Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Vitabu vya hadithi wakati wa maswahaba
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 562
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Assalaam aleykum warahmatullah wabarakat..nilikua naulizia hivi zakatul fitr inafaa kutolewa kwa wakristo??
samahani mimi nilikuwa mkirst nimeslm kuwa muisalm nimeolewa je nahitaji kujuwa kila swal inalaaka ngap samahani
Nilikuwa naomba kijuwa uwo utawala wa banu umayyah ulikuaj hadi kuondoka kwake
Assalaam a'laykum warahmatullahi wabarakaatuh! Shaykh mimi nauliza kuwa mke wangu ananiudhi kwa kuwasiliana na wanaume ambao sio mahrim zake na nikimgomea husema hawezi kuacha kuwasiliana nao hata nikimpa nasaha. Naomba nasaha nifanyeje maana nimefikisha kesi hadi kwa wazazi wake ila bado ananiambia kuwa Mimi nimemuowa yeye ila simu yake hainihusu.
Je ni Sahihi kufunga mwezi wa shaaban katika siku 15 za mwisho
Kuna watu wameona bomani mwanamke amefariki muislam mume mkristo katika utaratibu wa mirathi hapa ikoje na ameacha wazazi wawili yaani baba na mama na watoto watatu walizaa katika hiyo ndoa yao ya bomani