Nguzo za uislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
- Ni kufunga siku tatu mfululizo za mbalamwezi, mwezi 13, 14 na 15.
- Jumatatu ni siku aliyozaliwa Mtume (s.a.w) na Al-khamisi ni siku kupandishwa amali za mja kwenda kwa Mola wake.
- Ni kufunga sita mara baada ya mwezi wa Ramadhani kuisha.
- Ni kufunga siku ya mwezi 9, Dhul-Hijj ambamo mahujaji wako katika kisimamo katika uwanja wa Arafa.
- Ni kufunga siku ya mwezi 10, Muharram (mfungo nne). Ni siku aliyookolewa Nabii Musa na Bani Israil kutoka kwa utawala wa Firaun.
- Ni kufunga kwa wingi katika mwezi wa Shaaban bila ya kutimiza siku 30.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Unaweza kijiuliza ni kwa nini hasa kimepelekea kufaradhishwa kufunga mwezi wa Ramadhani.
Soma Zaidi...Post hii inakwenda kukufundisha kuhusu swala ya Istikhara
Soma Zaidi...Hapa tunakwenda kuona jinsi ya kuzitathmini swala zetu.
Soma Zaidi...Haki ya KutalikiKatika jamii nyingi za kjahili haki ya kutoa talaka iko kwa mwanamume tu na mwanamke hana haki yoyote ya kumtaliki mumee.
Soma Zaidi...