Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Je? Unaswaumu halafu umezaa nje mtoto mama kaomba hela unaruhusiwa kuto?
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 1007
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Je nikitaka kutia mwili wangu udhu wa nifasi je naanzia wapi nafanyaje
Asalam aleykhum ,he mtu huweza kudumu na udhu kwa swala zote tano kama hatopatwa na moja ya yayotengua udhu ?
Nataka kufahamu katika Sala ya Eid imamu anapo soma takbira Allah Akbar!! Maamuma baada ya kuuitikia kuna mapumziko fulani baina ya Takbira, pale una faaa usome DUA gani?
Asalam ALEYKUM,,,Ninahoji kitu ki1" " ktk mawaidha flani ,shekh alitoa namna ya kuoga,(Janabah) shekh asema nivizuri ukaanza na kutawadha kwanza ndipo uonge,,Sasa iweje nianze na kutawadha Ndipo nioge,AMA kuna namna sijamwelewa,kwasbb sasa kila 1 awa Mtoa mawaidha kadri anavyojua yeye, asante,,Asalam
a.alyeikum swali langu ni kuhusu mirathi mume amekufa ameacha watoto 5 wa kiume na watoto 5 wa kike na ana wake 2 na wazazi wake wote wa mume wameshafariki mgawanyo ukoje?
Nabii lut alikwenda wapi baada ya gharika