SWALI

Ilkuw nina xhid na ninaomb nipat jib la hili Qn ambalo ni ..kwa kutuamia  ushahid 4 ya kihistoria thibitish kuw ufufuo ni jamb jepesi

Swali No. 198


JIBU
Samahani Jbu la swali hili Limehifadhiwa. Nicheki Whats App upte majibu ya swali hili.
Nicheki WhatsApp Bofya hapa(Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 198 )

Kumbukumbu
Swali hili limeulizwa na Muulizaji Kutoka WhatsApp Chat yetu tarehe 06-02-2023-05:15:16 . Jina la muulizaji limehifadhiwa.

Nicheki Nicheki WhatsApp






MASWALI YANAYOFANANA






Ilkuw nina xhid na ninaomb nipat jib la hili Qn ambalo ni ..kwa kutuamia  ushahid 4 ya kihistoria thibitish kuw ufufuo ni jamb jepesi






SWALI

Ilkuw nina xhid na ninaomb nipat jib la hili Qn ambalo ni ..kwa kutuamia  ushahid 4 ya kihistoria thibitish kuw ufufuo ni jamb jepesi

Swali No. 209




JIBU

Ushahidi wa ufufuo kutokana na historia

Miongoni mwa matukio ya kihistoria yanayothibitisha kuwepo uhai baada ya kufa ni;


 

i. Mtu (msafiri) na punda wake waliokufa walifufuka baada ya miaka mia (100).

Rejea Qur’an (2:259)


 

ii. Kufufuka ndege wanne (4) wa Nabii Ibrarahim (a.s) kama mujiza wa kuonesha uwezekano wa kufufuliwa viumbe.
Rejea Qur’an (2:260)


iii. Kuamka vijana wa pangoni baada ya kulala kipindi cha muda wa miaka 309 ili kuwa ushahidi wa kufufuka viumbe baada ya kufa.
Rejea Qur’an (18:25)


 

iv. Kufufuka kwa watu wa Nabii Musa (a.s) waliokufa walipotaka kumuona Allah

(s.w) kwa dhahiri (jahara).

Rejea Qur’an (2:55-56)


 

v. Kufufuka kwa mtu (Myahudi) aliyeuliwa kwa dhuluma zama za Nabii Musa (a.s) ili

amtaje aliyemuua baada ya kupigwa na sehemu ya nyama ya ng’ombe. Rejea Qur’an (2:72-73)


vi. Nabii Isa (a.s) kufufua wafu (watu waliokufa) kwa idhini ya Allah (s.w) kama sehemu ya muujiza wake.
Rejea Qur’an (3:49), (5:111)



Kumbukumbu
Swali hili limeulizwa na Muulizaji Kutoka WhatsApp Chat yetu tarehe 06-02-2023-18:33:58 . Jina la muulizaji limehifadhiwa.

Nicheki Nicheki WhatsApp






MASWALI YANAYOFANANA