Katika somo hili utakwend akujifunza ktengeneza model kwa ajili ya database table ya menu yetu.
Simulizi hii inamfuata kijana anayeingia bila kujua kwenye safari ya siri kubwa ya kihistoria, akiifungua milango ya kale inayoficha ukweli kuhusu dunia, kizazi chake, na hatima ya wanadamu.
Amani alipata maandiko ya mjomba wake Moses, yaliyofichua uhusiano wa familia yao na shirika la siri Macho ya Usiku. Mama Nyawira alikiri kuwa mwanachama wa zamani. Kabla hajafichua zaidi, watu wa ajabu waligonga mlango kwa nguvu.
Hapa tutaangalia mchango wa wanazuoni wa Waislamu enzi za Golden Ages yaani zama za dhahabu, huu ni wakati ambao watu wa Ulaya walikuwa Gizani
Katika somo hili utakwenda kujifunza sababu za kifua kikuu, dalili zake, njia za kujiepusha, na matibabu ya kifua kikuu.
Huu ni mfululizo mpya wa masomo yanayohusu maradhi yanayosababishwa na Bakteria
Wakati ambao watu wa Ulaya mwanamke hakuwa na nafasi yeyote kubwa ya kijamii, katika Uislamu miaka 1200 kabla tayari kulisha kuwa na nesi Mwanamke.
Katika hadithi hii utakwenda kujifunza hekma ya kuangalia watu walio chini yako na sio walio juu yako
Katika makala hii utakwenda kujifunza kuhusu haki za Muislamu kwa Muislamu mwenzie
Katika somo hili utakwenda kujifunza vipi django inaweza kuwasiliana na database, utajifunza kuusu orm na model
Katika somo hili utajifunza utaratibu unaotumiwa kuweka matoleo kwnye software.
Katika uislamu mwanamke alikuwa na haki sawa na wanaume katika swala la kusjoma na kutafuta elimu. Makala hii itamuangalia mwanamke aliyeleta mapinduzi karne ya 10
Uislamu ulikuja kumkomboa mwanamke kutokana na dhulma alizokuwa akifanyika katika jamii.
Chuo kikuu cha wanza duniani cha Elimu kielimu hakukihusu tu waislamu bali hata ambao sio waislamu walipata fursa ya kujifunza.
Kabla ya falsafa za ukiriki kufika ulaya, Wislamu ndio waliozihifadhi, na baadaye kuja kutafsiriwa kilatini na kuwafikia watu wa Ulaya
Amani alirejea msituni kufuatilia maono ya kipande cha chuma. Alikutana tena na mzee wa ajabu aliyemweleza kuhusu shirika la siri
Amani anakuja tena msituni kwa mara nyingine wakati wa usiku. Nini kitatokea , na nini hasa kumemleta, je bibi anahusika vipi?
Katika soomo hili utakwenda kujifunza kuhusu class, maana yake, na jinsi ya kuitengeneza
Kwa nini hutakiwi kumpa mtoto wa umri wa chini ya mwaka mmoja kumpa asali?
Katika somo hili utakwenda kujifunza maana na features za object oriented Programming
Katika somo hili utakwenda kujifunz akuhusu dhana ya module. Hata ivyo tutakwenda kuisoma zaidi kwenye android App
Katika somo hili utakwenda kujifunza tofauti wa library na package
Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu nadharia ya package, kazi zake, aina zake na jinsi zinavyotumika
Katika post hii utakwenda kujifunza maana ya neno firewall
Bongoclass ni jukwaa la Kitanzania lenye lengo la kushirikisha maarifa na akili ili kukuza uwezo wa watu binafsi na jamii kwa ujumla. Kupitia tovuti yetu, programu ya simu, na mitandao ya kijamii, Bongoclass hutoa maudhui ya elimu bure kwa Kiswahili katika maeneo mbalimbali kama afya, burudani, na masomo ya shule. Jukwaa hili linajikita katika kutoa fursa za kujifunza, kushirikiana, na kukuza uchumi kwa kuzingatia muktadha wa kitamaduni na lugha ya Kiswahili.