Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Kusuka nywele zauzi ukaunganisha kichwani nimakosa au simakosa
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 1260
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Mimi ni ustadh nafundish madrasa sasa nimeombwa hapa kwenda kufundisha edk secondary
Sasa mnaweza nisaidia notes lakini namna ya kuandaa majaribio
Kuamin malaika katika maisha yakil siku na athar zak
Asalaam aleykum naomba kuuliza mama yake marimu anaitwa nani?
Ninapo fanyia kazi niwa kristu mana nyumba nzima ime zunguukwa na misalaba na biblia je inaswihi kuswali katika nyumba hiyo
Nilipilengo la swala kwa hoja ya quran na hadithi
Nina suali. Naomba msaada, amefariki mtu ameacha, (1) ndugu yake wa kike wa baba mmoja, mama mmoja.(2) watoto wa ndugu yake wa baba mmoja wanaume na wanawake na (3) watoto wa ndugu yake wa mama mmoja tu. Naomba kujuwa uridhi utakuwaje? Ahsante