Katika somo hili utakwenda kujifunza maana na features za object oriented Programming
OOP ni kifupisho cha Object-Oriented Programming, yaani "Uprogramu unaoegemea kwa vitu." Ni programming paradigm (mtindo wa uprogramu) unaolenga kutumia vitu halisi kama mfano wa kushughulikia data na tabia zao. Vitu hivyo huitwa objects.
Kama ilivyo kwa lugha ya Python, Kotlin pia ni lugha ya programu inayounga mkono kikamilifu OOP. Hii inamaanisha unaweza kutumia class, object, inheritance, encapsulation, polymorphism na abstraction katika Kotlin.
Kabla ya kuingia ndani ya OOP, ni muhimu kufahamu kuwa kuna mitindo mingine ya uandishi wa programu:
Imperative Programming – Uandishi wa hatua kwa hatua ("step-by-step instructions").
Declarative Programming – Elezea nini kifanyike bila kueleza jinsi ya kukifanya.
Procedural Programming – Kutumia functions au procedures kupanga code.
Functional Programming – Kuweka msisitizo kwa functions zisizobadilika na zenye matokeo thabiti (pure functions).
OOP inajengwa juu ya dhana kuu sita:
Ni kiolezo (template) cha kuunda object. Class huelezea sifa (properties) na tabia (methods) za object.
class Gari(val jina: String, val rangi: String) {
fun honi() {
println("Beep Beep!")
}
}
Ni mfano halisi (instance) wa class.
val gari1 = Gari("Toyota", "Nyekundu")
gari1.honi()
Ni kuficha maelezo ya ndani ya object na kudhibiti upatikanaji wake kwa kutumia getters na setters.
class Simu(private var namba: String) {
fun pataNamba() = namba
}
Ni uwezo wa class kurithi tabia na sifa kutoka class nyingine.
">...Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu when case na jinsi inavyofanya kazi kwenye Kotlin.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza tofauti wa library na package
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwenda kuzungumzia kuhusu parameter kwenye Kotlin function. Pia tutakwenda kuona mambo mengine yanayohusu function
Soma Zaidi...Katika soomo hili utakwenda kujifunza kuhusu class, maana yake, na jinsi ya kuitengeneza
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kuandika variable kweye Kotlin. pia utakwenda kujifunza kuhusu concatnation na interpolation
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza maana ya function, jinsi ya kuandika function na kuweka parameter kwenye function
Soma Zaidi...Katika somo hli utakwend akujifunza kuhusu loop kwenye kOTLIN. Loop zimegawanyika katika makundi mnne ambayo ni for loop, while loop, for in loop na do while loop.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu aina za data zinazotumika kwenye Kotlin.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwenda kuingia ndani zaidi kwenye somo la function. Hapa tutakwenda kuona aina za function.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutajifunza kuhusu method na properties za Kotlin zinazofanya kazi kwenye namba.
Soma Zaidi...