Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Asante na kama ukipata haja kabwa au ndogo na ukastanji ni lazima kuchukua udhu tena ?
Ndio ni lazima uchukuwe udhu endapo utahitaji kufanya mambobyanayohitajibuwe na udhu. Kwa mfano:
1. KKuswali
2. Kusujudi
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
As,alykum,فتنةا،نقلب علاوجهه ndugu .muislamu,naomba,nisaidie,endapo nitasimama kwenye,neno fitnatun.neno la mbele nitalianzaje?
اَلسَلامُ عَلَيْكُم وَرَحْمَةُ اَللهِ وَبَرَكاتُهُ Jee inafaa kwa mtu mwenye madeni kutoa zakatu fitri?
Samahn mwalim naomba unisaidie aina Saba za usomaji wa Quran
Taja aina saba za usomaji na mashehe wake na nchi zake kabla ya kuhifadhiwa quran katk msahafu lakwanza ilo
Nna umri wa miaka 32 jinsia yangu ni Mwanamke, nilikua nauliza ni haram kunyoa nywele kwa kizuka siku ya 40 baada ya kufiwa
Au mpaka inapofikia miezi 4 na siku 10 ndio anyoe ?
Shaikh samahan nauliza nini hukumu ya mwanamke asiyemtii mumewe katika mambo ya kheri?
Kwema, je hii swala ya dhuha nitaiswalije au hatua zake zikoje kipindi cha kuswali hii swala