
Asslm alkm?swali:mke wa nabii nuhu aligharikishwa au?
19-02-2023 10:33:32
Kwema, je hii swala ya dhuha nitaiswalije au hatua zake zikoje kipindi cha kuswali hii swala
11-02-2023 03:58:16
Nina swali mutu kuwa na mate machungu ndani ya miezi 6 ni dalil yq ukimwi?
07-03-2023 17:22:05
Mimi ni Binti wa miaka 24 ,Niko na mchumba ila ni Wa dini nyingine yaan christian nimejaribu kumshawishi na Kwa kiasi Fulani anakaribia kuelewa juu ya uislam , swali langu ni kwamba ni Kwa namna gani naweza mshawishi zaidi na vitu gani nifanye baada ya yeye kukubali kuwa Muslim? Assalam aleykhum!
24-05-2023 07:34:31
Nauliza vipi kuhusu nyiradi za wakati wa kuswali taraweh kunawengine wanasema na wengine hawasomi nataka nielewe apo
26-03-2023 10:17:45
Kwa nini mnasema nguruwe ni najisi? Na tukila hatutendi dhambi?
22-03-2023 04:21:07
Historia ya dini ya kislamu inamfunza nini mwanadamu
28-03-2023 19:18:24
13-03-2023 13:57:13
Je Nipo na mwanmke ndani Ambae Sijafunga nae ndoa na tunalala nae kitanda kimoja je zambi ya uzinzi ni mpaka mshiriki tendo
17-03-2023 13:47:55
nataka kujifunza jinsi ya kuswali na je? rukuu nini
28-03-2023 08:18:02
Nilisilim napenda Sana dini ya Islam lakini sijui hata pakuanzia
19-02-2023 13:53:44