Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Asante na kama ukipata haja kabwa au ndogo na ukastanji ni lazima kuchukua udhu tena ?
Ndio ni lazima uchukuwe udhu endapo utahitaji kufanya mambobyanayohitajibuwe na udhu. Kwa mfano:
1. KKuswali
2. Kusujudi
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Asalam ALEYKUM,,,Ninahoji kitu ki1" " ktk mawaidha flani ,shekh alitoa namna ya kuoga,(Janabah) shekh asema nivizuri ukaanza na kutawadha kwanza ndipo uonge,,Sasa iweje nianze na kutawadha Ndipo nioge,AMA kuna namna sijamwelewa,kwasbb sasa kila 1 awa Mtoa mawaidha kadri anavyojua yeye, asante,,Asalam
Asalam alaykm naomba unipatie ushahid kuunganisha ya magharb na Ishaa kwa sababu ya mawingu
Naitaji mwalimu video lamda Kwa uelewa zaidi juu ya sanda ya mwanamume na mwanamke
Asalm allykum jee km ikitokea mwnamke akamwambia mume kuwa ukifanya ktu fln ndio talaka yng najiacha mwenye je mwanaume akafany kile kit hapo itakuwa n talaka Ikiwa mime hajakubalin n hilo
Aesalam alaykum je kur an imeshushwa kwa mudagan
Asalaam aleykum. Ni matumaini yangu ya kwamba m buheri wa afya. Nilikua nataka kufahamu utaratibu wa kutoa talaka kwa mke ambae bado hujamaliza kulipa mahari yake.