Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Nina janaba nifanye nini
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 1
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Ustadh A'laikum, mimi nna suala hapa je ukitaka jambo lako fulani lifanikiwe dua gan ambayo unatakiwa kuomaba?ilo jamboo la kherii tu
Suali langu kwanini mwanamke anatolewa mahari?
Asalam alaykum ,nina swal mimi ni bint naish na mwanaume bado atujafunga ndoa kulingana na uchumi ila tunamatarajio ya kufunga,sasa mmi nataka nianze kusal sala tano je apo inakuwaje jamn
Ni ipi Tofuti kati ya kusimamisha swala na kuswali
swali mim nahitaji kujua herf zakuruani
Naomba kuliza Kama mke yupo mbali kumrejea mke alieachwa talaka moja kwa njia ya simu inafaa au haifai?