Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Asalam alaykum naomba kuuliza ya'juj na mu'juj ni viumbe gan
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 357
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Ni nini kifanyike ili lengo la nguzo za uislamu zifanikiwe. Hoja nne
Nina swali sheikh nahitaji msaada wa Elimu.
Nimeingia kwenye mgogoro na Mke wangu asubuhi hii kwa kuwa alikuwa akitamka maneno ambayo mimi sitaki kuyasikia kutoka kwake. Nimemuonya mara ya kwanza hakusikia, nikamuonya tena hakusikia, nikamuonya mara ya tatu kwa kumuambia kwamba *"Ukiniandikia tena Maneno haya basi nitakuwa nimekuacha"*. Naye akayaandika tena? Je, hapa talaka imetoka? Na hukmu yake ni ipi?
Watu wengi wanasema wakisoma Qur'an sawa ameongea kiarabu swali langu ni kwamba kuna tofauti yoyote kati ya kiarabu na Qur'an au hakuna tofauti
Historia ya dini ya kislamu inamfunza nini mwanadamu
Aslm alkm.Ni mitume gani walikuwa ni waarabu Kuna ambao ni wa Israel na waarabu
Nilikua naomba unisaidie jinsi ya kunuia swala ya usiku ile ya haja