Funga za Sunnah na namna ya kuzitekeleza

Funga za Sunnah na namna ya kuzitekeleza

Nguzo za uislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)

  1. Kufunga siku tatu kila mwezi.

-    Ni kufunga siku tatu mfululizo za mbalamwezi, mwezi 13, 14 na 15.

               

  1. Kufunga ya siku ya Jumatatu na Al-khamisi.

-    Jumatatu ni siku aliyozaliwa Mtume (s.a.w) na Al-khamisi ni siku kupandishwa amali za mja kwenda kwa Mola wake.

 

  1. Kufunga siku sita za mwezi wa Shawwal.

-    Ni kufunga sita mara baada ya mwezi wa Ramadhani kuisha.

 

  1. Funga ya Arafa.

-    Ni kufunga siku ya mwezi 9, Dhul-Hijj ambamo mahujaji wako katika kisimamo katika uwanja wa Arafa.

 

  1. Funga ya Ashura.

-    Ni kufunga siku ya mwezi 10, Muharram (mfungo nne). Ni siku aliyookolewa Nabii Musa na Bani Israil kutoka kwa utawala wa Firaun. 

 

  1.   Funga katika mwezi Shaaban.

-    Ni kufunga kwa wingi katika mwezi wa Shaaban bila ya kutimiza siku 30.



Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa

Mwandhishi Tarehe 2022/01/06/Thursday - 01:34:35 am     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 1023


Download our Apps
👉1 Kitabu cha Afya     👉2 Kitau cha Fiqh     👉3 Madrasa kiganjani     👉4 kitabu cha Simulizi    

Post zifazofanana:-

Biashara haramu na njia zake katika uislamu
Soma Zaidi...

Maswali juu ya Nguzo za uislamu
Nguzo za uislamu (EDK form 3: dhana ya elimu ya uislamu) Soma Zaidi...

kanunu na sheria za biashara katika islamu
Soma Zaidi...

Haki na wajibu wa mtoto kwa wazazi na katika jamii
Soma Zaidi...

Kumuandaa maiti kabla ya kufa na baada ya kufa, mambo muhimu anayopasa kufanyiwa maiti wa kiislamu
3. Soma Zaidi...

Hadhi na Haki za Mwanamke Katika Uislamu na Jamii kwa ujumla
Soma Zaidi...

Swala ya idil fitir na idil haji nanjinsi ya kuziswali
Hapa utajifunza jinsi ya kuswali swala ya idil haji na swala ya idil fitir Soma Zaidi...

Jinsi ya kiswali swwla ya dhuha na faida zake
Post hii inakwenda kukufunza kuhusu swala ya dhuha, faida zake wakati wa kuiswali swala ya dhuha na jinsi ya kuiswali. Soma Zaidi...

.Mazingatio muhimu katika uchumi wa Kiislamu
3. Soma Zaidi...

Namna ya Safari ya Hija inavyoanza
Soma Zaidi...

Mtazamo wa uislamu juu ya ndoa ya mke zaidi ya mmoja
Je jamii inachukuliaje swala la kuoa mke zaidi ya mmoja. Soma Zaidi...

Jukumu la serikali katika kuzuia dhuluma
Serikali ina nafasi kubwa katika kuzuia dhulma na kufanya uchumibuwe huru kuyokana na dhulma. Soma Zaidi...