Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Swalat haja inaswaliwa muda gani. Na rakaa ngapi. Na surat zip unatakiwa kuzisoma
Utaswalibmuda wowote, utawaona sura zozote, utaanza na rakaa mbili, utazidisha rakaa kadiri uwezavyo
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Kuna mafunzo ambayo waislamu wanayapata kutokana na historian ya maimamu wa fiqhi
Sunnah na nguzo za swala zinamchangiaje kuachana na mambo machafu na maovu
Je mwezi mtukufu wa Ramadhani umekalibia je kama ukiwa umefunga afu bado upo unafanya kazi iyo ya riba je funga itakuwa salama
Asalaam alaykum? Shekhe naomba unisaidie khutuba ya ijumaa kwa kiswahili, maana nipo kijijini. Siku moja ilitokea kuswali adhukhuri kwa sababu imamu alikua anaumwa, na hii itasaidia kwa dharula Kama hizi.
Assalamualeykum. Ukiswali rakaa ya 3+ 4 unasoma sura gani baada ya AIHAMDU.
Pia niliomba kufahamu. Ni shuruti panapo paswa kufungwa doa basi baba kutoa idhi ya kuozesha au humuozesha bintie swali je?
kwabinti alie zaliwa nje ya ndoa ninani anae husika kwenye utoaji waidhini au kuozesha binti huyo?.
Assalam alaykum