Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Nauliza mke wa Nabii Nuhu alikuwa anaitwa nani?
Inasemekana anaitwa Naamah
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Nataka kufahamu vitabu vya mungu vipo vingapi
Ukitaka kujifanza Quran kwe njia yacm Ina wezekana
Swalat haja inaswaliwa vipi? Samahani.na muda mzuri ni upi rakaa ngapi ? Dua au sura ipi?
Je naruhusiwa kuchinja nikiwa nimefunga ramadhani?
Ooh! Me bado mwanafunzi naomba kujua hatua ya kwanza nikifika kwenye nyumba ya Ibada
Naomba kuuliza taratibu za kupata cheti cha ndoa. Ndoa ya kiislam imefungwa na shekhe, kwa kawaida taratibu za kupata cheti cha ndoa baada ya ndoa kufungwa zikoje / kinapatikanaje? Na ni Baada ya muda gani?