Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Nilipilengo la swala kwa hoja ya quran na hadithi
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 1116
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Mwanamke anapotalikiwa yapaswa kwake kufanya nini na kutofanya nini
Nataka kuuliza historia ya uislamu baada ya kutawafu mtume ni mada ya form ngapi
Asalam alaykum warahmatulah wabarakatuh, samahan maalim naomba kuuliza yakuwa vipi ikiwa mwanaume umezaa mtoto ambaye ni nje ya ndoa je ni nn haki ya mtoto kwako au ni wajibu upi u atakuwa nao mzazi huyo katika malez ya mtoto huyo
Je Quran ina sura ngapo?
Hlw ,am sami ,na shida ya macho Kwa mda mrefu je nikitumia vita hivi nitakuwa sawa Kwa mda gani ?
Mimi ni Binti wa miaka 24 ,Niko na mchumba ila ni Wa dini nyingine yaan christian nimejaribu kumshawishi na Kwa kiasi Fulani anakaribia kuelewa juu ya uislam , swali langu ni kwamba ni Kwa namna gani naweza mshawishi zaidi na vitu gani nifanye baada ya yeye kukubali kuwa Muslim? Assalam aleykhum!