Pata jibu kamili kuhusu swali lako
nilitaka uniambie umuhimu wa kuamini qadar ktk maisha ya kila siku
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 35
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
asalam aleykum nataka kuhuliza mwanamke mwenye hedhi anaruhusiwa kusoma quran aliyo hifazi kichwan mwake yan bila kushika msahafu
mimi muisilamu hila akuna ninacho kijua msaada wenu nataka kitabu cha kiswahili nijifunze km itawekana
Naomba vipi qadar ya mwenyezi mungu ina athiri Manisha ya muumini
Swala ya dhuha je unasoma Sura yeyote ama ina Sura maalum
Je Nipo na mwanmke ndani Ambae Sijafunga nae ndoa na tunalala nae kitanda kimoja je zambi ya uzinzi ni mpaka mshiriki tendo
Kijiji chao nabii ibrahim kinaitwaje..? Na kilikua kikaliwa na watu gani.?