Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Nilikuwa nauliza kama hujafunga ndoa unaluhusiwa kuswali swala tano
Ndio ni lazima kuswali uwe umeolewa ama bado
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Nina swali kwenye swala ya msafiri uyu mtu anasafiri uelekeo tofauti na kibla ataswali ivyoivyo
Dokta habari ya leo samahani mpenzi wangu limemsumbua sana tumbo kama siku 4 ama5 hivi, na nilivyo angalia tumbo lake nimeona mchilizi mweusi umetoka kwenye kitovu je hii nayo inaweza kuwa dalili ya mimba?
Assalamu alaikum je mwanamke kadai talaka naakainunua baadae akataka kurewa je rejea ipo nakama ipo kuhusu mahari je
Nataka kujua kuhusu historia za masheikh wa afrika mashariki na Elimu zao
nilitaka uniambie umuhimu wa kuamini qadar ktk maisha ya kila siku
Historia ya dini ya kislamu inamfunza nini mwanadamu