Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Je inafaa kuchoma sindano wakati umo kwenye funga?
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 921
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
nina swali.mke wangu alikataliwa na ndugu asirudi kwangu nayeye akakubali leo sina mawasilia miezi 4 sasa je Bado kuna ndoa japo?
Suali langu kwanini mwanamke anatolewa mahari?
Mimi nikitaka kuoa mke wa pili kunahaja ya kumtaarifu bimkubwa na kama nikimtaalifu akakataa je nifanyeje?
Asalaam Alykum Nilikuwa Naomba Kujua kama mtu umepewa talaka tatu kwa pamoja hapo hpo na akiwa na ujauzito je hiyo ni sahih au inakuwaje hapo na pia mwanamke akamuondoka kwnye hiyo ndoa yake mpka kajifungua na hakurudi tena kwa mume wangu kwa mda wa miaka miwili ikapita na baada ya miaka hyo mumewe anataka amrejee je kitu gani cha kufanyika hapo
Assalam alaykoum warahmatullahi wabarakatuh,,,ni Nan anayeruhusiwa kufunga lkn atatoa fidia ya kulisha masikn mmoja kila cku
Naomba unifundishe namna ya kusimamisha sala ya tarawehe na witir