Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Assalaam Alaykum,namna yakutoa talaka ya tatu na taratibu zake
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 67
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Jana alikuja alielua mume wangu akawaambia watu kua nimemuacha s mke wangu je nataka kujua ikiwa ni lazima akicha kue na mshahid wa kweli je hapo talaka imepita na kama imepita anafaa kunipa karatas au haifai
Je ni Sahihi kufunga mwezi wa shaaban katika siku 15 za mwisho
Lakaa za swala yaani kwa mfano swala ya asubuhi inalaka ngapi saa Saba inalakaa ngapi saa kumi inalakaa ngapi saa mbilo usk inalakaa ngap
nataka kujifunza jinsi ya kuswali na je? rukuu nini
Asalaam alaykum? Shekhe naomba unisaidie khutuba ya ijumaa kwa kiswahili, maana nipo kijijini. Siku moja ilitokea kuswali adhukhuri kwa sababu imamu alikua anaumwa, na hii itasaidia kwa dharula Kama hizi.
Ni zipi ishara zilizomo katika nafsi ya mwanadam