Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Nilikuwa nauliza kama hujafunga ndoa unaluhusiwa kuswali swala tano
Ndio ni lazima kuswali uwe umeolewa ama bado
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
samahani mimi nilikuwa mkirst nimeslm kuwa muisalm nimeolewa je nahitaji kujuwa kila swal inalaaka ngap samahani
Swali saut yangu inakwaruza nina kama miez 2 iv shda n nn?
Nataman kujua Jins ya kujitwaharish kujua kuswali na kusoma Quan je unanisaidiaj?
Nafasi ya akili katika kumtambua Allah
je ni ipi hukumu ya mke alietamkiwa na mume wake kuwa akifanya tendo na m/me mwengine ndio talaka yake na mke akafanya zaidi ya mara tatu?
Kwan mbon wanasema kusom dua kabr yakumuswalia Mtume nakabr yakutoa slm nidua gan nakuomb nisayidie