Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Nauliza mke wa Nabii Nuhu alikuwa anaitwa nani?
Inasemekana anaitwa Naamah
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Assalaam a'laykum warahmatullãhi wabarakaatuh! Shaikh nauliza; ivi inawezekana mke kuslimu na kufunga ndoa ya kiislam siku hiyo?hiyo
Kusuka nywele zauzi ukaunganisha kichwani nimakosa au simakosa
Nataka kujuwa majina ya mitume
Samahn,,ati ni mwaka wa ngapi ilifaradishwa funga?
As,alykum,فتنةا،نقلب علاوجهه ndugu .muislamu,naomba,nisaidie,endapo nitasimama kwenye,neno fitnatun.neno la mbele nitalianzaje?
Je nihadithi zipi zilizo onesha kuwa mtume ame swali tarawehe kwa rakaa 11