Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Asalaam alyka kwan saa mbli (insha) ina laka ngap
Kama inamaanisha swala ile inayoswaliwa saa 2 usiku yaani swala ya insha , hii ina rakaa 4.
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Eda ya mwanamke aliyeachwa ni tohara 3, Eda ya mwanamke mjamzito ni mpaka atakapojifungua, Eda ya mwanamke aliyefiwa ni miezi 4 na siku 10, Jee mwanamke aliyefiwa na mumewe huku akiwa na ujauzito itakuaje eda yake?
Asalam alaykum naomba kuuliza ya'juj na mu'juj ni viumbe gan
Mimi ni mwanamke wa miaka 25..Nilikuwa nina kipindi kirefu kama miaka 3..Sijafanya mapenzi..Sasa baada ya kufanya wakati siku naingia Kwenye siku zangu nilipata maumivu makali sana ambayo kabla sikuwa nayo..Lakini pia nimeanza kupata maumivu ya chini ya kitovu na kiuno ambapo inaambatana na gesi wakat mwingine hadi kichwa kinauma na misuli ya miguuni..Naomba unisaidie shida ni nini?
Kwanin mwanaume anaoa wanawake zaid ya mmoja Kwan uyo mmoja hamtoshi
Asalam alaykum vipi hàli aujambo mimi nimekuwa na aswali juu ya kuhusu kuswali nataka kujua pale kwenye hatahiyatu ya kwanza na ya pili panaanicabganya san
Habari samahani naomba kujua historia ya Lebanon juu ya uislamu?