SWALI

Jee nabii mussa alilelewa na nani?

Swali No. 433




JIBU

Nabii Musa alilelewa na Firauni na Mke wake. Hata hivyo aliyekuwa akimnyonyesha ni mama yake mzazi. Hivyo basi alilelewa na Firauni chini ya uangalizi wa mama yake. 

 

Alipata malezi bora kwa maana na Asia mke wa Firauni mbaye Quran imemtaja kuwa ni mmoja katika wanawake bora .



Kumbukumbu
Swali hili limeulizwa na Muulizaji Kutoka WhatsApp Chat yetu tarehe 21-02-2023-11:34:58 . Jina la muulizaji limehifadhiwa.

Nicheki Nicheki WhatsApp






MASWALI YANAYOFANANA