Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Assalamualeykum. Ukiswali rakaa ya 3+ 4 unasoma sura gani baada ya AIHAMDU.
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 264
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Nina swali sheikh nahitaji msaada wa Elimu.
Nimeingia kwenye mgogoro na Mke wangu asubuhi hii kwa kuwa alikuwa akitamka maneno ambayo mimi sitaki kuyasikia kutoka kwake. Nimemuonya mara ya kwanza hakusikia, nikamuonya tena hakusikia, nikamuonya mara ya tatu kwa kumuambia kwamba *"Ukiniandikia tena Maneno haya basi nitakuwa nimekuacha"*. Naye akayaandika tena? Je, hapa talaka imetoka? Na hukmu yake ni ipi?
Asalam alaykum warahmat llah wabarakat kitabu cha swala yasunnatul nikizuri ila ktk kutazama kuna kwala yasunnatul tasbih sjaiyona sheh wang namm niltaka kujuwa mafunzo ya jimsi mtu anavyo swal sunatl tasbih
Dai lakuea mtume muhammad anafundishwa quran na watu na udhaifu wa madai haya
Swalat haja inaswaliwa vipi? Samahani.na muda mzuri ni upi rakaa ngapi ? Dua au sura ipi?
Nauliza mke wa Nabii Nuhu alikuwa anaitwa nani?
Assalam aleykum nilikuw nauliza je Kuna dua yyote ya kumsomea mait wakati wakumuosha??