Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Swalat haja inaswaliwa muda gani. Na rakaa ngapi. Na surat zip unatakiwa kuzisoma
Utaswalibmuda wowote, utawaona sura zozote, utaanza na rakaa mbili, utazidisha rakaa kadiri uwezavyo
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Je kula chakula ni ibada Au ni ada
Habari nilikua nahitaji Mafunzo namna ya Kuswari na dua zake Kwa njia ya sauti ataiyatu ndio siwezi
Swali langu nauliza nikuwa talaka inayokubalika ni talaka zipi
nimetofautiana na mke wangu tangu siku ya kwanza ya ndoa nimevumilia miaka 2 sasa nikijua atabadilika lakini tabia bado haibadili nifanyaje sinafraha siku zote
Je mwezi mtukufu wa Ramadhani umekalibia je kama ukiwa umefunga afu bado upo unafanya kazi iyo ya riba je funga itakuwa salama
Asalam aleikum Mimi nna swali nataka hoja zinazo thibitisha kuwepo siku ya mwishoo Kwa ushahidi wa ayaa?