Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Nilisilim napenda Sana dini ya Islam lakini sijui hata pakuanzia
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 409
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Niipi hukmu yamtu mwenye kuacha swala pasi na udhuru wowote?
Naomba kuuliza,, mwanamke akitolewa barua ya posa na maari na mwanaume ambae siyo muislam na amemzalisha watoto,akitokea mwanaume wa kiislam akihitaji kumuoa kisheria kidini ya kiislam, je.utaratibu ukoje?
Mke atahitaji kukaa eda kwa muda gani nyumbani.na yapi anakatazwa mwanaume kwa kipindi hiko cha eda?.baada ya muda wa eda kuisha na hakuna maelewano je ruksa kwake kuondoka na ndoa kuvunjika??
Kuna miezi mingapi ya kunuwia hijja
Mm naomba kuuliza,. Ni kijana gani alieaminiwa na bwana Abu Talib ambae aliemkabidhi mtume s.w.a amrudishe Makka?
Nahitaji kujua UDUGU ni nini? Faida za udugu na hasara za kuvunja udugu katika uislam