Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Assalaam Alaykum,namna yakutoa talaka ya tatu na taratibu zake
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 67
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Kama mwanamke amepewa talaka ya kwanza,yapili n yatatu.baina talaka ya2 n 3 akawa n ujauzito
Swali saut yangu inakwaruza nina kama miez 2 iv shda n nn?
ASALAM ALEIKUM WARAHMATULLAH WABARAKATUH Mama mdogo katangulia mbele ya haki. Alizaa mtoto mmoja tu wa kiume na alifariki kabla ya mama. Suali jee wajukuu wa huyu mama wanamrithi. Ana wajukuu 7 wakiume 3 nawakike 4 Pia huyu mama ana ndugu yake wa kike wa baba mmoja vipi na yeye anapata mirathi
Naitwa mustapha nipo songea, je quraan inapaswa kusomwa nyakat gan
Nataka kufahamu katika Sala ya Eid imamu anapo soma takbira Allah Akbar!! Maamuma baada ya kuuitikia kuna mapumziko fulani baina ya Takbira, pale una faaa usome DUA gani?
Mimi ni mwanaume na ninamiaka 32 naomba kujua maneno ya kikao cha tahyatu