Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Swalat haja inaswaliwa muda gani. Na rakaa ngapi. Na surat zip unatakiwa kuzisoma
Utaswalibmuda wowote, utawaona sura zozote, utaanza na rakaa mbili, utazidisha rakaa kadiri uwezavyo
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Naomba kufaham historia ya imamu shafii na kitabu chake cha usul al-figh
Nauliza mke wa Nabii Nuhu alikuwa anaitwa nani?
Assaalaam Alykum,
Mimi nataka kujua jinsi ya manuwiz ya swala ya eid, ahsantee
Naomba kama app inaweza kunipa mawaidha ya audio niambieni Barakallahu fikum
Assalamualeykum. Ukiswali rakaa ya 3+ 4 unasoma sura gani baada ya AIHAMDU.
Vipi kuhusu kukanyaga kinyesi kisicho chako inabatilisha udhu?