Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Nilikuwa nauliza kama hujafunga ndoa unaluhusiwa kuswali swala tano
Ndio ni lazima kuswali uwe umeolewa ama bado
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Je nikitaka kutia mwili wangu udhu wa nifasi je naanzia wapi nafanyaje
Assalamualaikum naomba kujua maan ya bidaa
Kwan mbon wanasema kusom dua kabr yakumuswalia Mtume nakabr yakutoa slm nidua gan nakuomb nisayidie
Habari samahani naomba kujua historia ya Lebanon juu ya uislamu?
Mwanamke anapotalikiwa yapaswa kwake kufanya nini na kutofanya nini
Nikiswalia nyumbani swala zote ni sawa tofauti ijumaa