Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Swalat haja inaswaliwa muda gani. Na rakaa ngapi. Na surat zip unatakiwa kuzisoma
Utaswalibmuda wowote, utawaona sura zozote, utaanza na rakaa mbili, utazidisha rakaa kadiri uwezavyo
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Faida za kusali Sala za sunna zichambuwe
je kuna hukumu ukifunga siku ya kufungua sita?
Eda kwa mwanamke aliyeachwa yaani mwanamke anapoachila katika eda yake anafata vigezo gani?
Napenda kuuliza swali.nimambogani yanaweza yanaweza kuzuia Dua zako kwa ALLAH subahanah wataala
Asalam alaykum.ninaomba kuulz swali je ukiwa n majosho mawl mfano hedhi n nifasi je utaoga moja Kwa kukusudia majosho yote au utaoga moja moja Kila Josho Kwa kujitegemea
Sunnah na nguzo za swala zinamchangiaje kuachana na mambo machafu na maovu