Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Naomba unifundishe namna ya kusimamisha sala ya tarawehe na witir
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 846
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Asalam alaykm naomba unipatie ushahid kuunganisha ya magharb na Ishaa kwa sababu ya mawingu
Je katika rakaa mbili za mwisho katika sala ya tahhijut unasoma tu surah alifatih basi au unasoma na surah zingine
Hlw ,am sami ,na shida ya macho Kwa mda mrefu je nikitumia vita hivi nitakuwa sawa Kwa mda gani ?
Kwanin uislam unapinga kampen juu ya kudhibit uzazi
nauliza ya kwamba kama simfaham dua za swala za usiku nafanyaje kwani huwa naswali lakini naswali kawaida tu na hvi nimetoka kuswali.
Kuitikia salamu ni faradh ain au kifaya?