Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Nina janaba nifanye nini
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 1
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Eda kwa mwanamke aliyeachwa yaani mwanamke anapoachila katika eda yake anafata vigezo gani?
je kuna hukumu ukifunga siku ya kufungua sita?
Habari, samahani, naomba kuuliza ukisha tamka shahada ndo tayari kusilimu ama kuna utaratibu mwingine?
Je ukitokwa na manii baada ya kufungua kinywa Kuna batilisha funga Yako ?
Ni ipi Tofuti kati ya kusimamisha swala na kuswali
Assalaam a'laykum warahmatullahi wabarakaatuh! Shaykh mimi nauliza kuwa mke wangu ananiudhi kwa kuwasiliana na wanaume ambao sio mahrim zake na nikimgomea husema hawezi kuacha kuwasiliana nao hata nikimpa nasaha. Naomba nasaha nifanyeje maana nimefikisha kesi hadi kwa wazazi wake ila bado ananiambia kuwa Mimi nimemuowa yeye ila simu yake hainihusu.