Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Maana ya tawafu ni nini
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 89
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Mm naomba ufafanuzi ikiwa mume alikaa sehemu nakusema maneno haya " mm mke wangu nishamuwacha" na mke wake hakumwambia hilo lkn ameisema kauli hio. Jee talaka hii itakuwa imesihi ?
Ass alaykum?naomba kuuliza?jee ibada ya hijjah ilikuwepo kabla ya mtume Muhammad (s,a,w)?
Asalam alaikum warahmatullah wabarakatuh. Mimi nna suali kuna mtu kafa alizaa mtoto mmoja mtoto wa kiume kafa kabla ya mama . Baadae mama kafa hana mtoto mwengine ila kuna wajukuu wa mtoto wake huyo mmoja wa kiume aliyekufa na pia kuna dada yake baba mmoja hao tuu ndio waliomzunguka wakaribu wengine ni watoto wa dada zake jee mirathi hapo inakuaje?
Eleza jinsi dini ya uislam unavyoweza kumkomboa mwanaadam na sio venginevyo
Je katika rakaa mbili za mwisho katika sala ya tahhijut unasoma tu surah alifatih basi au unasoma na surah zingine
Nko na swali wakat unaanza kula unatamka vip. Bismillah Rahman Rahim ama watamka Bismillah pekeake.