Katika somo hili utakwenda kujifunza maana na features za object oriented Programming
OOP ni kifupisho cha Object-Oriented Programming, yaani "Uprogramu unaoegemea kwa vitu." Ni programming paradigm (mtindo wa uprogramu) unaolenga kutumia vitu halisi kama mfano wa kushughulikia data na tabia zao. Vitu hivyo huitwa objects.
Kama ilivyo kwa lugha ya Python, Kotlin pia ni lugha ya programu inayounga mkono kikamilifu OOP. Hii inamaanisha unaweza kutumia class, object, inheritance, encapsulation, polymorphism na abstraction katika Kotlin.
Kabla ya kuingia ndani ya OOP, ni muhimu kufahamu kuwa kuna mitindo mingine ya uandishi wa programu:
Imperative Programming – Uandishi wa hatua kwa hatua ("step-by-step instructions").
Declarative Programming – Elezea nini kifanyike bila kueleza jinsi ya kukifanya.
Procedural Programming – Kutumia functions au procedures kupanga code.
Functional Programming – Kuweka msisitizo kwa functions zisizobadilika na zenye matokeo thabiti (pure functions).
OOP inajengwa juu ya dhana kuu sita:
Ni kiolezo (template) cha kuunda object. Class huelezea sifa (properties) na tabia (methods) za object.
class Gari(val jina: String, val rangi: String) {
fun honi() {
println("Beep Beep!")
}
}
Ni mfano halisi (instance) wa class.
val gari1 = Gari("Toyota", "Nyekundu")
gari1.honi()
Ni kuficha maelezo ya ndani ya object na kudhibiti upatikanaji wake kwa kutumia getters na setters.
class Simu(private var namba: String) {
fun pataNamba() = namba
}
Ni uwezo wa class kurithi tabia na sifa kutoka class nyingine.
">...Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Katika soomo hili utakwenda kujifunza kuhusu class, maana yake, na jinsi ya kuitengeneza
Soma Zaidi...Somo hili linaeleza dhana ya polymorphism katika OOP ya Kotlinβuwezo wa kutumia method au object moja kufanya kazi tofauti kulingana na muktadha wake. Tutajifunza aina kuu za polymorphism, jinsi ya kuandika code inayotumia override, open, super, pamoja na mifano hai.
Soma Zaidi...Somo hili linaeleza msingi wa database, kwa nini tunazitumia, aina za database, na utangulizi wa MySQL. Pia tutaona jinsi Kotlin inaweza kuunganishwa na MySQL kwa ajili ya kutekeleza CRUD operations (Create, Read, Update, Delete).
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kuandika variable kweye Kotlin. pia utakwenda kujifunza kuhusu concatnation na interpolation
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwenda kujifunza jinsi ya kushughulika na string kwenye Kotlin.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu aina za data zinazotumika kwenye Kotlin.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwenda kuzungumzia kuhusu parameter kwenye Kotlin function. Pia tutakwenda kuona mambo mengine yanayohusu function
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ambavyo class moja inaweza kuriti method na properties kutoka kwenye class nyingine.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu while loop na do while loop zinavyofanya kazi katika Kotlin.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutajifunza kuhusu method za String zinazotumika kwenye Kotlin.
Soma Zaidi...