Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Swalat haja inaswaliwa muda gani. Na rakaa ngapi. Na surat zip unatakiwa kuzisoma
Utaswalibmuda wowote, utawaona sura zozote, utaanza na rakaa mbili, utazidisha rakaa kadiri uwezavyo
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Asalaam Aleykum warahmatulahi wabarakatuhu, mimi swali langu ni kuhusu Rukuu, ukiwa kwenye Rukuu macho unafaa kuangazia wapi? kunao wanao sema unafaa kuangalia unako enda kusijudu na wengine husema unafaa kuangalia vidole vya miguu zako. ni ipi sahihi naomba kufahamu. Shukran wabillahi tawfiq
Naomba matumizi ya komamanga kuhusu kusaidia kujitibia nguvu za kiume je unasaga juice ama kula kawaida tu asante
Mjane akiacha Mali halafu akawa Ameacha watoto wa Tano mmoja mwislam wengine wakristo na mjane alikuwa mwislam, swali langu Hawa watoto ambao ni wakristo Wana haki ya kumrithi mama Yao? Naomba unisaidie majibu pamoja na kifungu kitakacho patikana juu ya jibu lako. Asante
Habari nilikua nahitaji Mafunzo namna ya Kuswari na dua zake Kwa njia ya sauti ataiyatu ndio siwezi
Maana ya tawafu ni nini
Mimi ni ustadh nafundish madrasa sasa nimeombwa hapa kwenda kufundisha edk secondary
Sasa mnaweza nisaidia notes lakini namna ya kuandaa majaribio