Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Jee nabii mussa alilelewa na nani?
Nabii Musa alilelewa na Firauni na Mke wake. Hata hivyo aliyekuwa akimnyonyesha ni mama yake mzazi. Hivyo basi alilelewa na Firauni chini ya uangalizi wa mama yake.
Alipata malezi bora kwa maana na Asia mke wa Firauni mbaye Quran imemtaja kuwa ni mmoja katika wanawake bora .