Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Nauliza mke wa Nabii Nuhu alikuwa anaitwa nani?
Inasemekana anaitwa Naamah
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Assalam alaykum shekhe naomba kuuliza ikiwa mke amefariki amewacha mume tu na Hana ndugu Wala watoto wa kumrithi ni mume tu je mume anapata nusu ile ile au anarithi Mali yote?
Naomba kuliza Kama mke yupo mbali kumrejea mke alieachwa talaka moja kwa njia ya simu inafaa au haifai?
Naam swali langu nihili Ili ionekane kama umezini nidalili zipi zinakujuza kama umezini?
Aesalam alaykum je kur an imeshushwa kwa mudagan
Dua kwa mama mjamzito anae umwa na hajifungui
Swala tu tahjjud ktk izi swala naweza soma sura yyote au