Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Nilikuwa nauliza kama hujafunga ndoa unaluhusiwa kuswali swala tano
Ndio ni lazima kuswali uwe umeolewa ama bado
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Ukitaka kujifanza Quran kwe njia yacm Ina wezekana
Ni zipi ishara zilizomo katika nafsi ya mwanadam
Ni nini kifanyike ili lengo la nguzo za uislamu zifanikiwe. Hoja nne
Samahn,,ati ni mwaka wa ngapi ilifaradishwa funga?
Asalaam alaykum? Shekhe naomba unisaidie khutuba ya ijumaa kwa kiswahili, maana nipo kijijini. Siku moja ilitokea kuswali adhukhuri kwa sababu imamu alikua anaumwa, na hii itasaidia kwa dharula Kama hizi.
Hatua za kuondosha maovu katika jamii