Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Swalat haja inaswaliwa muda gani. Na rakaa ngapi. Na surat zip unatakiwa kuzisoma
Utaswalibmuda wowote, utawaona sura zozote, utaanza na rakaa mbili, utazidisha rakaa kadiri uwezavyo
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Nina swali mutu kuwa na mate machungu ndani ya miezi 6 ni dalil yq ukimwi?
Unatoa maoni gani iwapo wanao jua na wasio jua wapo sawa kiutendaji
Assalamu 'alaikum warahmatullah wabarakatuh. Na swal. Je, inaswihi kwa muislamu kuswali juu ya kaburi kwa lengo la kumuuombea maiti iliyomo ndani ya hilo kaburi
Assalamualaikum napenda kuhuliza kwenda kwa mganga kuchukua dawa ambayo sio ya kumzulu mtu niya matibabu tu je ni sawa
Ni zipi ishara zilizomo katika nafsi ya mwanadam
Wazazi na watoto wana wajibu gani katika uslamu na jamii yao