Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Habari samahani naomba kujua historia ya Lebanon juu ya uislamu?
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 606
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Asalam aleykum shekhe,mgawanyo wa elim dunia na elim akhera haukubalik kwa sababu zipi zingine
Nina swali kwenye swala ya msafiri uyu mtu anasafiri uelekeo tofauti na kibla ataswali ivyoivyo
Ni nini kifanyike ili lengo la nguzo za uislamu zifanikiwe. Hoja nne
Asalam aleykum nauliza kwamba uko ndani ya ndoa ila umesahau kukoga janaba unaluhusiwa kufunga
Pia niliomba kufahamu. Ni shuruti panapo paswa kufungwa doa basi baba kutoa idhi ya kuozesha au humuozesha bintie swali je?
kwabinti alie zaliwa nje ya ndoa ninani anae husika kwenye utoaji waidhini au kuozesha binti huyo?.
Assalam alaykum
Je,ni ipi dalili itakayonijulisha kua Leo ni usiku wa lailatu likadri ili niombe hiyo dua?