Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Habari samahani naomba kujua historia ya Lebanon juu ya uislamu?
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 606
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Mimi nikitaka kuoa mke wa pili kunahaja ya kumtaarifu bimkubwa na kama nikimtaalifu akakataa je nifanyeje?
Wakati wa kuswalia mait,Yawezekana unapenda kuswali,Maiti wako,ila humjuzi wa hiz Dua, yafaa nikafanya kwa vitendo? Siri yangu Kimoyomoyo,?
Mke atahitaji kukaa eda kwa muda gani nyumbani.na yapi anakatazwa mwanaume kwa kipindi hiko cha eda?.baada ya muda wa eda kuisha na hakuna maelewano je ruksa kwake kuondoka na ndoa kuvunjika??
Asalaam alaykum w wabarakat ustadh je kama umeshiriki tendo la ndoa ktk mwez wa ramadhan kisha ukapitiwa na usingiz mpaka alfajir ikafika ukawa ujajitwaharish je unaweza kuendelea na swaum bi maana swaumu yako itaswihi
Ninapo fanyia kazi niwa kristu mana nyumba nzima ime zunguukwa na misalaba na biblia je inaswihi kuswali katika nyumba hiyo
Assalam alaykum warahmatullahi wabarakatuh
Hivi ktk uislam inaruhusiwa kumuoa mtu niliyemtia mimba ikiwa bado hajajifungua?