Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Naitwa mustapha nipo songea, je quraan inapaswa kusomwa nyakat gan
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 457
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
mimi muisilamu hila akuna ninacho kijua msaada wenu nataka kitabu cha kiswahili nijifunze km itawekana
Assalamualaikum naomab kujua kivaaa suali ukavuka kufundo ch a mguuni ni sawa
je ni ipi hukumu ya mke alietamkiwa na mume wake kuwa akifanya tendo na m/me mwengine ndio talaka yake na mke akafanya zaidi ya mara tatu?
Naomba kuuliza taratibu za kupata cheti cha ndoa. Ndoa ya kiislam imefungwa na shekhe, kwa kawaida taratibu za kupata cheti cha ndoa baada ya ndoa kufungwa zikoje / kinapatikanaje? Na ni Baada ya muda gani?
Assalaam alayka je' kwa yule ambaye anakipato cha chini anapaswa atoe zaka kiasi gani na kwa kipindi gan?
Assalam alaykum shekhe naomba kuuliza ikiwa mke amefariki amewacha mume tu na Hana ndugu Wala watoto wa kumrithi ni mume tu je mume anapata nusu ile ile au anarithi Mali yote?