Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Asalaam alyka kwan saa mbli (insha) ina laka ngap
Kama inamaanisha swala ile inayoswaliwa saa 2 usiku yaani swala ya insha , hii ina rakaa 4.
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Asalam alkum mimi nimepewa talaka tatu pasipo na shahidi yoyote je hapo talaka amenipa kwa usahihi?
Kama upo kwenye safi Au mstari wa katikati utatokaje ?kwenye safi na watu wana swala?
samahani mimi nilikuwa mkirst nimeslm kuwa muisalm nimeolewa je nahitaji kujuwa kila swal inalaaka ngap samahani
Naitaji kujifunza hatua zote za swala kuanzia kutia udhu pamoja na kusimamisha swala
Asalam aleykum shekhe,mgawanyo wa elim dunia na elim akhera haukubalik kwa sababu zipi zingine
Umuhim wa historia ya maimam wa fiqhi