Katika somo hili utakwenda kujifunza maana na features za object oriented Programming
OOP ni kifupisho cha Object-Oriented Programming, yaani "Uprogramu unaoegemea kwa vitu." Ni programming paradigm (mtindo wa uprogramu) unaolenga kutumia vitu halisi kama mfano wa kushughulikia data na tabia zao. Vitu hivyo huitwa objects.
Kama ilivyo kwa lugha ya Python, Kotlin pia ni lugha ya programu inayounga mkono kikamilifu OOP. Hii inamaanisha unaweza kutumia class, object, inheritance, encapsulation, polymorphism na abstraction katika Kotlin.
Kabla ya kuingia ndani ya OOP, ni muhimu kufahamu kuwa kuna mitindo mingine ya uandishi wa programu:
Imperative Programming – Uandishi wa hatua kwa hatua ("step-by-step instructions").
Declarative Programming – Elezea nini kifanyike bila kueleza jinsi ya kukifanya.
Procedural Programming – Kutumia functions au procedures kupanga code.
Functional Programming – Kuweka msisitizo kwa functions zisizobadilika na zenye matokeo thabiti (pure functions).
OOP inajengwa juu ya dhana kuu sita:
Ni kiolezo (template) cha kuunda object. Class huelezea sifa (properties) na tabia (methods) za object.
class Gari(val jina: String, val rangi: String) {
fun honi() {
println("Beep Beep!")
}
}
Ni mfano halisi (instance) wa class.
val gari1 = Gari("Toyota", "Nyekundu")
gari1.honi()
Ni kuficha maelezo ya ndani ya object na kudhibiti upatikanaji wake kwa kutumia getters na setters.
class Simu(private var namba: String) {
fun pataNamba() = namba
}
Ni uwezo wa class kurithi tabia na sifa kutoka class nyingine.
">...Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Jinsi ya kuchukuwa user input kwenye Kotlin kwa ajili ya kuongeza user interaction kwenye program.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwenda kujifunza jinsi ya kushughulika na string kwenye Kotlin.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kuandika variable kweye Kotlin. pia utakwenda kujifunza kuhusu concatnation na interpolation
Soma Zaidi...Katika somo hili tutajifunza method zinazofanya kazi kwenye list data type kwenye Kotlin.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu namna ambavyo program inaweza kufanya maamuzi kulingana na mashart fulani.ama namna ambavyo program inaweza ku run code zaii ya mara moja kulingana na mashart. Hapa tutazingumzia flow of control statement
Soma Zaidi...Katika somo hili tutajifunza kuhusu method za String zinazotumika kwenye Kotlin.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza tofauti wa library na package
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunz akuhusu dhana ya module. Hata ivyo tutakwenda kuisoma zaidi kwenye android App
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu nadharia ya package, kazi zake, aina zake na jinsi zinavyotumika
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunz akuhusu operator na aina zake.
Soma Zaidi...