Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Nilikuwa nauliza kama hujafunga ndoa unaluhusiwa kuswali swala tano
Ndio ni lazima kuswali uwe umeolewa ama bado
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Nina suali. Naomba msaada, amefariki mtu ameacha, (1) ndugu yake wa kike wa baba mmoja, mama mmoja.(2) watoto wa ndugu yake wa baba mmoja wanaume na wanawake na (3) watoto wa ndugu yake wa mama mmoja tu. Naomba kujuwa uridhi utakuwaje? Ahsante
Assalamualaykum Mimi suali langu linasema Elezea mitihani mitano aliyopewa nabii Ibrahim na Mola wake na namna alivyoifaulu mitihani iyo
Je kama mwanangu ananitolea zakat fitri na Mimi itanilazimu tena kujitolea mwenyewe?
Sheikh nina swali langu kidogo nataka kuliza Kabla ya kunirudia ile talaka ya pili akaniandikia kwenye simu ya 3 je itakua zimesha malizika zote 3 Mume wangu aliniacha talaka moja alafu aka nirejea tukakaa baada ya kipindi kdg akaja kuniacha talaka ya 2 akanirejesha kwetu
Mm naomba ufafanuzi ikiwa mume alikaa sehemu nakusema maneno haya " mm mke wangu nishamuwacha" na mke wake hakumwambia hilo lkn ameisema kauli hio. Jee talaka hii itakuwa imesihi ?
Nauliza hv unaposwali swala yeyoe kuna dua yake au unaweza soma sura yoyote unayoijua