Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Nilikuwa nauliza kama hujafunga ndoa unaluhusiwa kuswali swala tano
Ndio ni lazima kuswali uwe umeolewa ama bado
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Aww ninaweza kupata clips za namna ya kuswali swala vita, namna ya kuosha maiti
Hiviukiwa Umefunga swarm unarusiwa kumuadhibu MTU au
Nilisilim napenda Sana dini ya Islam lakini sijui hata pakuanzia
Ustadh A'laikum, mimi nna suala hapa je ukitaka jambo lako fulani lifanikiwe dua gan ambayo unatakiwa kuomaba?ilo jamboo la kherii tu
Asalam alaykum warahmatullah wabarakatu vp Hali zenu mimi nilikuwa nahitaji kitabu sijajua kinaitwaje ila hicho kitabu kina mal islam kina nguzo za uislamu kina nguzo za lmani
nimetofautiana na mke wangu tangu siku ya kwanza ya ndoa nimevumilia miaka 2 sasa nikijua atabadilika lakini tabia bado haibadili nifanyaje sinafraha siku zote