Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Asalaam alyka kwan saa mbli (insha) ina laka ngap
Kama inamaanisha swala ile inayoswaliwa saa 2 usiku yaani swala ya insha , hii ina rakaa 4.
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
a.alyeikum swali langu ni kuhusu mirathi mume amekufa ameacha watoto 5 wa kiume na watoto 5 wa kike na ana wake 2 na wazazi wake wote wa mume wameshafariki mgawanyo ukoje?
Kwan mbon wanasema kusom dua kabr yakumuswalia Mtume nakabr yakutoa slm nidua gan nakuomb nisayidie
Naomba kufahamu kunabaadhi y waumini wanaacha swala y faradh wanaswali tarawehe. Je? Hii imekaaje shekh nifafanue
Hmn yurad unao somwa baada ya kusha sali hzo rakaa mbili na kutoa salamu
mke aliejifungua au kuharibu mimba kabla ya kuoga nifasi akapewa talaka na mumewe je mwanamke huyu anapaswa kukaa eda?
Habari nilikua nahitaji Mafunzo namna ya Kuswari na dua zake Kwa njia ya sauti ataiyatu ndio siwezi