Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Asalaam alyka kwan saa mbli (insha) ina laka ngap
Kama inamaanisha swala ile inayoswaliwa saa 2 usiku yaani swala ya insha , hii ina rakaa 4.
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Taja watu watano ambao uislamu umewakataza kuwapa maji. Pindi ambapo maji hayo yamewekwa kutiliwa udhu
Kuna watu wameona bomani mwanamke amefariki muislam mume mkristo katika utaratibu wa mirathi hapa ikoje na ameacha wazazi wawili yaani baba na mama na watoto watatu walizaa katika hiyo ndoa yao ya bomani
Asalam ALEYKUM,,,Ninahoji kitu ki1" " ktk mawaidha flani ,shekh alitoa namna ya kuoga,(Janabah) shekh asema nivizuri ukaanza na kutawadha kwanza ndipo uonge,,Sasa iweje nianze na kutawadha Ndipo nioge,AMA kuna namna sijamwelewa,kwasbb sasa kila 1 awa Mtoa mawaidha kadri anavyojua yeye, asante,,Asalam
Swalat haja inaswaliwa muda gani. Na rakaa ngapi. Na surat zip unatakiwa kuzisoma
Nikiswalia nyumbani swala zote ni sawa tofauti ijumaa
nilitaka uniambie umuhimu wa kuamini qadar ktk maisha ya kila siku