Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Asante na kama ukipata haja kabwa au ndogo na ukastanji ni lazima kuchukua udhu tena ?
Ndio ni lazima uchukuwe udhu endapo utahitaji kufanya mambobyanayohitajibuwe na udhu. Kwa mfano:
1. KKuswali
2. Kusujudi
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Sababu za kuwa mwana adamu hawez kuishi bila ya dini
Madhara ya kufanya mapenzi na mama mjamzito
nataka kujifunza jinsi ya kuswali na je? rukuu nini
Asalam aleykhum ,he mtu huweza kudumu na udhu kwa swala zote tano kama hatopatwa na moja ya yayotengua udhu ?
Assalamualaykum Mimi suali langu linasema Elezea mitihani mitano aliyopewa nabii Ibrahim na Mola wake na namna alivyoifaulu mitihani iyo
Assalam alaykum warahmatullahi wabarakatu.
Samahani naomba kufahamu kwa mwanamume alie muacha mkewe kwa talaka tatu nikipi kifannyike ama taratibu gani zinapashwa zichukuliwe ili mwanamume huyo aweze kuishi tena kihalali na alie kua mkewe.