Pata jibu kamili kuhusu swali lako
nilitaka uniambie umuhimu wa kuamini qadar ktk maisha ya kila siku
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 35
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Assalam alaykum nauliza je ni dhambi kusoma qur-an ukiwa kichwa wazi
Je? Kwa mtu ambaye amevunja kiapo anatakiwa kuwalisha maskini kumi chakula cha katikati anachowalisha watu wa nyumbani kwenu. Sasa swali langu chakula cha katikati kiasi gani na anatakiwa apeleke kwa muda gani?
asalam aleykum nataka kuhuliza mwanamke mwenye hedhi anaruhusiwa kusoma quran aliyo hifazi kichwan mwake yan bila kushika msahafu
Nauliza mke wa Nabii Nuhu alikuwa anaitwa nani?
Swali langu Ni hili,,,
"Thibitisha kuwa khalifa Othman alimrejesha mjomba wake kutoka uhamishoni kwa lengo gani?
Je Quran ina sura ngapo?