Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Nilisilim napenda Sana dini ya Islam lakini sijui hata pakuanzia
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 409
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Swala ya dhuha je unasoma Sura yeyote ama ina Sura maalum
Asalam alaykum warahmat llah wabarakat kitabu cha swala yasunnatul nikizuri ila ktk kutazama kuna kwala yasunnatul tasbih sjaiyona sheh wang namm niltaka kujuwa mafunzo ya jimsi mtu anavyo swal sunatl tasbih
Samahn,,ati ni mwaka wa ngapi ilifaradishwa funga?
Asalaam Alykum Nilikuwa Naomba Kujua kama mtu umepewa talaka tatu kwa pamoja hapo hpo na akiwa na ujauzito je hiyo ni sahih au inakuwaje hapo na pia mwanamke akamuondoka kwnye hiyo ndoa yake mpka kajifungua na hakurudi tena kwa mume wangu kwa mda wa miaka miwili ikapita na baada ya miaka hyo mumewe anataka amrejee je kitu gani cha kufanyika hapo
Asalamu Alaykum warahma tullah wa barakatuu naomba mwalimu wakunifundisha quran online
Niipi hukmu yamtu mwenye kuacha swala pasi na udhuru wowote?