Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Swali saut yangu inakwaruza nina kama miez 2 iv shda n nn?
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 922
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Nilisilim napenda Sana dini ya Islam lakini sijui hata pakuanzia
Asalaam Aleykum warahmatulahi wabarakatuhu, mimi swali langu ni kuhusu Rukuu, ukiwa kwenye Rukuu macho unafaa kuangazia wapi? kunao wanao sema unafaa kuangalia unako enda kusijudu na wengine husema unafaa kuangalia vidole vya miguu zako. ni ipi sahihi naomba kufahamu. Shukran wabillahi tawfiq
Assalamualaikum napenda kuhuliza kwenda kwa mganga kuchukua dawa ambayo sio ya kumzulu mtu niya matibabu tu je ni sawa
Ushindi gani waliupata waislamu kwenye mkataba wa hudaybia
Kwanin mwanaume anaoa wanawake zaid ya mmoja Kwan uyo mmoja hamtoshi
Asalam alaikum warahmatullah wabarakatuh. Mimi nna suali kuna mtu kafa alizaa mtoto mmoja mtoto wa kiume kafa kabla ya mama . Baadae mama kafa hana mtoto mwengine ila kuna wajukuu wa mtoto wake huyo mmoja wa kiume aliyekufa na pia kuna dada yake baba mmoja hao tuu ndio waliomzunguka wakaribu wengine ni watoto wa dada zake jee mirathi hapo inakuaje?