Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Swali langu nauliza nikuwa talaka inayokubalika ni talaka zipi
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 654
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
nataka kujifunza jinsi ya kuswali na je? rukuu nini
Kwa nini mnasema nguruwe ni najisi? Na tukila hatutendi dhambi?
Je Kama ss wanawake tunaopata au kuigya ktk siku na anatka kufanya hija je itakuaj
Mimi nina mtoto wangu wa kiislam, lakini kapata mchumba wa ki kirsto, je naruhusiwa kula Mahari yake? Naomba msaada huo
Asalam aleyikum warahmatullah wabarakatuh swali langu ni hivi mimi nimeolewa miaka 8 iyopita ila mwaka juzi mwezi12 Allah akanitahin nimepatatihani wa maradhi ya ganzi yamepelekea kutokutembea mama zamani,mume wangu ameniuguza mpaka mwezi wa 7 mwaka jana akanitelekeza yani aniudumii mimi wala mtoto na nikimpigia simu anaongea hovyo tu nimeamua kumdai talaka ataki kunipa lakini hivi karibuni ameniatamkia maneno Machafu kua ataki kunipa talaka kwakua ajawahi kunioa na ajanopenda hata siku1 mimi nikampiga mshenga na shahidi nao wakajaribu kizungumza nae akawakatia Simu swalilngu je,naweza kujivua kwenye ndoa hii?au nifanyeje mpaka nipate haki yangu ya talaka
Asalaam aleykum naomba kuuliza mama yake marimu anaitwa nani?